Weekend story! BEN 10

Weekend story! BEN 10

Episode 1! MAAMUZI MAGUMU!

Nimtongozeee nisimtongozeee! Atanionajeee ndugu msomajiii? Mambo ya ben 10 haya anayaweza mama Dai. Kwanza mtoto mdogo, akinishushua nafanya vipi unadhani ndugu msomaji. Kwanza anawapenda wasichana wadogo wa umri wake. Bora nijistiri mieee. Kwanza star kila mtu anamtaka. Mambo ya kutongoza wameumbiwa wanaume.

Ila mtoto anaonekana fundi sanaa yule, kwanza mashairi yake ya wimbo wa Iokote anapatia mpaka dhambi sasa. Msumari kwa nyundo nikugonge, ikiwa kwa juu chini naizamia! Balaaa tupu. Kiukweli moyoni kaniingia si masihara.

Huyu mtoto sikuwahi kumuona hata siku moja, nilisikia wimbo wa Iokote nikauliza nani kaimba huo wimbo? Maana sio kwa utamu huo, balaaa! Nikaja kujua ni kitoto i was disapointed a lot. Lakini kila niksikiza wimbo anavoimba kama hataki unanivurugaaa balaaa! Msomaji ushawahi kumpenda mtu hakujuiii?

Nikaamua kuomba ushauri kwanza kwa shoga angu Moza. Moza si mtu mzima sanaa kiumri ila kimajukumu ni mtu mzima, ana watoto wa 3, hajawahi kuolewa ila ashaishia na baba watoto zake wa 2 na wote akashindwana nao. Sahivi anaishi peke yake na wanae. Moza kwao ndo boss kubwa, anasikilizwa balaa, na amelea wadogo zake wote. Na ndo anaendesha familia.

Moza ni mambo mengi sanaa, ila kubwa nalomsifu ni jasiri sanaa, tena sanaa. Kwenye kudream big Moza ndo mamba yao. Kama humjui unaweza dhania hana akili vizuri. But she is the dog when it comes in moving mountains. Napenda ushauri wake cause kama mimi katoka chini sanaa. Na sasa yupo juu sana ila hana dharau kabisaa.

Nilimpigia akaniambia niko Kempisky dogo njoo, nikaenda na kumkuta na Mama lakee, huyu mama lakee kazaa na mtu mkubwa sanaa hafanyagi chochote ni kula bata 24/7 na kuspend baaasi. Nikamueleza da moza nina shida ya ajabu. Akanidaka dogo kama unaazima pesa azima tu usitukate stimu, million 5 au 10? Nikasema sio pesa. Wakanikata jicho mwana knyoko.

Nikajieleza mie mwenzenu kuna msanii nampenda. Wanapendaaaa mambo ya chiniii balaaaa, mambo ya kufukunyuana ndo mpango mzima kwako. Wakanidaka juu juu msanii gani? Nikasitaa kuona aibu. Wakajiwahi au Mond bin Laden,nikawaambia under ground tu. Wakaniambia kaimba wimbo gani? Nikajizoa zoa kuwatajia Iokote.

Mama lake akazama kwenye I phone X, akau ugoogle! Akasema balaaaa! Huyu mtoto Hans stone ni nani? Akagoogle, akasema ndo maana. Huyu mtoto wa marehemu Banza, ila katamuuu. Sema nini nakuachia huyu nishakula kuku siwezi kula mayai yake. Hii kazi fanyaaa. Kazi ya uhakika kabisaa hii. Nikapata moyo kumuuliza nafanyaje?

Mama lake akanikata stimu, nikikutongozea mimi nitakudanganyaa nitamla mwenyewe, shetani langu liko jirani mno. Hamna cha kuku wala mayai, nitafagia tu. We jiongeze. Unatongozwaje geuza upside down. Akaendelea kuperuz peruz, akasema mbona mchafu mchafu bado? Mmmmmh! Sidhani i
A sijui.

Moza akaingilia, sahivi pesa ya kutembea na mwanaume wa ndoto zako unayooo, usijibaneee. Throw him few cash, atajaaa. Wana njaa sanaa hao. Maisha mafupi, umebahatika kuzishika mdogo fanya yakupendezayo moyo wako. Its okay to have adictions. Mambo ya uchafu kwani midosho chi town bei gani? Mpendezeshe mwenyewe, afu uzuri wa mwanaume mdogo una mcontrol kwa remote. Mi point yangu do what makes you happy hasara roho tu.

Nikajiongeza nika m dm nimependsana kazi zako, mimi dada yako shabiki yako sanaa. Ukihitaji chochote niambie. Feel freee. Nikawa nangoja kwa hamuuu. Majibu positiveee. Ikiingia notification roho inanienda mpocompoco, nikifungua nakuta Mange has posted new post. Damn! Nangoja tena.

Ikapita wiki bila bila. Nikakata tamaa kabisaa. Moza akaniuliza kwa whatsup Uturuki lini hio? ulikapata kale katoto? Nikamwambia uturuki bado bado ila kwa dogo mambo oves tu. Akasema ngoja, yule si yupo management ya Hanscan, mama lake anamjua tuchukue namba yake umuendee whatsup. Dakika 10 nyingi whatsup hio hapo namba. Ila nakushauri usirembe wewe nenda tu direct, andaa fungu kama laki 5, au maliza M kabisaa mwambie mpige show pesa yako isiende bure mazee.Nikamwambia sawa dada.

Nilikaa na namba wiki nawaza pa kuanzia sipatiii. Nikaamua kumfata mtabe wa hizi kazi shoga angu Linda, yeye anatongoza wanaume sana tu, ila matajiri. Kina Mo hivi ndo kazi yake mjini. Mzuriiii. Hatumii nguvu sanaaa. Muonekano unambeba. Nikamfata kwake ananimbia ana mpango wa kumtongoza mtoto wa Bakhresa. Ndo mipango yake siku zote na atampata. Ukiacha uzuri analoga sanaa.Tena sana.

Hakufurahishwa na swala langu, akaniambia mbona so cheap? Fine you wanna date a star awe basi na hadhi, about that life.Kama mimi nikiwa bored napiga sana show na calissah and he is worth every dime i pay him.sasa hiki kitoto kiko oves sanaa. Kina njaa sanaa. Tena sanaa. I dont know, kipendacho roho hula nyama ilio oza.

Nikamuuliza sasa unanisaidia au vepe? Akasema namba yake si unayo? Money Talks! Tuna humo 30,000 kila wiki, usijitambulishe wewe nani wala unataka nini. Nikimpa mwezi nampendelea atajileta mwenyewe utachinja kiulaini.

Nikamwambia Linda mi nataka anipende, iwe relation sio kama biashara ya kuuza na kununua binadamu! Akanikata jicho. Akasema anza kutambaa ndo utembeee. Usitake kupaa kabla hujakaa. Hio stage one akujue wewe nani na una lipi jipya. Mengine tutaendelea ukifaulu bigginer course.

Nikarudi nyumbani, kabla sijalala nikatuma 100,000 kwa line yangu ya magumashi. Hakuna cha asante wala nini. Ijumaa tena nikatuma 100,000. Mwendo huo huo kama ijumaa 5 hivi. Ikaja text nani mwenzangu? Falasi kweli, mpaka imefika 600,000 ndo anauliza nani mwenzangu?Sikujibu.

