Weekend Story: You Can't Handle The Truth

Weekend Story: You Can't Handle The Truth

Barikiwa sana lara1 .... story nzuri sana ila cku hizi mtoto mkaree huwezi mpata bila tough wallet
 
Duh Lara1 Ubarikiwe hii story yako Hatareeeeeeeeeeeee imenifanya Nicheke,Nilie, Dushee kusimama sijui kama Ramadani yangu itafaa😉😀😀😀😀
 
Na hunipati ng'oo ulinzi mkali huku nilikofichwa ni zaidi ya fahad

Aaah wapi hayo maneno tu, umeona Mwanaume wa shoka Walter alivyomwambia Collins, you want the truth? You can't handle the truth....na Mimi nasema I am coming for you!
 
Aaah wapi hayo maneno tu, umeona Mwanaume wa shoka Walter alivyomwambia Collins, you want the truth? You can't handle the truth....na Mimi nasema I am coming for you!
Hahaaa ila ndugu yangu una msimamo kishenzi yani pamoja na changamoto zoote amepitia walter lakin bado upo naye
 
Hahaaa ila ndugu yangu una msimamo kishenzi yani pamoja na changamoto zoote amepitia walter lakin bado upo naye

Si ndio maana nakwambia am after you!!!Kukata tamaa mwiko kabisa, hadi unaingia kaburini.
Hapo kwenye Signature unamaanisha kumpiga mkwara kaka yetu abaki njia kuu ama?
 
Hahahaaa no more

Dah! inabidi uedit iwe "With Me, No More" ikimaanisha as long as yuko za wewe, no any other animal. Sasa ukiweka after me ndio no more ina maana ata implement hiyo kitu akishamalizana na wewe sio wakati yuko na wewe, au unamaanisha after getting you ndio no more? Akina Walter roho ya paka...
 
Duh hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.. Taratiiiiibu ndokwanza nipo page ya 12 sina haraka....
 
Dah! inabidi uedit iwe "With Me, No More" ikimaanisha as long as yuko za wewe, no any other animal. Sasa ukiweka after me ndio no more ina maana ata implement hiyo kitu akishamalizana na wewe sio wakati yuko na wewe, au unamaanisha after getting you ndio no more? Akina Walter roho ya paka...
Aiseee sasa nakupa kazi ukiona thread yoyote ya story niite
 
Back
Top Bottom