Forbidden Love!
Dogo akawa anakomaa anaisikilizishe huo wimbo wake mpya, mimi nikakubali. Sasa yule msaani nikawaza kwenda kukutana nae baa au popote anaweza kunitibua mavuzi mtu mzima nikaaibika. Nikamwambia njoo dukani kwangu unisikilizishe. Kaja kapagawa kweli kweli mara ashike shati, mara tshirt, mara viatu. Nikamwambia we kama umevipenda chukua. Alizoaaa. Utadhani jasho la mtu linaliwa.
Kaka wa dukani anashoboka kuwaona mastaa balaaa. Basi habanduki. Sio kuji snap mda wote na msaniii. Mpaka akamwambia imetoshaaa. Nikamtuma kwanza mbali posta huko, akadai deni kwa mdaiwa sugu. Namjua yule atamsubirisha ni balaa. Tukabaki wawili, sasa wateja kama wametumwa kila saa wanaingia. Nikawa nishafeli. Nikamwambia kaka rudi uuze duka lako. Nikamwambia Hans twende zetu.
Tukaenda nyumbani, mda huu nauhakika Sama hayupo alienda msibani Chugga. Hatukai wote ila kwa kuzoom ni kama anaishi tu pale. Tumefika nikamkaribisha. Naona aibu mie siwezi kumuangalia usoni. Utuuzima dawa. Nikataka mpaka kughairi. Akakumbuka zile nguo akasema afu sijapima, ngoja nijaribishe. Nikamwambia chumbani kule, akasema hapa hapa tu.
Akavua akabakia na boxer tu. Mmmmmmmmmhhhh! Macho yamenitokaaa! Fahari ya macho haifilisi duka. Dogo akitupia anapendeza ni balaaa. Ananogaaaa. Akijiangalia kwenye kioo cha console anapagawa. Na mimi low key napagawajeee. Mawazo yanenda mbaliii sana huenda nikawa na bahati na kuolewa na dogo kama Lola wa Peter P Square. Ila nikajikatisha tamaa bahati kubwa sana hio. Nikibatika kufanya nae tu nayo bahati tosha, vikubwa vya balabuuu.
Akamaliza, nikamkazia nisikilizishe huo wimbo maana nina ratiba zingine. Akatoa simu yake, aina ya Android hizi. Akanikaribia kunisikilisha kiukweli sikuusikiliza maana tumekaa hapa na hapa, dishi limeyumba kama loteeee. Nikabakia kusema wimbo mzuriii, nikaona shetani anaanza kunishinda nguvu. Nikamkurupushaaa twende tukale, wewe unataka kula wapi? Akasema chagua wewe.
Tukaenda girraffe hotel. Tukala pale. Dogo anajitia ujasiri wa kunizoe fasta fasta. Mara aniita dada mara, aniulize jina langu, nikamwambia mimi dada yako, niite dada. Anakomaa jina jina, nikamwambia ukiniita dada nafarijika mnoo mnoo. Anajikaza hivo hivo. Baada ya kula nikamwambia mi naogelea kidogo. Joto kali sanaa. Nikaenda kuchukua swim suit yangu kwa gari, nikazama pool, Naogelea kwa raha zangu. Nae akazama na boxer.
Sasa mimi ni champion swimmer. Nimejifunzia mtoni, maji yana mkondo wa kufa mtu, full chunusi. Na yeye champion kajifunzia bahari ya hindi. Tukawa upo ndani ya maji tunapiga story tu za maisha. Mpaka saa 12. Nikamwambia uende basi, maana mimi nalala hapa hapa leo. Kesho kutwa naenda uturuki. Inabidi niende nimetuliza akili na mwili. So nataka kujirelax. Nataka nikalipie chumba. Hakusema kitu. Tukaenda nikalipia room single $120 siku kwa siku siku 2 maana nilitaka executive room.
Nikahamia chumbani, akanifata na boxer, mimi nina costume na mtandio. Hapo nishachukua pc yangu kwenye gari na kibegi cha nguo. Yeye mifuko ya nguo zake kaiacha kwenye gari. Nikamwambia kachukue nguo za kubadilisha. Alivotoka tu,nikaoga fastaa, fastaa maana dalili hazikuwa nzurii kasingeshindwa kunizamia bafuni. Karudi nipo kwenye pense na vest, na kanga juu full AC. Nishawasha pc, nimejilaza naangalia muvi. Akaja kujilaza nae anaangalia.