Akaja whatsup, samahani wewe nani? Unatuma pesa kila ijumaaa. Au unakosea? Nikajibu wala sikosei! Mimi shabiki wako, dada yako. Kuwa na amani, vikubwa vya balabuu, ila nikipata kidogo nakuwezesha mdogo wangu au nakosea. Akawaka hapana dada hukosei, nashukuru kwa support yako. Tuko pamoja.

Sikushoboka mpaka Ijumaa nikamjaza 100,000 kama kawaida. Akaanza kunitumia za sahivi dada? Dada unaendeleaje? Ama kweli Linda kiboko. I am not cheap. Sikujitokezaa.wala story nae sina. Kabisaaa. Siku hio akaniambia dada nina stress naweza kukupigia nikamwambia HAPANA. Sipendagi ujinga mimi.

Akaja kuniambia, dada unanisupport sana niambie chochote kuhusu mziki wangu. Sababu ya support yako nimeanza kuwa uncommfortable. Ni mwema sanaa kwangu. Niakmjibu hio video uliofanya na Mau sana mbaya is so cheap kingese, ukitoa wimbo wako usifanye video under budget kama hio. Akajieleza vyuma vimekaza hata Mond haendi South kwa Godfather tena.

Nikiwa uturuki nikamuuliza unavaa viatu size gani? Akasema 43. Nikapasuka jordans OG kama pair 5.Nikamnunulia na jeans na tshirt za hatari.Nikampa bodaboda apeleke studio. Jioni akaniuliza sister umeniletea zawadi? Nikamwambia umezipendaaa? Katoto kamejaaa. Uzuri wa vitoto unaona innocense yao kabisaaa. Sio mikonki master.

Akaniambia wimbo wangu upo tayari nataka tukutane nikusikilizishe wewe unipe maoni yako kabla sijautoa. Nikawaza sanaaa. Nikarudi kwa Mama lake, ananiambia we ushafeliii na huo ndo ukweliii. Huyo ahsakufanya dada tenaaa. Kuja kupeana tena sahau. Muite kwako mfiriganeee mambo yaisheee. Moza akasema hapana keep it going like a game tuone mwisho mtaishiaje, nimependa hili muvi lenu. Usiende kusikiliza. Ili asikujue wewe nani wala unataka nini.

Mama kubwa anachombeza, mchezo wa kuhonga huu sio mzuri kabisaa. Ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachiii ngooo. Kuanza ni mgumu ila ukikukolea basi unaanza kuufuja u aweza jishtukia unamhonga mpaka kaka yako kmjaribu tu. Heheheheeeeee!

Akaja kuniambia dada nina shida ya 200,000 samahani lakini. Nikatuma 500,000 nikamuuliza zitakutosha au niongeze? Akasema zinatosha dada asante. Mmmmmmmh! Na badoooo! Akakumbushia mambo ya kunisikilizisha wimbo. Nikawa njia panda.

ITAENDELEA KESHO.
Dah...!! Wanawake wa mjini mnaakili. Natamani nirudi kiben 10.
 
Ila ghost nilichogundua akiwa anawatia Hawa mademu huwa anawatia kihuni yaani anaisambaza K yote alafu anaanza kuipanga upya ndiomana madem wanamkubali
Ghost hana mpya..anabadili matoleo tuu akomae na mmoja aone ka hajachokwa asbh tu
 
Wanasema behind everu sucessful man there is a woman behind! Wala si uongo aisee! Wake zetu ndo wana determine nani utakuwa nani katika maisha! Mimi nililijua hili mapema sanaa sp nikawa very careful naoa wapi na namuoa nani!

Mimi sina mama nimelelewa na mama wa kambo! Alinitesaaa sanaaa sanaaaa! Ndo ameniharibia confidence yangu moja kwa moja! Baba alokiwa anajua nateswa ila hakusema kitu! Na mimi nikazoea kuteswa!

Niliokoka mdogo sana katika kitafuta faraja nilio ikosa nyumbani, nikajilea katika misingi ya kanisa! Nikafanikiwa kusoma sheria! Nilisoma sheria sababu ya kukosa haki za msingi na kukosa mtetezi!

Mungu mkubwa nimemaliza chuo mzee akanitafutia kazi ya kwanza Breweries kama mwanasheria ilikuwa bonge moja ya kazi sababu za kiimani sikuweza kwenda! Alighafirika sana! Akanitafutia sigara pia sikuweza kwenda sababu za kiimani! Akanisusa mbele ya ukoo. Akanifukuza nyumbani.

Nikaenda kupanga uswahilini, baba yangu ana uwezo sana! Maana ni boss mkubwa sanaa wa TRA! Sikufanikiwa kupata kazi nikawa nafanya kazi za kanisa zaidi! Kwenda kuona wafungwa na kuwapelekea msaada wa kisheria.

Kimuonekano mimi ni mzuri sanaa tena sanaa! Mpaka mama wa kambo ana mdogo wake alikuwa kafa kaoza juu yangu ndo kuzodosha chuki ya bi mkubwa! Kanisani kwenyewe tafrani!

Watu wana kasumba mwanaume ukiwa mzuri maisha umeyapatia aaa wapi! Yule mhenga aliese!a mwanaume mashine ni muongo, mwanaume pesa baba sura hata mbuzi anayo!

Wanawake wanapenda wanaume wazuri kwa mda mfupi baadae expectations za pesa zinarudi pale pale! Na wanawake wanapenda mambo makubwaaa! Na mimi vikibwa sina! Nipo duniani kama mimimaybe na kanisa baaas!

Kumpenda Kyle kweli nilimpenda sababu alikuwa mdada na maisha yake anajielewa na ana upendo! Ila hakunipenda! Nikakubali matokeo! Mozah nklikuwa namuona wale wanawake wa kunataaa sanaaaa! Sanaaaa! Nikajiepusha nae kabisaa!

Siku napita kuhubiri dukani kwake sikuwa najua kama ndo dukani kwake! Nikamfanyia ibada mpaka nyumbani aka iomba nikae nao kidogo! Ofcpurse nilikuwa naishi kwenye chumba cha giza! Nilikubali kutoa msaada kidini na kwake palikuwa pazuri!

Nimekaa na Mozah six month haniulizi unafanya nini, unaingiza shingi ngapi,unatokakwenda wapi! She was very simple minded! Hathamini kitu kivilee! Na ndo alianza kunipa motooo fungua kanisaa, fungua kanisaa! The way she was talking about kama kitu chepesi! Na mimi nikaanza kuona mwanga juu ya hilo!

Navoishi kwake ndo nikaanza kumpenda ule usimpo wakena kuona urahisi wa kuishi nae na mchango wake chanya kwenye uwezo wangu wa kufikiri! Akakubali tukafunga ndoa! Hamna ndugu wa upande wa baba alietokea na upande wa mama walikuja sijui wawili! And she was not concerned!

Kila kitu cha harusi alinunua mwenyewe! Kila kitu! Gharama zote aliingia mwenyewe! Mpaka suti ya harusi! Na harusi yangu ilikuwa kubwa sanaa tu! Sanaaa! And she waa always pushing me to be the best i could be!

Nimemwambia naenda kusoma uchungaji akasema kama ni kuja kufungua kanisa basi sawa! She is always thinking big, she is always one syep ahead! Even now in the church she is making more money than me ndugu msomaji!

