Hata mimi nimecheka sana.Nimecheka peke yangu kwa intro ya episod hiyo @lara1
Haitaisha mpaka na mimi nmemla iqra. UtaonaWatu weweeeee,...lara kesho nakufuturisha yani hapo hata walter akila fresh tu,bora kaka mkubwa kaanzisha kama vipi story iishie hapahapa
Wote tunajua jinsi Walter alivyobandidu, tunajua alivyokwisha na kuoza kwa Iqra, hakuamini kabisa ile kusingiziwa u boyfriend na sijui kama anajua ilokuaje akaokota tende kwenye mpera. Ila all in all, huko aliko anajua Iqra keshaingia line na anawaza jinsi ya kupembejea penzi changa.
Hata kama Collins akikamua (kitu ambacho sikitarajii) bado Walter ananafasi ya kumghasi Iqra kudai muendelezo wa movie, Walter sio wa kuambiwa eti ...nilikua tu nataka unisindikize, na kutambulishwa kote Kyle kwamba ni BF..
Iqra anajua fika mtiti wa Walter, sijui kama atahimili kuchomoa, hapo labda Collins atibue kwa kigezo cha ubosi, na itakua mbaya zaidi akiamua kurudi kwa Grace kupata ukweli wa umalaya wa Walter, hasa kama ataweka wazi kwamba aliwahi kumbaka.
For sure...! Mi nipo kimya tu kitakachokuja ntakipokea kama kilivyo mana Lara 1 ww kichwa chko mashine (kwa sauti ya Ben Pol )...Hhahaaaaaaa! Naona vikao vyenu vya dharulaaa basi nachekaaaa sana. hahaaaaaaa. I DONT THINK ANY OF YOU CAN HANDLE THE TRUTH
Ona habar zako hivi wewe mbona unakuwa upande wa walter?? Unaniudhi muone kwanza ... na kwa taarifa yako hata kama walter atamtifua iqra ila collin ndio atammiliki..Wote tunajua jinsi Walter alivyobandidu, tunajua alivyokwisha na kuoza kwa Iqra, hakuamini kabisa ile kusingiziwa u boyfriend na sijui kama anajua ilokuaje akaokota tende kwenye mpera. Ila all in all, huko aliko anajua Iqra keshaingia line na anawaza jinsi ya kupembejea penzi changa.
Hata kama Collins akikamua (kitu ambacho sikitarajii) bado Walter ananafasi ya kumghasi Iqra kudai muendelezo wa movie, Walter sio wa kuambiwa eti ...nilikua tu nataka unisindikize, na kutambulishwa kote Kyle kwamba ni BF..
Iqra anajua fika mtiti wa Walter, sijui kama atahimili kuchomoa, hapo labda Collins atibue kwa kigezo cha ubosi, na itakua mbaya zaidi akiamua kurudi kwa Grace kupata ukweli wa umalaya wa Walter, hasa kama ataweka wazi kwamba aliwahi kumbaka.


au sijaelewa unazungumzia kuzindua mechi au umiliki halali???Lara me naumia jinsi unavyopeleka haya mambo jaman ila ikumbukwe hata kwa mudy grace alipigwa na walter lakin yuko na mudy hadi leo... though naziona dalili kabisa I CANT HANDLE THE TRUTH...Bati pliz du mi a feva..Hhahaaaaaaa! Naona vikao vyenu vya dharulaaa basi nachekaaaa sana. hahaaaaaaa. I DONT THINK ANY OF YOU CAN HANDLE THE TRUTH


Umenikumbusha My Childhood Arabian Crush Samia. Wazazi Walikua Wanatania Mke Wangu Mara Mchumba Wangu,Siku Iyo Kibabababa Kiliponoga Mbona Ndoa Iliconsumatiwa Wanakuja Kushtuka Nshajimilikisha Kila Nkitoka Primary Nafikia Kiporo Changu Cha Wali Nikishakula Alafu Haooooo Kucheza Kibabababa Na Samia Hadi Siku Moja Tulipobambwa Na Mnoko Flani Ivi Dah.
Sadly Tumepotezana Sijaonana Naye Tena!
Kweli Mkuu...Njoo inbox uniambie anaitwa Samia nani?
Yupo Samia mtoto wa kihindi namjua
Lara fanya kila uwezalo Collin ale mzigo.