Mshaurini msomali ajisalimishe kwa gwajima amuamshie dude mapemaaaa.Ila haumshukuru Mungu kwa nguvu ya maombi Dee kaanza kupona? Sie team Msomali hatima yetu bado haijulikani ndugu msomaji. Naona B anataka kuja kuweka mambo hadharani kwamba Baba Huddah guantanamo inamhusu..unafikiri itakuaje? Kwa mbaaali naona kabisaaa kismas cha Dee na Sally sio cha nchi hii.
Naomba ubadili avatr mkuu, please!Unategemea nini wakati Sally mwenyewe Komando Kipensi Bibi Ubaya mithili ya KLM?
Nimechfka sana, eti Sally na familia yake wanasali sana...nna walakini sana uponyaji wa Dee na uchaji Mungu wa Sally, sio nzuri sana kwa sie team Msomali.
Magaidi yanayochinja watu bila huruma wala hatia hamyaoni wala kuyatumia moto. Kweli maisha bila unafiki hayaendi!!Hhahaha[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Samaritan always anaplay dirty, na lara 1 anacheza muziki wake.Baada ya Lara 1 kumaliza story, then from no where akaibuka na kusema inaendelea, I knew what was coming ahead!
You guyz just stole our victory and it ain't fair. You robbed our victory!
Masaa mawili naangalia tu nashindwa nicomment nini!
Tumewashinda uwanjani, mkaenda kutafuta point mezani. I'm having a bad day and it's all thanx to you!
Any way, no matter what happens there are two words you'll never hear, KANA QUIT!
I STAND WITH DEE
- KANA -
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ulivo mseeeenge na huddah huchelewi kusema sio wetu oh Tony kumbe alikuwa na bbake mjombake shangazi yake aliolewaga Oman!
NAKUTIZAMA TU!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]lara 1 Afu na safari hii ujifanye ''ooh sijui stori imeishia hapa,sijui ujinga ujinga gani'' ...utapigwa pipe la masikio dadeq!
Ukifuga misukule ujue na kuilisha......isisumbue wananchi bure kitaa.
Thanx to them!
Asitutanie, tunasubiri dude, maana kaanza kumsafisha msomali kwa kujifanya B ana maongezi na saly, na anajua akimweleza saly ukweli hawezi kukubali baba mtoto wake akaangwe huku akiwa anaangalia.Nilivyosikia stori inaendelea nilijua tu lazima Dee akaangwe
Kwakuwa director uneamua basi sawa
Nasubiri tu nione mwisho wa msomali pia, maana tangu mwanzo anamperemba kweli kweli.Thanx to them!
[emoji119] [emoji119] [emoji119]
- KANA -
Si entertainment au
Nimeona nimepita pole aisee
Me najuaga laraNaomba ubadili avatr mkuu, please!
Aahahahaaa jamaa kafanya kama vile ilikuwa kwel aseeNimeona nimepita pole aisee
Ngoja aje, maybe atakuwa msikivu.Ndio ni yeye abadili jaman
Kuna mtu anampandia dau aandike anavyotaka yeye si bureAsitutanie, tunasubiri dude, maana kaanza kumsafisha msomali kwa kujifanya B ana maongezi na saly, na anajua akimweleza saly ukweli hawezi kukubali baba mtoto wake akaangwe huku akiwa anaangalia.
lara 1 nakuombea tezi jike lile liloshindwa kumpata MOTP.
Msomali hafanywi kitu utaambiwa katoroka na sally na mtoto wao wameenda kusikojulikana na B kaamua kurudi kubeba boxNasubiri tu nione mwisho wa msomali pia, maana tangu mwanzo anamperemba kweli kweli.
Tusubiri tu tuone mwisho.Kuna mtu anampandia dau aandike anavyotaka yeye si bure
Naona dalili ya msomali kusafishwa
Yaani nimejikuta nakosa mzuka wa kuendelea kusoma tena[emoji22][emoji22][emoji22]