Hata mambo yakiwa at its worst hakati tamaa! Hata siku moja! She is always positive, always on her next move! Kwa kuwa nae nimefika mbali sanaa! Sokuwa kutegemea kama nitakuja kigika huku!

Sasa baba yangu ananipigia simu, anakuja nyumbani kuona wajukuu,anakuja kanisani kwangu! After everything ndugu msomaji? Si tunafanya mambo makubwa! Tunaha!isha milima! Ile semina ya TD Jakes niliogopa ila kina Mozahnamba zongine zile! Wakaingiza million 70 paaaap!

Nacho sikitika ni Mozah hajampokea Mungu rohoni! Tamaa yake ya pesa ni kibwa sanaa! Namuombea kila soku apewe kibali cha kujua Mungu ni zaido ya pesana mali! Namuombea sanaaa!

Our marriage life naweza sema sio mbaya sanaa, we have 4 kids wangu wa 2! Changamoto zipo ila ndogo ndogo na mimi nina Mungu sanaa so najishusha sanaaa! Namuachia ashinde yeye kwa hio tunaenda sawa! Kikubwa tunape dana na kuheshimiana ana ni support kwenye kufika ndoto zangu siwezi kulalamika ndugu msomaji! Kama mke jembe nimepata tractor!

Changamoto kanisani pia ni kubwa sanaa! Nazimidu kimtindo kama nilivosema mimi nina Mungu! Kama yule mtotomke wangu anaemhisi kanisumbua sanaaa! Sema tu sio type zangu! Kana njaa sana! Nisingeweza maana najua nitajikita front page! Mchungaji akwaa scandal ya kuzini!

Kimbembe huyu meneja wa bank! Daaaaah! Acha tu ndugu msomaji! Kwanza kisu cha hatariiiiii! Anaendesha Murano! Ana gari nyingi! Ananiambia anpewaga bonus kila mwisho wa mwaka kama million 300! Alileta fungu la 10 million 30 ndugu msomaji! Cash money! Ana takooo kwa nyie wasomaji wa kiume wenye michezo hio! Mimi mtumishi tako sio muhimu sanaa na ukimlinganisha na Mozah mke wangu ana tako kubwa zaidi! She is extra bright!

Nimemuona nikasema shetaniiii nipunguzie doziii mtumishi! Nikajua sio kipozeo atakuwa na principles zake na ethics acha dignity bila kusahau integrity! Kaniita kwake nikafanye huduma!

Huku na huku kaanza kunipa mate, wasomaji mnikome mtumishi nae mtu, nikaonja kidogo tu! Sunaah inaitwa! Bwanaaaaa! Wacha ninogewe! Mdada mtamuuu balaa! Ikawa kawaida yetu sasa! Nimenogewa na yeye kanogewa!

Kuja kujua kichwani yupo smart zaidoya Mozah! She was talking about big churches kukodi eneo kama Masaki huko! Mambo makubwa kama hayo! Daaaah! Namwambia sina uwezo! Ananiambia anaweza kuniunganisha nikafungua akaunti ya kanisa bank kwao, nikawa naweka deposits na atanifanyia mpango nikopeshwe One Billion!

Nikampanga Mozah tuhame bank akagoma kusikia One B akakubali fasta! Tukawa tunaweka savings kwa hio account! Na process ya One B loan ikawa imeanza kama alivoahidi!

Nikaenda marekani nae, kwa alivoniambia hana mume, ana mtoto tu mmoja! Wa kike! Ndo tulitakiwa kwenda nae USA ila hakuja nae! Tofauti na single moms wengine hataki maombi ya ndoa! Apate mume sijui akhaaa! Anataka kuombewa awe directoe wa bank! Au biashara zake hivo! Ndoa hana mcheche nayo kabisaa!

I fell foe this girl! Tungekuwa waislamu ninge mtwanga Mozah talaka 3 kamili siachi deni! Sema sasa ndo wakrito na wanangu nawapenda sanaaa! Ndo nikaanza kuelewa kwanini nilivokuwa nanyanyaswa na mama baba hakuwa akisema kitu! Its complicated i got his point!

Baada ya USA na mavagi tukakubaliana aache kuja kanisani,nikamuomba Mozah msamaha wa uongo na kweli for the sake of the church for appearances na mambo kama hayo! Akakubali! Ila akashtuka tunaendelea sema ushahidi ndo ukakosekana!

Nikawa naendelea nae, ndugu msomajinaachaje One B? Ofcourse pia alikuwa mtamu sanaa huyu bi mkubwa! And we were soul mates!Mpaka nikaanza kumuomba anizalie! Nambembeleza kabisaa!

Nikaacha kumkataza Kyle kupanda madhabahuni sababu ya zinaa, maana na mie nikawa kubwa la zinaa! Kila mtu anapanda na janaba lake! Nikajitahidi nikifika kwa wife natoa show za kibabe ili tu asistuke kabisaa!

Siku akafuma sms wife ya yule dada! Nikampooza yeye ndo ananitaka mimi sitaki mpaka kanisa i nimemfukuza nifanyaje sasa? Mozah akasema nitafunga usiku na mchana mwezi mzima kumuomba Mungu akuumbue mbele za kanisa lako na kondoo wako! Nikamua dua ya kuku haiwezi kunipata mwewe!

Ghost akawa ananivuruga na kanosa lake sanaa! Ghost ana mtaji mkubwa! Ghost hustler! Ghost mpambanaji sanaa! That is why i needed that one billion kwa namna yoyote! Ili ku survive competition lazima mtaji ulikuwa upite kati kati!

Mozah akawa kabeba mimba kibahati mbaya hatukupanga ila hakufurahi! Nikamkomalia haina jinsi lazima azae, akaleta makarateka mimba imeharibika ila nilijua kaitoa! Aliniboaaaa sio kitoto! Sikusema kitu chochote!

Siku hio nikiwa na baby wangu Bank manager tunajiachia hotel,chumba kikagongwa! Nikajua mishkaki imeletwa! Kufungua kundi la watu wana camera za videona wamkuja na padri yule sijui kateksta! Moja kwa moja nikajua Mozah katufamania! Mozah nammudu tamaa yake ya pesa hawezi kuwa stupid!

Naona mwenzangu anatetemeka anaita mume wangu nisamehe! Mume wangu sitorudia tena! Nikajua nimekwiaha! Namuuliza Mume????? Mume akasema ndio mume alikwambia hajaolewa? Nikasema yeah! Akaniambia sasa ndo mke wa mtu! Alikuwa! Leo nakukabidhi rasmi! Katekisstaanza maombi hapo!

Picha zikapigiwa na video juu! Maombi kama yote,mume akanikabidhi rasmiii mke! Niliganda kama nyamafuuu! Wakaondoka! Wachaga watu wastarabu sanaa sio washamba wa K! Nikarudi kwangu siamini amini kilichojiri!

Nikakaa kimya! Nilitaka kumwambia Mozah nikaamua nimuombe tu Mungu kikombe hiki kiniepuke ikimpendeza! Nilisali sala zooote! Ikapita wiki salama! Ikaiaha ya pili! Nikajua nimepenyaa! Nikaanza kurejea uchangamfu wangu!