Meneja anampigia simu, kuna issue ya fastaa. Anamwambia niko busy nitafute kesho. Anamsisitiza kakomaa keshooo. Leo yupo busy.. Movie nikaweka ya horror makusudi aka break ya nyege. Kitu cha No country for old men. Huku na huku Sam akapiga simu,nikapokeaaa. Akauliza uko wapi manzi wangu? Nakuhamuuuu! Nikamwambia niko Giraffe! Unafanya nini? Niko na hans tunapiga story. Sikujibu hivi kwa kupenda ndugu msomaji, ni kujihami tu, huenda mtu kaniona kamwambia. Sasa nikipindisha pindisha kengele za tahadhari zitamlia.
Akauliza Hans ndo nani mbona simjui? Nikamwambia humjui kweli , ni dogo mmoja tu. He is my new friend. Sam sio mtu wa details akabadilisha habariii na kuongea mambo tulio zoea kuyaongea. Mambo yenyewe ya kimahaba. Nimemiss mechi. Chugga ni baridiii mazeeeee. Ujinga ujinga, nikamwambia usiku mwema. Akakata. Akapiga tena, Kyle mbona kama unanikataaa kidesign usiku mwema ya fasta fasta siisomi. Afu manzi unanikazi bwana wako sauti utasema sijui ni nini. Hamna cha babe ulale viziuri, bae nakupenda sanaa, ni mwendo wa kavu kavu tu usiku mwema kama unamuaga chali yako na sio bwana wako. Huyo Hans ni ni nani mpaka unakuwa kiranga namna hiii?
Nikamwambia Hans ni Hans, wala sio kihivo. Haya goodnight baby wangu, bae wanguuu mwenyewe peke yangu, kipenzi cha roho yangu. Akaguna Mmmmmmmh! Nikamwambia basi ongea na Hans uridhike wewe sasa. Nikampa simu Hans na kumwambia shemela huyooo. Akapokea na kusema shikamoo kaka! Nasikia Sama anamwambia mimi sio kaka yako, na ukinitombea manzi wangu nakukata kichwaaa, mimi mtoto wa sanawariii sio mwanaume wa dar. Umenisoma chalii wangu? Akasema sio kihivo kaka, mimi niko na sista hapa ananipa ushauri kama mdogo wake. Sam namjua mtataaaa, yaani mtataaa afu design kama chale zishamchezaaa. Nikachukia simu na kuikata.
Akatuma sms sitaki ukae hapo na hans nenda nyumbani sasa hivi naku video call mda si mrefuu. Tatizo la Sam amri sanaaa! Ni kuamrisha tuuu. Mda wote. Nikaamua sasa ungese sitaki, nikazima simu.Sam ni mnyanyasaji na ni control freak. Analotaka yeye ndo hilohilo. Alishajaribu mchezo wa kuanza kunipigaaaa, sema akanikuta mwenyewe Manzi wa Mianziini, tulizichapa, man to man na yeye ndo alikimbia maana nilikuwa namkunguta, japo anasema aliniachia nishinde, jeuri ya kumchapa sina. Alinihurumia. Sema akajua huyu si wakupiga ni mwendo wa kupigana.
Hans akasema shemeji mkaliii sana? Nikamwambia wewe si umemsikia.Akasema kwani amekuoa? Nikamwambia bado, imagine amri zote hizo. Akafikiria, akasema nitakuoa mimi, nitakuwa nakubembeleza, sikunynyasi, wala sikuendeshi. Mi pesa tu ndo sina ila mapenzi ya kweli utapata. Nikachekaaa nikamwambia mkeo atafaidi maishaaa. Akauliza kwani mimi nikikupenda wewe kuna ubaya dada. Nikamwambia hamna ubaya kabisaa, ila ndo ujiandae tutakatwa vichwa wote. Nikacheka yeye hakucheka. Akasema Nipo tayari. Nikamuuliza tayari kufanya nini? Akasema kukatwa kichwa. Mmmmmmmh! Niliguna tu. Nikamwambia hans kaoge uende bwana mda umeenda.
