Khaaah kumbe unarudi na vumbi la kongo!!! Kumbe thats all you can do!!! Ndio maana ulitapeliwa.Mimi team Dee
Subirini nitoke Kinshasa, ntakuja na vumbi la Congo (Congo dust).
Tutaelewana tuuuu!
- KANA -
Acha waendelee kuolewa tu mana hamna namna tenaAcha tuwaoe bwana, si wametaka wenyewe. Ila marufuku kunyanyua midomo.
Huyu nae sijui ni mkosi, wanaume zake wote marioo alafu vimeooooo!!!Al shabaab kakalia kuti kavu yule,bora mwanaume mwenzie kaenda tafuta maisha
Mwanaume asiekua na pesa kukaa nyumbani mwisho siku 5 ikifika siku ya 6 akabebe hata mchanga barabaraniYaani ningemtimuaaa, akasombe hata maji huko[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Naona mnajitahidi ku"stick together"...acha nimsubiri Dee arudi mana kidogo yeye anaakili ya kutafuta maishaSio mario, mi team Dee
Sema namuhurumia al-shabab, men should stick together!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
- KANA -
Sasa hela nimekosa, hata msingi kiuno unishinde?Khaaah kumbe unarudi na vumbi la kongo!!! Kumbe thats all you can do!!! Ndio maana ulitapeliwa.
Yeye hataki kuwa na ndoa jina kama ya winie. Tatizo anadate marioo sijui anategemea nini!!!Huyo ashakua staki nataka!
Soon ataanza kulilia ndoa hahaa
- KANA -
Hahaa show za msomali zinamtishaKhaaah kumbe unarudi na vumbi la kongo!!! Kumbe thats all you can do!!! Ndio maana ulitapeliwa.
Ye mwenyewe anajua bado hana uzito wa kujiita mwanaume maana amemiss msingi mmojawao.We huoni anajistukia kila kukicha anajua iko siku ataachwa tu...
Yeah, mi niko team Dee asee.Naona mnajitahidi ku"stick together"...acha nimsubiri Dee arudi mana kidogo yeye anaakili ya kutafuta maisha
Aaaah kabisa, ukimuendekeza jiandae kuumia.Mwanaume asiekua na pesa kukaa nyumbani mwisho siku 5 ikifika siku ya 6 akabebe hata mchanga barabarani
Mkosi wapi tatizo na yeye hataki kutulia tu,awe kama lidya mwenzie anamfiga lakini anampa akili ya kutafutaHuyu nae sijui ni mkosi, wanaume zake wote marioo alafu vimeooooo!!!
Ndo ashalikoroga, atalinywa muda si mrefu!Yeye hataki kuwa na ndoa jina kama ya winie. Tatizo anadate marioo sijui anategemea nini!!!
Tayari wewe ni muasi, mwanaume utakuwaje msingi kiuno!!!Sasa hela nimekosa, hata msingi kiuno unishinde?
Au unataka nijiunge na waasi ndo ufurahi?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
- KANA -
Mwanaume pesa bhanaYe mwenyewe anajua bado hana uzito wa kujiita mwanaume maana amemiss msingi mmojawao.
Al shabaab anajinyoosha mwenyewe mwisho avunjike kiuno bureYeah, mi niko team Dee asee.
Sema kwakua hayupo namuangalia al-shabab anavyo wanyoosha!
- KANA -
Lydia anafuga!! Huoni anavyompelekesha, tatizo huyu anabembeleza.Mkosi wapi tatizo na yeye hataki kutulia tu,awe kama lidya mwenzie anamfiga lakini anampa akili ya kutafuta
Aaaah kabisa!!!Mwanaume pesa bhana
Sema once a fighter, always a fighter!Tayari wewe ni muasi, mwanaume utakuwaje msingi kiuno!!!
Mshampatia mtaji wa simu, kesho mtamhonga ghorofa. Sasa nani hapendi kitonga!Al shabaab anajinyoosha mwenyewe mwisho avunjike kiuno bure