Wiki ya 4 nimeenda kanisani kila mtu kashika gazeti! Hamna bwana Asifiwe wala nini kavu kavu! Nikaingia ofisini! Dada Betty aka iletea gazeti! Mwana wani niko front page guest kule! Pichaza fumanizi kama zote! Mmm!!!mhhnn! Nikamuuliza Mozah kaliona gazeti? Akasema ndio! Nikamuuliza ikawaje? Hakujibu! Akatoka nje!

ITAENDELEA
 
Duh! Pastor, Yan kachepuka na demu mmoja tu kakamatwaila siamini Kama ni moza ndo kamfanyizia, Atakuwa Ghost huyo
 
kweli kwa Mungu tutaenda kwa neema, mlokole kafumaniwa!!!?
 
Fanani pliiiiiiiiiz tunamuomba Sam maana nimeshindwa kumuweka kwenye kundi la vilaza au viazi...
 
Haha haa .. sam jinga sana ..hahaaa daahh
Tumeenda kwa sonara nikajua tu kende zangu halali yake! Nikamshauri twende sonara tule wa jirani na nyumbani! Akasema hapana! Huyu sonara ndo mzuri! Nikawaza sijui nikimbie tu! Nikasema anyway kama kuniua aniue tu ni haki yangu this time ila nawaomba mizimu ya umasaini mniokoe mjuku wenuuu! Mizimu ya Ole Saitoti, Ole Saigoe, Ole sururu! Ole wote jamani mniokoeee!

Tukaingia ndani, hacheki na mtu! Mi nikawa natizama chini hata sonara sikumtizama usoni! Akampa ampimie! Akapima pima akasema kitu Very Original and expensive! Do you wanna sell it madama? Jane akasema no dear! Basi anamwa!bia incase you are interested in selling please call me first!

Nikajisemea JESUS! Sonara simjui wala hanijui! Nikashukuru mizimu ya kimasai! Tukarudi nyumbani! Njiani nasema sitaki tenaaa! Nitamwambia tu ukweli na kumuomba msamaha kwani kitu gani! Nitambembelezaaa weee mpaka akubali! Bora nijishtakie mwenyewe nitapunguziwa adhabu! Tena kizuri ni kwamba nitamwambia tu ukweli sojafanyia anasa, nime invest for us! Nikapanga kabisa tukifika tu home cha kwanza kumwambia ndo hiko!

Tumefika home, akapokea simu! Akabadilika kabisaaa kabisaa! Nikasema hapaaa sipo pa kuanza maswala yangu! Nikamdodosa baby whats wrong? Akaniambia hayakuhusu! Sio ajabu kushushuliwa hivi! Nikamwamvia lets talk ujue mimi ni mme wako wa ndoa, sasa nisipojua mimi ajue nani? Naweza kuwa kweli sina pesa ya kukusaidia ila hata mawazo mda mwingine ni msaada tosha! Unaweza kuamua tuongeee hio ishu na kucheki tuna solve vipi au ukaendelea kuwa stressed!

Akaniambia there is this drug deal! Life changing deal, that changed our lives me and you sasa haiendi poa! Hans mume mwenzio has gotten too greedy and is pushing the limits to the max! If he looses i lose and you loose! Sielewi kwanini? We were all getting rich happily until he got too greedy!

Nikamwambia tutaishi bila hata kuuza drugs! Alinizabua hatrick za fasta fastaa na kunipa za chembe! Ndo maana siongeagi na wewe jinga kabisaa! Tutaishi vipi? Kwa kamshahara ka jeshi! Fool! Toka mbele yangu! Nikaenda zangu kuangalia Tv! Nikaona leo siosiki ya kumwambia kumwambia!

Nikawaza kama Hans ndo anafanya ma deal na Hans, Kyle siwezi kufanya nae issue yoyote! Hapa nilipo nina almost one B! I have options bila hata Kyle! Naweza nunua mgodi, nikawa nachimba chimba tu madini! Au nikanunua hata ranch Australia ndogo nikafuga! Kama shetani likapita tangazo la kamari!

Nikaanza kucheza! Nakula na kuliwa! Nakula na kuliwa! Nikanogewa! Nikaanza kuingia biggest online casinos ambazo kubwa kabisa ni za Lasvegas, Millan, na Macau China! Nikaona One B ni pesa ndogo kabisaa! Kwa trend niliokuwa nakula kwenye hizi online ndogo ndogo naweza kupata gate away kubwa kizembe!

Nikacheza One B ikakataaa Paap! Roho inaniambia ili ule lazima uliwe! Usikate tamaa! Endelea kucheza! Nikazama kwenye sefu letu la almasi! Nikachukua kimoja na kuibuka kwa sonara wangu! Akatabasamu! Akasema sikutegemea kukuona tena! My couson told me you were almost busted in london! He saved your ass! And lied point blank to your wife! You are lucky that fake was his own creation , he recognized it and saved your ass!

Ndp nikaelewa! Nikamwambia piga copila ya hii kitu! Nikamlipa! Nikaiingiza sokoni! Nikaamua kupiga zingine kama 20 na kuziuza! Lengo sasa niwe serious gambler! Bikifanya na mambo yangu ya kimasai! Sio kesi kubwa! Wala nini! Nikapururwa zoteeeee!

Nikawaza ukiona u akaribia kufa ujue ushindi uko jirani! Nisikate tamaa! Niendeele ku gamble tu ipo siku! Nikaanza kusoma historia ya gambling! Gamblers waliofanikiwa walipita wapi na wapi! Nikaona kuliwa ni part and parcel ya mchezo! Mimi tu najipanikisha! Nikagu dua pia kuwa naweka bet ndogo! Odds zinakuwa ndogo sana kwa mimi kushinda! Bora ni punguze mara nazobet niwe naweka odds kubwa!

Nishafika safe la 5! Bado sijaona mwanga kabisaa! Nikaamua kuweka bet ya million 500! Napenda kucheza kamari ya wanyama! Nikaamua kwa hili na mbet ngombe! Sisi wamasai na ngombe ni kama ndugu wa damu! Sisi unaweza kutangulia na ngombe akakufata mwenyewe! Nikajua of allanimalas ngombe hawezi kuniangusha! Nikapiga jadi zangu paleza kumuomba ngombe anifanyie wema! Nikaingia online na kutaka ku bet! Roho ikasita nikaacha kwanza! Nikasema nit bet kesho!

Nikaangalia ile session tu live! Mnyama king akaibuka NGOMBE hamuwezi kuamini kwa siku hio! Daaaaaah! Na hamna alie bet ngombe kabisaa! Nikajilaumu sanaa! Sanaaaa! Nilijilamuuu! Mpaka biashikwa homa kali sanaa! Imagine ningeweka bet million 500! Odds zilikuwa unashinda mara 20! Ningevuna 20billion! Mimi ni jinga kabisaa!

Nikapona na kujiandaa kabisaa kwamba siku hio na bet na mnyama wangu yule yule ngombe! Nimejaza kila kitu click send tu wakate pesa nikasita tena! Nikajiambia leosasa ndo unaliwa 500m ! Acha ujinga wewe! Bora hio 500m ukimbilie hata Somalia ukatafute maisha kuliko kuishi hapa kama mbwa! Siku bet!