Akaenda kuoga kweli, katoka kajifunga taulo, sikuwaza sana nikajua atavaa tu mbele yangu ki design. Bwana bwana asije na taulo kitandani. Akachukua shuka kajifunika. Mmmmmmmhhh! Na uhakika boxer aliogelea nayo kaianika bafuni. Nikasema haka katoto hakawezi kunishinda mimi maarifa. Nitakitisha kitatoka mkuku. Nikaanza kumwambia unajua Sam sio kwamba nakutisha ila ana roho ngumu sanaa, mno mno sijui nikwambiaje. Sio mtu mzuriii kabisaa. Na hashindwiii kutufanya kitu mbaya mdogo wangu.
Nikaona taulo analirushia kwa kochi. Tobaaaaaaaa! Nikamuuliza hivi unanisikiliza lakini? Akasema nakusikia, hapo anaanza kunikanyaga kanyaga na miguuu. Nikasema wewe unanisikia ila hunielewi. Kama ndo nilimpa go ahead! Akanifunika na lile shuka na kunikumbatia kabisaa. Nikamwambia Hans unacheza na kifo. Mu Arusha yule ni kifo. Hapo ananipapasa kwa raha zake, na kujidindishaa. Anasema Mi siogopi kufa by the way, kama ataniua poaaa tu, basi iwe kwa sababu za msingi hata mahakama ikizisikia iumonee hurumaaa na kumpunguzia adhabuuu. Na mimi niwe nimekufa kishujaaa.
Nikamwambia unamaanisha nini? Akasema mi nimekupendaa, and there is no way naweza nisilale na wewe mda huu. Kama ujuavyo sina boxer humu, hapa uchague unipe mwenyewe au nikubake ila mimi mwanaume rijali, nakutakaa dada, tena nakutaka sasa hivi. Hapo naona mikono inakaza kwa nguvu. Nikamwambia Hans mi si dada ako, kwanza mkubwa kwako kwa miaka 8, so mimi sio rika lako, nipe heshima yangu mdogo wangu, vaa nguo uondoke. Akasema haiwezekani kabisaa. Nikahamia plan B, Hans mi si nakupaga pesa kila wiki, sasa utazikosaa, jifanye mjuaji. Akasema bora nizikoseee.
Akauliza kwani mimi nina kasoro gani unifanye kama mngese, sababu udogo? Nipe nikuoneshe kama mdogo, au sababu pesa sina? Hamna aliezaliwa nazo. Wewe pia mpaka umenihonga honga utakuwa na hisia na umenipenda pia. Sasa kwanini kuzungushanaa. Unanitaka na kutaka tabu iko wapi? Please baby usifanye hivooo. Akanipaa mateee. Nikalainikaaa, nikalegea kama mlenda. Nikakosa dira ndugu msomajiii. Mtoto mtamuuu kuliko nilivomzoea, aafu anabembeleza sasa.
Mtoto anachukua mda, kunipa rahaaa, na anahakikisha napata rahaaa. Kilichonipagawisha ananiita dada mwenzenu. Nakupenda sanaa dada. Dada kama zote.Dada ndo nalala na mdogo wangu hivo. Afu mtoto anajua kudeka ni balaa. Mara anipe verse kati kati ya mambo. Na alivo na sauti tamu sasa. Jamaniii. Mpaka raha. Anabembelezaa, anadekaaa huyu kwa dada ake. Mbona dada! Heheheheeeee! Jamani namna hii unaweza jikuta umehonga mtaji wote. Ndo maana mama lakeee hii michezo alisema mibayaa mnoo, ukianza huachiii. Sio kwa deko lile.
Alinirudisha miaka 13 mwenzenu, yaan lazima uenjoy unaachaje sasa. Hamna pressure ya future wala itakuwaje baadae, mnawaza hapo hapo tu kufaidi to the maximum basi. Show haina haraka wala papara ni kudekeana mwanzo mwisho. Mtoto hana haraka ya kutiaaa. Kabisaa. Kanifanyia na massage kabisaa ya mgongo. Nilirudishwa utotoni mwenzenu. Ananitumbua chunusi. Mmmhhhhh!
Naulizwa unataka mimi nikae juu au wewe dada ake ndo ukae juu ujipimie mwenyewe. Nikamwambia wewe tu mdogo ake unavoona. Akaniangalia akatabasamu na kusema basi mimi nitaanza kukaa juu afu baadae wewe. Mshenzi anabembelezaaa mpaka unaweza kukuta umekubali vitu hujapanga kukubali. Bado nikawa siamini nalala na mtoto niliemzidi miaka 8.
