It happens yeye ndio mwanaume pekee alieguswa lakini bado yuko busy kumjibu mleta post...Usidandie gari kwa mbele? Sounds so childish! Jaribu kuchagua maneno unapoongea na mtu ambae hakukuprovoke. Najaribu kuelewa kwanini mwanaume mkamilifu, awe na chuki kubwa kwa mwanamke kiasi cha kumwandama kama vile....sijui hata Niiweke katika lugha gani ili ieleweke bila kueleweka tofauti na navyotaka ieleweke.
i guess designer is a man........would u say the same knowing 'designer' is a man?Lara nilikuwa nasubiri bad ending ya K....ila mwisho kwanini asingemla designer hapo kaniboa,he could be living big now
Hahaaa hata kama unaongea kinyume, mtuwache bana loh!!Hahaha na mimi naona aibu basi coz nimeelewa ulichomaanisha. Ila me nawafahamu watu wa aina yenu wengi tu mbona, na mko poa tu teh teh
Yes,that's what I meant...i guess designer is a man........would u say the same knowing 'designer' is a man?
Hahaaa kila mtu anadai yumo mwishowe itakuwa ya wengi sasa, teh!Hahah hii list ya wachache imekua nongwa..kaka na wewe upo kati ya wachache,hongera..
Seriously?? its not a big deal being gay?? I think a man can shag 1000 women.... but a man bonking a man....thats another issue!Yes,that's what I meant...
For God's sake the guy has been through a lot,don't tell me kummalizia huyo moja could be a big deal...
Mkuu mwache, humu atatoka tu.Mkuu hata kama amekukera basi namuombea msamaha yaishe. Forum ina majukwaa mengi tu unaweza kwenda kwenye interest zako please.
No siongei kinyume bana, namaanisha eti. Muendelee tu kuwa wakaka wazuriHahaaa hata kama unaongea kinyume, mtuwache bana loh!!
Its so boring kwa kweli, kwani ni lazima upendezewe na kila thread inayopostiwa humu? Mbona huwa tunapuuza tu thread zusizotupendeza au kama ukiguswa unacomment kistaarabu tu, sasa nashangaa issue ndogo inakuwa kama world war! Kwanini jamani?It happens yeye ndio mwanaume pekee alieguswa lakini bado yuko busy kumjibu mleta post...
I think he is a fun but he is in denial,hata yeye atakuwa hajajua hilo
Mmh haya bana tunashukuruNo siongei kinyume bana, namaanisha eti. Muendelee tu kuwa wakaka wazuri
Hehehe jamani nimesifia kutoka moyoni mwee, leo nashangaa huniamini kabisa na sifa zangu khaaMmh haya bana tunashukuru
Hahaaa siyo sikuamini sista, najua wasio kunywa wala kuvuta wanavyochukulia na jamii yetu ndo maanaHehehe jamani nimesifia kutoka moyoni mwee, leo nashangaa huniamini kabisa na sifa zangu khaa
Basi me nawachukulia tofauti kabisa. Maana kuna watu wanakunywa balaa na still zile mambo wanapiga hataree.Hahaaa siyo sikuamini sista, najua wasio kunywa wala kuvuta wanavyochukulia na jamii yetu ndo maana
As long as he ain't the bottom what's the matter..the dude could still be doing the same to ladies..anyway maybe haya mawazo yangu ni sababu mwanamke siwezi kuelewa the other side but I feel he missed his shot big time...Seriously?? its not a big deal being gay?? I think a man can shag 1000 women.... but a man bonking a man....thats another issue!
Hahahaa mimi nawapambia tu hapa,najua vitu adimu kama hivyo wadada huwa wanavitafuta kwaio mnajiongezea creditsHahaaa kila mtu anadai yumo mwishowe itakuwa ya wengi sasa, teh!
Hajalazimishwa kuwa humu ila kakomaa na lara toka asubuhi,hajishtukii watu tunampita tu..Its so boring kwa kweli, kwani ni lazima upendezewe na kila thread inayopostiwa humu? Mbona huwa tunapuuza tu thread zusizotupendeza au kama ukiguswa unacomment kistaarabu tu, sasa nashangaa issue ndogo inakuwa kama world war! Kwanini jamani?