Nikaangalia live session! Akashinda tena ngombe! This time billionarewa Maccau ndo alibet ngombe na aliweka 20 billion! Anasimulia kwa wachona this is the chinese year of the cow! Ndo maana kabet ngombe! So hapo akala 200 billion! Daaah! Nikaamini kweli mimi sina bahati kabisaaa! This time nikaugua dege dege kabisaa mpaka kulazwa hospitali! Yaani yaaani nilijichukia kabisaa kabisaa!

Jane akaniambia anatafuta mradi wa kufanya kujiandaa just incase deal liki collapse! Huo mradi uwe huku huku UK! Hapo hapo akawa ana apply ka,i interpol sasa vyeti vya chini vikawa vinagongana! Akakosa! Akaamua kwenda ku apply kuwa Assasin akaambiwa kashapita umri wa kujiunga! Inshort ni mbuzo mzeee! Alikuwa frustrated sanaa!

Akaja kunipa taarifa kwamba waturuki wame sizi operarion bongo kwa mda usiojulikana! Kutokana na na mgogoro wa partners till further notice! The pipe line was closed officially! Nilitetemeka ndigu msomaji! Maana mimi ndo mkimbizi! Mwenznagu akishindwa anarudi bongo kiulaini! Kuna mortage na nyumba aliichukua kibabe above market price!

Nikamshauri tuhamie cheaper accomodation kama condos! Akasema siwezi ishi kwenye Condos! Akili ilinipata moto ndugu msomaji! Nikapata wazo kwa kutumia vyeti vya Janet nikaanzisha website ya security consultancy! Nika apply vibali vya UK nikapata! Kama Janet! Nikalipia online! Kwa yeye sisi ni diplomatic citizen ni fastaaa!

Kimbembe kupata wateja! Nikaaza kutuma proposal wizara za ulinzi za nchi ndogo ndogo Africa! Naomba kuwa consaltant wao wa ununuzi wa vifaa vya jeshi! Sasa wakiona UK company iko regiatred na nini wana jaa! Wanasema wata get back! Hamad siku moja Rwanda wakanicheki!

Kimbembe mimi silaha sizijuii sizijuiiii! Ikabidi nikae na Janet chini nimsomeshe hata kama hajui atatafuta mtu bongo anaejua tutapiga hii deal! Akafurahi mwanzoni! Baadae kuja kujua ina hela mbuzi kwa mtazamo wake akasema sifanyi! Na hakufanya ndugu msomaji! Rwanda walinisumbua mpaka nika ifunga ile website!

Akaanza kuumwa, akaenda hospitali akaambiwa ana mimba! Nilitegemea angefurahi ila akawa analalamika hizi sio nyakati za kuzaa kabisaa! Kwanza ana mpango wa kutoa ile mimba! For once nilikubaliana nae! Janet is not a mother! Mtotoangeteseka sanaa sanaaa mimi baba yake sioni ndani! She is just a monster! Nikajifanya kusikitika ila moyoni nasema afadhali atoe tu!

Ikafika siku ya appointment akaghairi! Akasema kaamua tu azae! Na akapata kazi ya kuwa security advicer kwenye kampuni ya warusi! Pesa nzuri sanaaa! Kuliko ya madawa! Na mkataba umesema kabisa kazi haina maternity leave! Nikamwambia tukatoe! Mi sikutaka kabisaa kuzaa na hili shetani! Kabisaa! Namsisitiza utaharibu hii kazi! Akasema Sam ndo maana nakupenda ukiacha ungese wako wa mara kwa mara hamna mwanaume nitaempata atanipenda na kunikubali jinsi nilivo kama wewe Sam! Namwambia hutompata asilani!

Akaghairi tena kutoa! Akasema watajuaje na mimba! Sichukui maternity! Naenda kufanya kazi yao hivi hivi na mimba! Nitazaa kwa siri sanaa! Naweza nisipate tena mimba! Hii mimba nimepata kibahati! Kazi yenyewe online! Wamenituma mission ya kwenda kumlinda raisi wa Cote D vour! Navaa combat hizi! Tumbo halionekani! Akaenda na mimba yake! Kazi siku 14!

Siku ya 7 nikaingia tu kwenye pc yake, ilikuwa mezani! Nikakuta hio contract waliompa! Kumbe sio security advisor sio chochote kaajiriwa kama contract killer! Na sio warusini wamarekani! Na pesa nzurinzuri kweli! Na hio kazi aliopewa ni ya kumuua kiongozi wa wa asi huko Cote D vour! Nilikufa ganzi! Hata kama tamaa ya pesa hii ni too much!

Bora assasin unakuwa unaua watu wabaya kuna principles! Ushahidi upo! U aokoa mamia! Contract killer hutakiwi kujua nani ni nani anauawa kwa nini! Unaua tu kama kuku wajameni! Mradi bei yako ya contract imefikiwa! Alinitoka jumla jumla huyu mwanamke!

Niaamua i must go now! Lazima nitoroke! Nikaingia online na kubet ile million 500! Nika bet ngombe! Ngombe IKALIWA! Simba ikaibuka kidedea! Nikacboka mwili na roho! Nikajiona kweli ni good for nothing kabisaa! Daaah! Ila nikazama kwenye safe yetu na kuchakachua kama kawaida!

Nimetoka kwenda kwa sonara! Narudi tu nakuta kaniwahi kasharudi! Cctv iko sebleni naikuta imewekwa nimezama kwenye safe! Imekuwa posed! Ina maana kaniona! Nikamchungulia yeye yuko angle gani? Nikamkuta chumbani kafungua safe zote! Yuko na mtu ambe kwa haraka haraka nikajua ni sonara! Kasha tenga fekero zangu na OG! Anamuelezea! Uzuri sina gari! Wala driving license! So niliingia kwa miguu hakunisikia! Nikatoka mkuku kimya kimya! Nikapanda basi sijui linenda wapi potelea poteee!

ITAENDELEA!
 
Wanasema behind everu sucessful man there is a woman behind! Wala si uongo aisee! Wake zetu ndo wana determine nani utakuwa nani katika maisha! Mimi nililijua hili mapema sanaa sp nikawa very careful naoa wapi na namuoa nani!

Mimi sina mama nimelelewa na mama wa kambo! Alinitesaaa sanaaa sanaaaa! Ndo ameniharibia confidence yangu moja kwa moja! Baba alokiwa anajua nateswa ila hakusema kitu! Na mimi nikazoea kuteswa!

Niliokoka mdogo sana katika kitafuta faraja nilio ikosa nyumbani, nikajilea katika misingi ya kanisa! Nikafanikiwa kusoma sheria! Nilisoma sheria sababu ya kukosa haki za msingi na kukosa mtetezi!

Mungu mkubwa nimemaliza chuo mzee akanitafutia kazi ya kwanza Breweries kama mwanasheria ilikuwa bonge moja ya kazi sababu za kiimani sikuweza kwenda! Alighafirika sana! Akanitafutia sigara pia sikuweza kwenda sababu za kiimani! Akanisusa mbele ya ukoo. Akanifukuza nyumbani.

Nikaenda kupanga uswahilini, baba yangu ana uwezo sana! Maana ni boss mkubwa sanaa wa TRA! Sikufanikiwa kupata kazi nikawa nafanya kazi za kanisa zaidi! Kwenda kuona wafungwa na kuwapelekea msaada wa kisheria.

Kimuonekano mimi ni mzuri sanaa tena sanaa! Mpaka mama wa kambo ana mdogo wake alikuwa kafa kaoza juu yangu ndo kuzodosha chuki ya bi mkubwa! Kanisani kwenyewe tafrani!

