Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Ni kweli mkuu, sio lile song la Kenny Rogers kweli? Kama sikosei linaenda kwa jina la " coward"
Yeah COWARD OF THE COUNTY...
Ni kweli mkuu, sio lile song la Kenny Rogers kweli? Kama sikosei linaenda kwa jina la " coward"
😀😀😀😀 Mkuu mbona unamuua dada Lara1 kama hivyo?Acha ufala (joke) jikaze mtoto wa kiume usiwe kama mvulana
penda story sio author....au unafikiria huyo lara nae ni mzuri kama Iqra? kwa taarifa yako hana tofauti na dakta kul.
😀😀😀😀 Mkuu mbona unamuua dada Lara1 kama hivyo?
Wana literature wanasema "suspense" ....the outcome is uncertain tumekuwa desparate tunataka more informations big up Lara 1....#teamWalterNilitaraji kujua baba mzazi wa Walter na connection yake na victims wengine kwenye huu mkasa!
Nilitamani kujua sababu ya baba mlezi wa Walter (Chapombe) ilikuwaje akawa ndani ya Gwanda za kijeshi wakati hakuna mahali mbeleni penye ufafanuzi!
Nilitamani kujua destiny ya Walter na kazi yake na maisha yalivyoendelea akiwa na chaukorofi wake Inspector Janeth
Nilitamani kujua hatma ya Muddy na Grace...
Nilitamani kujua destiny ya Fahad
Nilitamani kujua life after fujo za ujanani kwa Carina na training alompa mama yake ilihali Mzee Mujungu ndo basi tena
Kwanini Carina alielewana haraka na Fahad kwenye ile birthday,kwanini alimwonea huruma sana Iqra wakati Collins alipotaka kumtoa sill? Palikuwa na chemistry gani kubwa namna hivyo in between!
namkata spidi huyo kiazi si unajua tena.......akionyeshwa ukarimu kwa malaiki hakawii kugongea kimaukweli kweliii.
Ofcoz mwenyewe nimeloa nasikilizia hisani tu hapa sasa tukiwa wengi makelele sholi ataona tunazingua tu au tunampanga dizaini za walter, si unaona dem mwenyewe mjanja anastukia manyuzi. game anajua so humpigi saundi kilaini lazima ukaze
wewe jamaa utakuwa chalii wa Ara, sio kwa mkwara huo!Safi sana mkuu. Kazi na dawa.Mie nishapiga mtu tayari, sio kwa story za Jana usiku. Nikimaliza kupitia Le Grand Finale na lalakwatuuu kwa raha zangu.
Nami nampenda sana Walter. Jamaa anayo courage ya kutosha.Sijui kwanini pamoja na mtiririko wote huu na vituko vyote na utukutu wa Walter bado niko upande wake, na nadhani Walter ali deserve kumwoa Iqra pamoja na madhaifu yake....ila baas mwenye story yake ameshaamua!
Kama nakuona vile ulivyokasirika hahahaaaDah! Kweli hata Mimi I can't handle the truth, action linaanza ghafla movie inaanza kupitisha majina ya wahusika ikifuatiwa na THE END.
Natamani iwe Bong Movie, tujipe matumaini ya Part 2.
Team Walter tumezidiwa dau, lara 1 kishafanya yake...
Shukrani sana kwa burudani Mujarab!


collin hatareeeNami nampenda sana Walter. Jamaa anayo courage ya kutosha.
HongeraNimezidi kuwa mwanachama mtiifu na mwaminifu wa Walter baada ya kwenda kuwasabahi wazee na kukubali kumuoa Inspector, na kuonyesha kukomaa kwa alivyomjibu Collins mwishoni.
aaaah aaaaah !! jamaa kaamua chenji basi ni kweli amechenji, so kawa. real man now, na Kumbuka Real Man always eat beautiful girls with beautiful heart.
Hongera