Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,575
We acha tyu...Umemuita mara 3 sio hahahahha
We acha tyu...Umemuita mara 3 sio hahahahha
wala ata ucmsingizie ghost, moza alisema atafunga usiku na mchana( ruksa kunisuta hapo kwa ghost)Duh! Pastor, Yan kachepuka na demu mmoja tu kakamatwaila siamini Kama ni moza ndo kamfanyizia, Atakuwa Ghost huyo
Tunakusubiria kubwa la maadui.....Jmanani saa 7 au hata kabla mnaweza shangaa sa 5 KONKI LIQUID ipo hewani
Episode ingine inakuja! Leo si ndo weekend ama nene? Usiku huu huu
Leo hata mimi nasubiri.Episode ingine inakuja! Leo si ndo weekend ama nene? Usiku huu huu