Watu wana kasumba mwanaume ukiwa mzuri maisha umeyapatia aaa wapi! Yule mhenga aliese!a mwanaume mashine ni muongo, mwanaume pesa baba sura hata mbuzi anayo!

Wanawake wanapenda wanaume wazuri kwa mda mfupi baadae expectations za pesa zinarudi pale pale! Na wanawake wanapenda mambo makubwaaa! Na mimi vikibwa sina! Nipo duniani kama mimimaybe na kanisa baaas!

Kumpenda Kyle kweli nilimpenda sababu alikuwa mdada na maisha yake anajielewa na ana upendo! Ila hakunipenda! Nikakubali matokeo! Mozah nklikuwa namuona wale wanawake wa kunataaa sanaaaa! Sanaaaa! Nikajiepusha nae kabisaa!

Siku napita kuhubiri dukani kwake sikuwa najua kama ndo dukani kwake! Nikamfanyia ibada mpaka nyumbani aka iomba nikae nao kidogo! Ofcpurse nilikuwa naishi kwenye chumba cha giza! Nilikubali kutoa msaada kidini na kwake palikuwa pazuri!

Nimekaa na Mozah six month haniulizi unafanya nini, unaingiza shingi ngapi,unatokakwenda wapi! She was very simple minded! Hathamini kitu kivilee! Na ndo alianza kunipa motooo fungua kanisaa, fungua kanisaa! The way she was talking about kama kitu chepesi! Na mimi nikaanza kuona mwanga juu ya hilo!

Navoishi kwake ndo nikaanza kumpenda ule usimpo wakena kuona urahisi wa kuishi nae na mchango wake chanya kwenye uwezo wangu wa kufikiri! Akakubali tukafunga ndoa! Hamna ndugu wa upande wa baba alietokea na upande wa mama walikuja sijui wawili! And she was not concerned!

Kila kitu cha harusi alinunua mwenyewe! Kila kitu! Gharama zote aliingia mwenyewe! Mpaka suti ya harusi! Na harusi yangu ilikuwa kubwa sanaa tu! Sanaaa! And she waa always pushing me to be the best i could be!

Nimemwambia naenda kusoma uchungaji akasema kama ni kuja kufungua kanisa basi sawa! She is always thinking big, she is always one syep ahead! Even now in the church she is making more money than me ndugu msomaji!

Hata mambo yakiwa at its worst hakati tamaa! Hata siku moja! She is always positive, always on her next move! Kwa kuwa nae nimefika mbali sanaa! Sokuwa kutegemea kama nitakuja kigika huku!

Sasa baba yangu ananipigia simu, anakuja nyumbani kuona wajukuu,anakuja kanisani kwangu! After everything ndugu msomaji? Si tunafanya mambo makubwa! Tunaha!isha milima! Ile semina ya TD Jakes niliogopa ila kina Mozahnamba zongine zile! Wakaingiza million 70 paaaap!

Nacho sikitika ni Mozah hajampokea Mungu rohoni! Tamaa yake ya pesa ni kibwa sanaa! Namuombea kila soku apewe kibali cha kujua Mungu ni zaido ya pesana mali! Namuombea sanaaa!

Our marriage life naweza sema sio mbaya sanaa, we have 4 kids wangu wa 2! Changamoto zipo ila ndogo ndogo na mimi nina Mungu sanaa so najishusha sanaaa! Namuachia ashinde yeye kwa hio tunaenda sawa! Kikubwa tunape dana na kuheshimiana ana ni support kwenye kufika ndoto zangu siwezi kulalamika ndugu msomaji! Kama mke jembe nimepata tractor!

Changamoto kanisani pia ni kubwa sanaa! Nazimidu kimtindo kama nilivosema mimi nina Mungu! Kama yule mtotomke wangu anaemhisi kanisumbua sanaaa! Sema tu sio type zangu! Kana njaa sana! Nisingeweza maana najua nitajikita front page! Mchungaji akwaa scandal ya kuzini!

Kimbembe huyu meneja wa bank! Daaaaah! Acha tu ndugu msomaji! Kwanza kisu cha hatariiiiii! Anaendesha Murano! Ana gari nyingi! Ananiambia anpewaga bonus kila mwisho wa mwaka kama million 300! Alileta fungu la 10 million 30 ndugu msomaji! Cash money! Ana takooo kwa nyie wasomaji wa kiume wenye michezo hio! Mimi mtumishi tako sio muhimu sanaa na ukimlinganisha na Mozah mke wangu ana tako kubwa zaidi! She is extra bright!

Nimemuona nikasema shetaniiii nipunguzie doziii mtumishi! Nikajua sio kipozeo atakuwa na principles zake na ethics acha dignity bila kusahau integrity! Kaniita kwake nikafanye huduma!

Huku na huku kaanza kunipa mate, wasomaji mnikome mtumishi nae mtu, nikaonja kidogo tu! Sunaah inaitwa! Bwanaaaaa! Wacha ninogewe! Mdada mtamuuu balaa! Ikawa kawaida yetu sasa! Nimenogewa na yeye kanogewa!

Kuja kujua kichwani yupo smart zaidoya Mozah! She was talking about big churches kukodi eneo kama Masaki huko! Mambo makubwa kama hayo! Daaaah! Namwambia sina uwezo! Ananiambia anaweza kuniunganisha nikafungua akaunti ya kanisa bank kwao, nikawa naweka deposits na atanifanyia mpango nikopeshwe One Billion!

Nikampanga Mozah tuhame bank akagoma kusikia One B akakubali fasta! Tukawa tunaweka savings kwa hio account! Na process ya One B loan ikawa imeanza kama alivoahidi!

Nikaenda marekani nae, kwa alivoniambia hana mume, ana mtoto tu mmoja! Wa kike! Ndo tulitakiwa kwenda nae USA ila hakuja nae! Tofauti na single moms wengine hataki maombi ya ndoa! Apate mume sijui akhaaa! Anataka kuombewa awe directoe wa bank! Au biashara zake hivo! Ndoa hana mcheche nayo kabisaa!

I fell foe this girl! Tungekuwa waislamu ninge mtwanga Mozah talaka 3 kamili siachi deni! Sema sasa ndo wakrito na wanangu nawapenda sanaaa! Ndo nikaanza kuelewa kwanini nilivokuwa nanyanyaswa na mama baba hakuwa akisema kitu! Its complicated i got his point!

Baada ya USA na mavagi tukakubaliana aache kuja kanisani,nikamuomba Mozah msamaha wa uongo na kweli for the sake of the church for appearances na mambo kama hayo! Akakubali! Ila akashtuka tunaendelea sema ushahidi ndo ukakosekana!

Nikawa naendelea nae, ndugu msomajinaachaje One B? Ofcourse pia alikuwa mtamu sanaa huyu bi mkubwa! And we were soul mates!Mpaka nikaanza kumuomba anizalie! Nambembeleza kabisaa!

Nikaacha kumkataza Kyle kupanda madhabahuni sababu ya zinaa, maana na mie nikawa kubwa la zinaa! Kila mtu anapanda na janaba lake! Nikajitahidi nikifika kwa wife natoa show za kibabe ili tu asistuke kabisaa!

