stable-negro
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 509
- 347
Umekera kila mtu humu, kama swala linakuudhi, huna jukwaa au thread ya kwenda? Umemng'ang'ania dada mpaka umeanza kuudhi kila mtu. Au ungependa sisi Tuanze kukuchukulia wewe hizo hatua unazotishia watu? Hii nchi inaongozwa na viongozi wanaojielewa, kama wewe unamtegemea baba yako au shemeji kutishia watu, acha kumhusisha kwenye upuuzi wako. Eti VPN, umeijua leo?
Tutolee upuuzi wako hapa.
mkuu achana nae huyu....tangu lini nyau akatishia mtu; huyu Andrew Mathias ni kanyau kadogodogo yaani ka-hairy pussy