Tukapiga round ya kwanza balaaa hatariii kabisaa. Anajua mambo ni balaa. Round ya pili ananibembeleza panda juu, nikagoma. Sio kwamba sitaki, ila nauhakika, siwezi kuendena na kasi ya yule mtoto, nitajiaibisha, nitajivua nguona kujitahiri. Kila nikifanya na Sam hatufikagi mwisho lazima anibinue pozi lingine, na hapo nakuwa nimeumia nimevumilia mpaka basi , maanake nini si kwamba nishafeli. Hatujawahi kukaa hilo pozi mpaka akakojoa. Sasa leo niko uwanja wa ugenini siwezi kuthubutu. Ananibembeleza baby si tulishakubaliana lakini. Please baby for me, au sikufanyi vizuriii baby wangu. Nagomaa. Ananibembelezaaa weee. Ikabidi nimwambie, mdogo ake mi hilo pozi siliwezi niwe tu muwaziii. Akasema nitakufundisha mimi, mpaka utaanza kulipenda na ku enjoy. Mmmmh! Msomaji balaa hili unaliona lakini.
Akaniambia ukijisikia uncomfortbale tu niambie. Tukaanza tuition. Chukua peni msomaji uandike notsi. Aaaaa subutuuuu. In short nilianza kiwasi wasi najua nitaumia tu, pozi gumu sana hili. Linda mwenyewe anakwambia atakuja kuli perfect kwa mumewe tu. Sio kireja reja. Nimekaa, akaniambia sio hivo unakosea. Uzito unatakiwa uubalance mkononi na mguuni. Shika hapa. Hapo haujawa more comfortable. Kiukweli nilikuwa more comfortable. Akaniambia sasa nakushika na kiuno kukuongezea balance. Haya twende sasa. Romance lainiiii. Huku mambo yanaenda. Yaani yale maumivu sikusikia, na raha zakee ni balaa, sijawahi kusikia. Kuna angle hazikunwagi ila siku hio zilifikiwa.. Nilidataa, nikalegea na kujiachia kabisaa. Dogo yuko sharp akanidaka kuni balance na kuendelea kunigonga nyundo za hajaaa. Nilichanganyikiwaaa. Hata cocaine wala heroine haina raha hiziii.
Navoona tayari ndo tuhamaia new height, nae design akawa kastukia kashanizidi maarifa basi ananifanyia kusudiii. Nikashindwa kuvumilia. Nikamwambia mdogo akeeee, mayoweee kabisaa, akasema ndio dada ake, nikamuuliza unapenda gari design gani? Akasema Altezza! Nikamuuliza Subaruuu hupendiii? Hapo nishavurugikaaa vururuuuuuu. Akasema wewe tu dada unavoona. Nikamwambia nitakununulia. Akasema weee, ndo akazidisha sifaaa balaaa. Msitake kujua hali yangu.
Tukamaliza hoiii, na kiukweli nilipata kitu roho inapenda, nikawa tu nawaza hio subaru nilioahidi nainyea wapiii. Mbona kirangaaaa. Sijui nimshawishi vitz upyaa. Nikasema bwana ee kufaidi nimefaidiii wanaume pia wana tupaga fake promise sio mbaya na mimi nikitoa fake promise mara moja moja kwa niaba ya chama letu la mijimama. Katoto kakanikumbatia na kulala kifuani kwa dada yake. Nawaza WHAT NEXT. Kuacha huu mchezo siweziii. Tukapitiwa saa 2 simu ikaita ya mezani.
Tukashtuka wote, aliiwahi Hans, kama Mungu nikaipokea mimi, namskia Sam, Niko hapa receptionnjoo fasataa unifate nimechoka nime drive usiku kucha toka chugga, njoo upesi. Nikakata simu. Nikamkurupusha Hans, sam yuko reception please nenda, nitakupigia simu. Akavaa nguo fasta fasta, akachukua vitu vyake akasepa. Nikakagua room iko shwari, simu ikaita tena, Kyle nikija huko nitakutwanga. Nikakata, nikapiga reception mwacheni aje. Simu yangu ya magumashi nikaitia kwenye nailon na kuiweka kwenye dude la flash nimeizima kabisaa.
Kufika cha kwanza kuikagua kagua simu holaaa.Akasema mwisho nakukagua wewe. Nipe mechi! Nikasema sikupiii. Akasema kyle nimesema nipe mechiii. Mmmmmmmmmh! Msomajiii umenitoa chambo ujue.
ITAENDELEA KESHO.