Siku akafuma sms wife ya yule dada! Nikampooza yeye ndo ananitaka mimi sitaki mpaka kanisa i nimemfukuza nifanyaje sasa? Mozah akasema nitafunga usiku na mchana mwezi mzima kumuomba Mungu akuumbue mbele za kanisa lako na kondoo wako! Nikamua dua ya kuku haiwezi kunipata mwewe!

Ghost akawa ananivuruga na kanosa lake sanaa! Ghost ana mtaji mkubwa! Ghost hustler! Ghost mpambanaji sanaa! That is why i needed that one billion kwa namna yoyote! Ili ku survive competition lazima mtaji ulikuwa upite kati kati!

Mozah akawa kabeba mimba kibahati mbaya hatukupanga ila hakufurahi! Nikamkomalia haina jinsi lazima azae, akaleta makarateka mimba imeharibika ila nilijua kaitoa! Aliniboaaaa sio kitoto! Sikusema kitu chochote!

Siku hio nikiwa na baby wangu Bank manager tunajiachia hotel,chumba kikagongwa! Nikajua mishkaki imeletwa! Kufungua kundi la watu wana camera za videona wamkuja na padri yule sijui kateksta! Moja kwa moja nikajua Mozah katufamania! Mozah nammudu tamaa yake ya pesa hawezi kuwa stupid!

Naona mwenzangu anatetemeka anaita mume wangu nisamehe! Mume wangu sitorudia tena! Nikajua nimekwiaha! Namuuliza Mume????? Mume akasema ndio mume alikwambia hajaolewa? Nikasema yeah! Akaniambia sasa ndo mke wa mtu! Alikuwa! Leo nakukabidhi rasmi! Katekisstaanza maombi hapo!

Picha zikapigiwa na video juu! Maombi kama yote,mume akanikabidhi rasmiii mke! Niliganda kama nyamafuuu! Wakaondoka! Wachaga watu wastarabu sanaa sio washamba wa K! Nikarudi kwangu siamini amini kilichojiri!

Nikakaa kimya! Nilitaka kumwambia Mozah nikaamua nimuombe tu Mungu kikombe hiki kiniepuke ikimpendeza! Nilisali sala zooote! Ikapita wiki salama! Ikaiaha ya pili! Nikajua nimepenyaa! Nikaanza kurejea uchangamfu wangu!

Wiki ya 4 nimeenda kanisani kila mtu kashika gazeti! Hamna bwana Asifiwe wala nini kavu kavu! Nikaingia ofisini! Dada Betty aka iletea gazeti! Mwana wani niko front page guest kule! Pichaza fumanizi kama zote! Mmm!!!mhhnn! Nikamuuliza Mozah kaliona gazeti? Akasema ndio! Nikamuuliza ikawaje? Hakujibu! Akatoka nje!

ITAENDELEA
Haha Aisee ..kweli ngono sio kitu cha mchezo mchezo .. dua la kuku limempata mwewe ...kanisa litakufa hilo
 
Wanasema behind everu sucessful man there is a woman behind! Wala si uongo aisee! Wake zetu ndo wana determine nani utakuwa nani katika maisha! Mimi nililijua hili mapema sanaa sp nikawa very careful naoa wapi na namuoa nani!

Mimi sina mama nimelelewa na mama wa kambo! Alinitesaaa sanaaa sanaaaa! Ndo ameniharibia confidence yangu moja kwa moja! Baba alokiwa anajua nateswa ila hakusema kitu! Na mimi nikazoea kuteswa!

Niliokoka mdogo sana katika kitafuta faraja nilio ikosa nyumbani, nikajilea katika misingi ya kanisa! Nikafanikiwa kusoma sheria! Nilisoma sheria sababu ya kukosa haki za msingi na kukosa mtetezi!

Mungu mkubwa nimemaliza chuo mzee akanitafutia kazi ya kwanza Breweries kama mwanasheria ilikuwa bonge moja ya kazi sababu za kiimani sikuweza kwenda! Alighafirika sana! Akanitafutia sigara pia sikuweza kwenda sababu za kiimani! Akanisusa mbele ya ukoo. Akanifukuza nyumbani.

Nikaenda kupanga uswahilini, baba yangu ana uwezo sana! Maana ni boss mkubwa sanaa wa TRA! Sikufanikiwa kupata kazi nikawa nafanya kazi za kanisa zaidi! Kwenda kuona wafungwa na kuwapelekea msaada wa kisheria.

Kimuonekano mimi ni mzuri sanaa tena sanaa! Mpaka mama wa kambo ana mdogo wake alikuwa kafa kaoza juu yangu ndo kuzodosha chuki ya bi mkubwa! Kanisani kwenyewe tafrani!

Watu wana kasumba mwanaume ukiwa mzuri maisha umeyapatia aaa wapi! Yule mhenga aliese!a mwanaume mashine ni muongo, mwanaume pesa baba sura hata mbuzi anayo!

Wanawake wanapenda wanaume wazuri kwa mda mfupi baadae expectations za pesa zinarudi pale pale! Na wanawake wanapenda mambo makubwaaa! Na mimi vikibwa sina! Nipo duniani kama mimimaybe na kanisa baaas!

Kumpenda Kyle kweli nilimpenda sababu alikuwa mdada na maisha yake anajielewa na ana upendo! Ila hakunipenda! Nikakubali matokeo! Mozah nklikuwa namuona wale wanawake wa kunataaa sanaaaa! Sanaaaa! Nikajiepusha nae kabisaa!

Siku napita kuhubiri dukani kwake sikuwa najua kama ndo dukani kwake! Nikamfanyia ibada mpaka nyumbani aka iomba nikae nao kidogo! Ofcpurse nilikuwa naishi kwenye chumba cha giza! Nilikubali kutoa msaada kidini na kwake palikuwa pazuri!

Nimekaa na Mozah six month haniulizi unafanya nini, unaingiza shingi ngapi,unatokakwenda wapi! She was very simple minded! Hathamini kitu kivilee! Na ndo alianza kunipa motooo fungua kanisaa, fungua kanisaa! The way she was talking about kama kitu chepesi! Na mimi nikaanza kuona mwanga juu ya hilo!

Navoishi kwake ndo nikaanza kumpenda ule usimpo wakena kuona urahisi wa kuishi nae na mchango wake chanya kwenye uwezo wangu wa kufikiri! Akakubali tukafunga ndoa! Hamna ndugu wa upande wa baba alietokea na upande wa mama walikuja sijui wawili! And she was not concerned!

Kila kitu cha harusi alinunua mwenyewe! Kila kitu! Gharama zote aliingia mwenyewe! Mpaka suti ya harusi! Na harusi yangu ilikuwa kubwa sanaa tu! Sanaaa! And she waa always pushing me to be the best i could be!

Nimemwambia naenda kusoma uchungaji akasema kama ni kuja kufungua kanisa basi sawa! She is always thinking big, she is always one syep ahead! Even now in the church she is making more money than me ndugu msomaji!

Hata mambo yakiwa at its worst hakati tamaa! Hata siku moja! She is always positive, always on her next move! Kwa kuwa nae nimefika mbali sanaa! Sokuwa kutegemea kama nitakuja kigika huku!

Sasa baba yangu ananipigia simu, anakuja nyumbani kuona wajukuu,anakuja kanisani kwangu! After everything ndugu msomaji? Si tunafanya mambo makubwa! Tunaha!isha milima! Ile semina ya TD Jakes niliogopa ila kina Mozahnamba zongine zile! Wakaingiza million 70 paaaap!

Nacho sikitika ni Mozah hajampokea Mungu rohoni! Tamaa yake ya pesa ni kibwa sanaa! Namuombea kila soku apewe kibali cha kujua Mungu ni zaido ya pesana mali! Namuombea sanaaa!

Our marriage life naweza sema sio mbaya sanaa, we have 4 kids wangu wa 2! Changamoto zipo ila ndogo ndogo na mimi nina Mungu sanaa so najishusha sanaaa! Namuachia ashinde yeye kwa hio tunaenda sawa! Kikubwa tunape dana na kuheshimiana ana ni support kwenye kufika ndoto zangu siwezi kulalamika ndugu msomaji! Kama mke jembe nimepata tractor!

Changamoto kanisani pia ni kubwa sanaa! Nazimidu kimtindo kama nilivosema mimi nina Mungu! Kama yule mtotomke wangu anaemhisi kanisumbua sanaaa! Sema tu sio type zangu! Kana njaa sana! Nisingeweza maana najua nitajikita front page! Mchungaji akwaa scandal ya kuzini!

Kimbembe huyu meneja wa bank! Daaaaah! Acha tu ndugu msomaji! Kwanza kisu cha hatariiiiii! Anaendesha Murano! Ana gari nyingi! Ananiambia anpewaga bonus kila mwisho wa mwaka kama million 300! Alileta fungu la 10 million 30 ndugu msomaji! Cash money! Ana takooo kwa nyie wasomaji wa kiume wenye michezo hio! Mimi mtumishi tako sio muhimu sanaa na ukimlinganisha na Mozah mke wangu ana tako kubwa zaidi! She is extra bright!

Nimemuona nikasema shetaniiii nipunguzie doziii mtumishi! Nikajua sio kipozeo atakuwa na principles zake na ethics acha dignity bila kusahau integrity! Kaniita kwake nikafanye huduma!

Huku na huku kaanza kunipa mate, wasomaji mnikome mtumishi nae mtu, nikaonja kidogo tu! Sunaah inaitwa! Bwanaaaaa! Wacha ninogewe! Mdada mtamuuu balaa! Ikawa kawaida yetu sasa! Nimenogewa na yeye kanogewa!

Kuja kujua kichwani yupo smart zaidoya Mozah! She was talking about big churches kukodi eneo kama Masaki huko! Mambo makubwa kama hayo! Daaaah! Namwambia sina uwezo! Ananiambia anaweza kuniunganisha nikafungua akaunti ya kanisa bank kwao, nikawa naweka deposits na atanifanyia mpango nikopeshwe One Billion!

Nikampanga Mozah tuhame bank akagoma kusikia One B akakubali fasta! Tukawa tunaweka savings kwa hio account! Na process ya One B loan ikawa imeanza kama alivoahidi!

Nikaenda marekani nae, kwa alivoniambia hana mume, ana mtoto tu mmoja! Wa kike! Ndo tulitakiwa kwenda nae USA ila hakuja nae! Tofauti na single moms wengine hataki maombi ya ndoa! Apate mume sijui akhaaa! Anataka kuombewa awe directoe wa bank! Au biashara zake hivo! Ndoa hana mcheche nayo kabisaa!

I fell foe this girl! Tungekuwa waislamu ninge mtwanga Mozah talaka 3 kamili siachi deni! Sema sasa ndo wakrito na wanangu nawapenda sanaaa! Ndo nikaanza kuelewa kwanini nilivokuwa nanyanyaswa na mama baba hakuwa akisema kitu! Its complicated i got his point!

Baada ya USA na mavagi tukakubaliana aache kuja kanisani,nikamuomba Mozah msamaha wa uongo na kweli for the sake of the church for appearances na mambo kama hayo! Akakubali! Ila akashtuka tunaendelea sema ushahidi ndo ukakosekana!

Nikawa naendelea nae, ndugu msomajinaachaje One B? Ofcourse pia alikuwa mtamu sanaa huyu bi mkubwa! And we were soul mates!Mpaka nikaanza kumuomba anizalie! Nambembeleza kabisaa!

Nikaacha kumkataza Kyle kupanda madhabahuni sababu ya zinaa, maana na mie nikawa kubwa la zinaa! Kila mtu anapanda na janaba lake! Nikajitahidi nikifika kwa wife natoa show za kibabe ili tu asistuke kabisaa!

Siku akafuma sms wife ya yule dada! Nikampooza yeye ndo ananitaka mimi sitaki mpaka kanisa i nimemfukuza nifanyaje sasa? Mozah akasema nitafunga usiku na mchana mwezi mzima kumuomba Mungu akuumbue mbele za kanisa lako na kondoo wako! Nikamua dua ya kuku haiwezi kunipata mwewe!

Ghost akawa ananivuruga na kanosa lake sanaa! Ghost ana mtaji mkubwa! Ghost hustler! Ghost mpambanaji sanaa! That is why i needed that one billion kwa namna yoyote! Ili ku survive competition lazima mtaji ulikuwa upite kati kati!

Mozah akawa kabeba mimba kibahati mbaya hatukupanga ila hakufurahi! Nikamkomalia haina jinsi lazima azae, akaleta makarateka mimba imeharibika ila nilijua kaitoa! Aliniboaaaa sio kitoto! Sikusema kitu chochote!

Siku hio nikiwa na baby wangu Bank manager tunajiachia hotel,chumba kikagongwa! Nikajua mishkaki imeletwa! Kufungua kundi la watu wana camera za videona wamkuja na padri yule sijui kateksta! Moja kwa moja nikajua Mozah katufamania! Mozah nammudu tamaa yake ya pesa hawezi kuwa stupid!

Naona mwenzangu anatetemeka anaita mume wangu nisamehe! Mume wangu sitorudia tena! Nikajua nimekwiaha! Namuuliza Mume????? Mume akasema ndio mume alikwambia hajaolewa? Nikasema yeah! Akaniambia sasa ndo mke wa mtu! Alikuwa! Leo nakukabidhi rasmi! Katekisstaanza maombi hapo!

Picha zikapigiwa na video juu! Maombi kama yote,mume akanikabidhi rasmiii mke! Niliganda kama nyamafuuu! Wakaondoka! Wachaga watu wastarabu sanaa sio washamba wa K! Nikarudi kwangu siamini amini kilichojiri!

Nikakaa kimya! Nilitaka kumwambia Mozah nikaamua nimuombe tu Mungu kikombe hiki kiniepuke ikimpendeza! Nilisali sala zooote! Ikapita wiki salama! Ikaiaha ya pili! Nikajua nimepenyaa! Nikaanza kurejea uchangamfu wangu!

Wiki ya 4 nimeenda kanisani kila mtu kashika gazeti! Hamna bwana Asifiwe wala nini kavu kavu! Nikaingia ofisini! Dada Betty aka iletea gazeti! Mwana wani niko front page guest kule! Pichaza fumanizi kama zote! Mmm!!!mhhnn! Nikamuuliza Mozah kaliona gazeti? Akasema ndio! Nikamuuliza ikawaje? Hakujibu! Akatoka nje!

ITAENDELEA
Kanisa kushnei..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom