Peke yake?Leo anakuja Kyle
Bora ya kr na kyle yalivyoparanganyikaKONKI ACID!
Well not all of us should sell drugs for a sucessful life! Some of us are just clean, hard working and sucessful! We work so hard to get here! It was hard work, over hard worker and even more hard work! Nawaahidi wadogo zangu mkisoma kwa bidiii sanaa na kujituma one day yes mtakua kama mimi! Rich clean and sucessful!
Najua ni ngumu kuamini na bora usiamini ila ndo ilivotokea! Kama utani utani lakini ni kweli! Hard work is key! Na juhudi ndo kila kitu. Mimi ni mtoto wa familia za kawaida kabisaaa kama nyie nimejituma sanaaa na sasa nimefanikiwa na kutoka kimaisha!
Hio ni simulizi tamu ya alinacha niliokuwa naisoma kwenye gazeti la mfalme juha! There is nothing like Luck! You create your own luck! Usipofosi kingi katika maizha haya hutokaaa utokeeee! Yes i make lot of money but i do break lot of laws on daily basis! I dont sell drugs for now, but i sold drugs for a longtime until i started consuming my own mechandise!
Went to reharb, got clean, came back stronger than before! Hans sio teja ukilinganisha na teja mimi! If he finds purpose in life he can over come addiction! And once you overcome addiction you are invicible! Hakuna kitakacho kushinda!
Between me and you sina cheti chohote! Yes i am fraud! Vyote nimejitengenezea na kujipa! Nilikaa nje kidogo so nikaandaa kabisa photo shop za ukwee! Nikazijaza linked in! Nikaji photoshop mpaka school picture za vyuo nilivofoji miaka nilioji graduetisha! I am the master of this game!
Nikaanda linked in profile yangu safii kabisa na kurejea bongo! Wa kwanza kujaa ni NIC, nakunywaga na Managing director wao, anapenda sanaa totoz! Nikamuachia tu cv yangu kwenye biabaada ya kujuana wiki 2! Akanipigia simu! Akatoa oda huyu namtaka kwenye team yangu mpe mkataba! Wakaniuliza mshahara nikasema 4m si serikali! Wakasita sita akawaambia vyeti vyake mmeviona? Wakanipa!
Kufika pale nikagundua loop holes nyingi sanaa! Nikaanza kujenga team yangu. Nikaanzisha kwanza agency yangu ya kuuza bima! Siuzi bima siuzi chochote nauza tu kava noti zile sticker kumkwepa trafic! Kama halali wanakata piki piki 40k mi sticker 20k! Nimeziuzaaaa! Tena nakula na wenyeviti wa vijiwe vya boda boda! Nawatia pesa! Wanasaidia kunitangaza! Nchi nzima nauza cover note tu! Magari sikutaka sababu! Sometimes they do get accidents sonawapoza kuwalipa from mfukoni! Boda boda hawajasoma! So kuwa manage rahisi!
Nikagundua kuna so many unclaimed death insurance! Nika dowload data za mikoa yoteee! Hizi bima za maisha zimewiva ila wenyewe penginepo wamekufa afu ndugu zao hawajui! Nikapanga team yangu ya kutafuta watu wa kutoshea wasifuwa watu wenye bima hizo! Kama mzee namtafuta mzee! Kama kijana wa makamo namtafuta kijana wa makamo! Nawatengenezea ID si nina inside data na kuwa feed info! Nawapeleka front kuclaim hizo bima! Nilipiga hela ndefu kijinga sanaa!
Nikaja kuona loop hole kwenye magari ya mizigo yanayopata ajali afu hayana bima au bima zimepita! Kupitia agency yangu nikatangaza tu kwenye black market kama mtu akikutwa na hio issue aje tukae mezani! Wakija natafuta gari inayofanana kwenye system tunachukua plate number, tunatengeneza na kubadilisha na ile ya ajali tunawapooza na polisi! Bima inalipaaa! Tunagawana pasu kwa pasu! Sasa semi unakua 50m tukigawana 25m niba hasara gani! Agency kila mkoa! Kwa siku nina issue hizi 5 mpaka 10!
Nikawa mkurugenzi tunalipana kwa siku million 5 in return ananipa imunity! Ma auditor wakija wakitaka kukisanua wanahamishwa idara! Baadae watu wakaelewa sigusiki! Wakawa wananiacha tu! Acha kuingiza forgerynalipwa comission mara 3, 3! Mpaka TIRA nikaibemenda vile vile! Mteja namkatia comprehensive, TIRA naingiza comprehensive afu ofisini bima nawapelekea 3rd party! Napocket the difference! Conki, conki acid kweli!
Fitna zikazidi pale ofisini! MD akaniambiabwana mwanangu kichwa ila hapaishafanya mazabe makubwa nenda standard chattered kapoe kidogo nakupeleka Zanzibar Insurance! Akampanga MD hili jembe linakuja kukuonesha fursa zote! Nikaingia standard chattered! Md akaniambia angalia hapa tunakulajeee? Ndo nipo kwenyekuangalia!
Most of my income kama kawaida pikipiki na bajaji cover note zile! Hizi clean investment nimefanya ndio ila return yake ndogo sanaa! Afu income yake ya msimu sio stable!
Ghost namjua sanaaaa! Tena sanaaa! And i dont like him to set the record straight! Na hata alivokuja ofisini kwangu akaniambia kama nakufananisha! Nikamwambia sio mimi! Nimekuja bongo sina mwaka sijakulia bongo! Akanikubalia! Ananichora na mie namchora
Ghost mwanamke wake Kyle nimemjua mda sanaa! Nilikuwa naenda Club D! Namkita ana uchunguuu moyoni kweli kweli! And Ghost waa treating her like trash! Nikamuuliza mtu sasa kwanini huyu mwanamke hamuachi Ghost! Akaniambia hajapata mwanaume wa maana! Anaejua kumpenda mwanamke!
At that time i waa acoke head! Nilimuhurumia tu! Nikao doka bongo nikawa namfatilia insta na kwa watu! Then i made my money! My clean money! And it waa time foe me to go for this lady! Nilipanga kama kumlipa fadhila cause i know Ghost can be inhuman! Na nilimpenda pia!
Nikaanza kumtongoza kanisani kwao! Akaniambia ana mtu! Nikamwambia its okay! Tuwe marafiki! Namchatisha 24/7! Nikamkaribisha ofisini kwangu akiona Standard chattered bank! Ofisi kubwa! Watu wananiita boss! Afu mimi tunalingana!
Akaanza kujaa taratibu! Kila siku jioni namtoa dinner, sehemu elekezi, tulivu we just talk! She talks i listen! Anajimalizaaa! Mimi sina cha kusema ndugu msomaji! Ananiambia tell me about you! Namwambia nikikwambia ukweli hutonipenda tenaa! Nikikwambia uongo utanilaumu!
Ananishawishi ukweli gani? Mbona unanitisha? Namwambia nipende hivo hivo! Anakuwa na mashaka badae anajitoa shaka mwenyewe. Tunaongeaaa! Vikamshinda vya kuongea! Siku hio akaniambia tuchukue chumba! Mwenyewe! Nikasema okay! Akachukua chumba nikaenda mpaka romance zikaanza! Nika atopisha show! Na kumwambia sitaki kukuchezea baby!
Nilikuwa simpi mda wa kuchat na ghost! Na m keep busy baby wangu! Then i found out she was creeping with ghost! Wanalala wote! Nikamuuliza kiupole kabisaa! Why? Akanitetea mimi silali nae so its purely sexual! Nikaanza kulala nae! In no time Ghost waa blocked!
Navokaa nae nikaamua sasa namuoa! Official! I waa ready to propose! I waa happy! Very happy! Namspoli baby bae! Nimetoka kumnunulia new ride! Alifurahi sanaa! Pete niliagiza Russia! Jiwe jiwe kweli! Nikataka ku propose siku ya birhday ya mwanae! Watu walikuwa wengi mnooo!
Ghafla akaja Hans! Hans namjua ila yeye hanijui! Akanipa mkono ile nipe tano Suti ikapanda tatooo ikaonekana ya mkono! Hans akastukaa sana kuiona ile tatotooakasema KR??? kama kuniuliza! Nikaagusha suti na kumwambia umenifananisha! Ndo kisa cha kuondoka fasta fasta!
Nikawahi kwa Cookie na kumwambia sister nisaidie! Hans kanijua! Alivokuwa huku kwenye videocall hii tatoo ya dragon anaijua! Na mimi kanijua! Akasema dogo usiwaze, mimi Hans nammudu! Akampigia simu akaja! Akampangaaa! Akasema mimi siwezi kusema wala sijamwambia hata Ghost cauae Kyle is happy! And i wanther to be happy! Kama mdogo wako anamfanya wawe happy mimi sitoingilia! Nika save hio moja! Nikasema hii tatoo nitaipasi!
Siku nyingineLinda akaniona akaaema Ankoo i like your tatoo! Nikawaza niipasi tu haina namna! Nikaanza kuona wanga mwingi, nikaproppose tukiwa wawili tu! She said yes!
Nikajiandaa kwenda kwao kabisaa! Nikatoe mahari nioe jumla! Linda akamwambia Ghost kaona tatoo yangu, Ghost kamchota chota kamchorea! Ghost akachokonoa kwe ye team yake nani ana tatoo kama ile! Wakajumlisha wakatoa nikatajwa KR! Kaka yake Cookie! Hapo akawa kanipata!
Kafukunyua online nishafungwa, nishaoa nime divorse na nina watoto wa 2 huko China, nishauza unga, nishakuwa teja, nishafanya kila kitu kibaya! File kamili! Akalipeleka kwa Hans! Hans akamwambia mimi najua kitambo! Akanipigia simu Ghost taarifa zote anazo! Mda wowote bomu linalipuka!
Nikamfata Kyle Nikamuuliza Kyle unanipenda? Akasema yes! Nikamwambia tufunge ndoa sasa hivi! Anasema why the rush? Namwambia please kama unanipenda tufunge ndoa sasa hivi! Akasema mbona ghfla kuna nini? Namwambia promise me utanipenda hata ukijua niliokuwa nakwambia ukiyajua hutonipenda! Anauliza kwani kuna kitu natakiwa kujua mbona sielewi? Namwambia Kyle i was nice to you! I love you, tuondoke nchini sasa hivi! Niamini mimi! Twende Dubai!
Zikaingia message! Nikawa nasikilizia! Nikasikia stay far away from me and my daughter! Nikajua tu bomu lishalipuka! Alibadilika sura akaondoka akaniacha!
ITAENDELEA
Duh!For once in my lifei was helpless! Lost and in pain! Maumivu ya moyo hayapoi kwa ganzi! Kama moyo kupata jeraha ulipasuka vipande vipande! Ghost ashanipa maumivu ila hayaingiii hata robo kwa haya! Hata robooo! Mpaka maji nayaona kama shubiri!
Niliona Mozah anavo lia mpaka anaishiwa nguvu anajilegeza nilikuwa sijui maumivu ya moyo kiboko! Mifupa ilio pondeka pondeka ! Jeraha la moyo ni jeraha baya sanaa! Usiku sina hamu ya kulala kabisaaaa kabisaaa! Nilikaa siku 3 hata kusinzia!
Mwanangu akaona kuniguza peke yake hawezi ikabidi Hans aje! Nikaenda chumbani kwa Hans kupekua unga wake alipouficha nipanguse japo kidogo tu! Nilielewa kqabini Hans hafanyi jitihada za kupona! Amejeruhiwa moyo! Sikuupata unga!
Nikaanza kumuomba Hans naomba basi hata ukucha, nateseka mwenzio, nitakuja kufa nikuachie mtoto uleee mwenyewe bila msaada kisa kuninyima ukucha! Akakomaa sina unga mimi! Nimeacha! Nikaenda kununua kwa Cookie akaninyima! Unga ukiutafuta huupati! Ikabidi niende kuchoma valium ndo nilale!
Nimbembeleza hans chukua basi hata papa unipe huo unga! Hatakii! Ananiambia nenda kwe ye maombi! Namwambia sitaki! Ananikumbusha unakumbuka mnavonilazimishia rehab? Namwambia kaliwe kiboga achana na mimi! Nilimuone huruma mwanangu sanaa maana wazazi wote nati zimekatika!
Akaja Mozah kuniomba niende kanisani! Nikaenda sura imenishupaaa! Mda wa maombi watu wanajimimina mi nimekaa tu naangalia angalia wanavojimaliza! Naanzia wapi kuomba? Naishia wapi! Moyo wangu ulikuwa umejeruhiwa vipande vipande! Ningesema niende mbele za bwana nisingejizuia kuporosha mitusi nikajikuta nalaabiwa bure! Wacha tu nijeruhiwe moyo!
Nikakuta Hans kaniletea bangi! Nikamwambia badala unipe mambo ya konki mambo ya m colombia unanipa m jamaica! Maumivu nayosikia moyoni mwangu naweza kumla huyo mjamaica na ugali kama mboga! Niacheeee bwana!
Kila nikijitahidi kumsahau yule bwege nashindwa mwenzenu! Nashindwa kabisaaa! Sijui alikiwa kaniloga na kama kaniloga kweli mganga wake basi ni mamba kabisaa sio kiboko! Na hivi navomkumbuka nashikwa na uchungu usio na uzazi!
Kanisani nikaacha kabisa kwenda wala kusali wala kuomba wala kuamini! Nikawa nipo nipo kama mpagani tu! Naanzaje kupanda madhabahuni na kiwaambia watu Mungu anaishi, ana nguvu na uweza wakati mimi kunitendea maajabu kagoma? Nawaombea watu wanafanikiwa sanaa! Nikijiombea mwenyewe holaaa! Seriously? Basi sijiombei wala simuombei yoyote! Tukose wote!
Kila nikijitahidi kumsahau nazhindwaa kabisaa! Naanzaje kwa mfanooo? Mwanaume anajua kupenda yuleeee! Sijawahi kupendwa maishani mwangi kama nilivo pendwa na huyu mpuuzi! I didnt have to try hard! Situmii nguvu, sifosiiiii! It was true love! Raha sanaa ukimpenda mtu akakupenda!
Kukawa na kitchen party ya mdada mmoja kanisani! Mozah kanikeraaa nikaamua kwenda nae! Kukawa na mchungaji akasema wale wote ambao hawajaolewa wasimame niwape upako mwaka huu haushi wataolewa! Na maneno yangu hayatonirudia kinywani kwangu!
Sikusimama! Mozah ananifinya finya! Nikachana pakti ya konyagi na kuinywa dry! Mozah akasimama! Nikaona kichekesho anataka kuolewa tena khaaaaa! Akaomba pale mahubiri mazuri! Mistari ile ile who finda a wige finds favor from God! Akatumia na ya Abraham kumtuma kijakazi akamtafutie Isaka mke! Ile ile ya kila siku! Sikusikiliza! Baadae Mozah ananiambia nilisimama kwa niaba yako! Khaaaaaa! Nikamwambia sababu miguu ni yako next time chuchumaa kabisaa kwa niaba yangu!
Kila navojitahidi kujipa moyo nime msurvive Ghost kweli huyu anishinde kabisaa? Hana jeuri hioo! Nikowaza hana jeuri nakumbuka mara ya kwanza namuona nikasema kaka mzuri huyuuu! Ila mimi sina bahati hizi! Akaanza kunichatisha chatisha! Nikasema jamani mimi huyu huyu au? Nikajua labda anataka kunidanga!
Akanikaribisha ofisini kwake Standard Chattered Bank! Nilashangaa kwamba he actualy have a life! Ndo nikadata kabisaa! Nikataka kumshirikisha Mozah ila nikaona hataaa! Asije kuniharibia mimi! Let me handle him alone! Hana papara na papuchi kabisaa!
Nikawa nalala na Ghost kimazoea tu, ila moyo kama moyo ushahama! Ishahamia huku! Kenny anakua!sha na good morning text! Mchana atakitafuta kokote mle wote lunch! Akitoka kazini lazima akutoe out! Mpaka kesho yake tena hio! Ndo ratiba!
Hakuwa msemaji kabisaa! Yeye ni nani anatokea wapi wala nini! Ila anapenda kunijua zaidi na mie tena kwa kujimimina najimaliza kabisaa! Hata ukienda kununua nguo atakupeleka! Yuko radhi atoroke kazini akupeleke kununua nguo! Akanikubusha sanaa mapenzi yangu na Sam wakati bado wadogo!
Mwanaume mpole yuleee sijawahi kuona! Kila kitu anakuuliza wewe unaonaje? Kyle tunafanya vipi! ***** kweli kweli kama angenioa ningekuwa nimepata bonge moja ya mume! Bonge moja ya mume! Nawaambiaje ndugu wasomaji mngekomaaa! Mngepata tabu sanaaaa! He is everything i ever wished for a husband! Nasemajeee mna bahati!
Siku ya kwanza anavua shati oooh my God! Alinivuruga sio kidogo! Siku zote anavaaga long sleeves! Iwe shati hata v neck hata tshirt lazima iwe longsleeves! Siku hio anavua naona body ina tatoo kama zote! Afu zimepangiliwa zimekuwa kama nakshi hazi chushiii! Mpaka na mimi nikatamani nikaongeze tatooo! Nina tatoo ya kipepeo mguuni Sam huyooo!
Kavua shati hivi nikasema Mungu kweli ananipenda! Na ananipenda kweli kweli! Kichelewa kote kuolewa for this man namsameheee! The wait is worth every second! Of all tatoos my favorite was Dragon! Hio dragon ni tatoo maybe kubwa kuliko zote na ipo mkononi mwake! Hii tatoonilikiwa naweza kuiangalia siku nzima na nisichoke!
Mpaka nikamwambia i want to get a tatooo! Ananiambia this shit is painful siwezi kukuruhusu! Nikamuonesha mguuni! Akawa anagoma goma! Nikamwambia nipeleke nikachore! Akawa hataki! Nikangangania sanaa mpaka akakubali mpole sanaa! Nilikuwa namkalia kichwani! Akanipeleka! Nikachora dragon wa kike! Hakumpatia sanaa kama wa Kenny! Wa Kenny alikuwa piece of work sio kidogo! KaI moja imefanywa into perfection! The shit is painful kweli kweli!
Baada ya kutibuana vuzinikaenda amfute kwa kuchora juu yake aweke kopa aandike Linda! Bora nimkumbuke shoga angu na mwanangu! Akasema haiwezekani! Dragon ni mrefu, tatoo ni kubwa afu nyembamba kuirekebisha atachafua chafua mgongo wangu pakubwa sanaa! Bora nimuache! Kwanza yupo mgongoni simuoni kwa hio hatakiwi kunikera!
Mozah akasema i should try to see other people! I never know naweza kubahatisha mkali zaidi! Sikutaka! Ila kumpa moyo nikasema ngoja nijaribu huenda jeraha likapona jumla jumla! Nikaanza kutoka out! Kila mtu naona ananiboa tuu! Seriously!
Wengine vitambi ndindi mi nishazoea kupapasa body la mazoezi lile! Wengine njaa kali! Maana mtu unamkuta siku ya kwanza antangaza njaaa! Puuuuuuu! Unamsikiliza unaona ni ushenzi mtupu! Sikufanikiwa sababu nilikuwa sitaki kufanikiwa kabisaa!
Ada ikatushinda na Hans,nikamwambia sasa Hans tunafanyaje baba mtoto! Akasema mimi hapa sina msaada mama mtoto! Tumuamishe tu shule! Nikamwambia hapana! Cha kufanya yule demu wako, main chick wako baba ake si ana hela kama zote, muombe hio pesa tuone itakuwa vipi! Hans akasema mimi sitaki anione hivi! Nikamwambia nenda bwana mimi na mwanao tunakuona hivi yeye nani asikuone hivi? Akaenda akakosa!
Nikamfata Ghost, nikamwambia mwanangu hana ada, sasa beach plot yako nakurudishia nipe ada manake nimewaza kuiuza kwa mtu mwingine nimeona sio fair! Akaniambia Linda ni mwanabgu si nilikwambiaga! Kesho naenda kumlipia ada! You dont have to give back anything sweetie!
MiGhost namjuaaaa kuliko nyie wasomaji! Hio kesho atataka uchi! Anyway nitampa show moja goli zake 3 kwani nina hasara gani? Na kweli kesho kanipigia yupo hotelini njoo chukua risiti! Nikaenda!
Kwanza mwili wake ulinikeraa! Makovu kovu kama katoka vitani! Hio mikovu anayo siku zote! Ila siku hio ilinikera zaidi! Ana mshawasha kama wote! Mimi rohoni kanitokaa sio kidogo! Ila natoa ushirikiano hivo nifanyaje ndugu msomaji? Nifanye vipi? Najiliza uongo uongo! Akojoe tu, anipishe zangu! Nikajishangaa kabisaa kilichonitoa roho kwake ni nini haswaa?
Badojeraha za moyo wangu zilikiwa kubwa sanaaa! Nikaenda kumuuliza mke wa Cookie Kenny kaenda wapi na anafanya nini? Akasema hajui! Nikamtuma mpeleleze Cookie! Akasema nauhakika hajui angeniambia! Ndp zake kupotea miaka kadhaa na kuja kuibuka tena kivingine!
Baada ya miezi mi tatu nikaanza kusikia kichefu chefu,homa, nikajua tu kitu na box! Mimba! Ya nani exactly sina uhakika! Mbona aibuuuu! Nawaambiaje watu! Naanzia wapi! Nikauza uza vitu vyangu vichache nilivo navo!
Nika apply masters Sweeden, nikamuaga Hans na kumwambia inabidi twende wote tupeane zamu mtoto! Nilijua nikimuacha takufa mapema! And somehow even if he waa a deas beat dady i juat wanted him arround my daughter! Nikamwambia naenda kusoma!
Ulaya no gharama mnoo mnoo! Nikampanga Ghost mi nataka niende Sweeden mwaka moja kwanza nikapumzike na kutuliza kichwa nisapoti! Akakubali! Tena anasema kama Ulfat atangangana kukakaka huku tuanzishe famiia kule! Mimi kukutunza sio issue! Moyoni nayajua mie!
Akatutengenezea karatasi muhimu, tukaondoka na mwanangu! Sweeden nalea tumbo langu kwa raha sanaa! Japo sijui toto hili baba yake nani ila nachojua ni toto langu na nitalipenda mpakana pumzi yanguya mwisho! Ghost anatuma pesa ya uhakika, tuna bebishana kwenye simu hatari! Ila sikumwambia na mimba wala nini! Akitaka picha za uso tu! Au nimekaaa na kuvaaa koti kubwa sanaaa!
Siku moja jioni nikiwa jogging ikapita gari kali sanaa! Kali ana ya ulaya mjue ni lamborgin! Ikapunguza mwendo kama kusimama kwa mda! Dereva akaniangaliaa kama akataka kunisemesha akaghairi na kuondoka zake! Dereva ni mzungu kabisaa and i was positive simfahamu kabisaa!
Jioni Ghost kapiga simu, ananiambia nimetoka kuchukua visa ubalozin huku nakuja na flight ya kesho! Utumbo ulinitetemeka! Na!wambia sawa baby! Nimekuhamuu kweli! Anaguma mmmhhhh! Kesho kutwa tutakuwa wote hapo kujiachia!
Uwiiii..kyle nini lakini??!!For once in my lifei was helpless! Lost and in pain! Maumivu ya moyo hayapoi kwa ganzi! Kama moyo kupata jeraha ulipasuka vipande vipande! Ghost ashanipa maumivu ila hayaingiii hata robo kwa haya! Hata robooo! Mpaka maji nayaona kama shubiri!
Niliona Mozah anavo lia mpaka anaishiwa nguvu anajilegeza nilikuwa sijui maumivu ya moyo kiboko! Mifupa ilio pondeka pondeka ! Jeraha la moyo ni jeraha baya sanaa! Usiku sina hamu ya kulala kabisaaaa kabisaaa! Nilikaa siku 3 hata kusinzia!
Mwanangu akaona kuniguza peke yake hawezi ikabidi Hans aje! Nikaenda chumbani kwa Hans kupekua unga wake alipouficha nipanguse japo kidogo tu! Nilielewa kqabini Hans hafanyi jitihada za kupona! Amejeruhiwa moyo! Sikuupata unga!
Nikaanza kumuomba Hans naomba basi hata ukucha, nateseka mwenzio, nitakuja kufa nikuachie mtoto uleee mwenyewe bila msaada kisa kuninyima ukucha! Akakomaa sina unga mimi! Nimeacha! Nikaenda kununua kwa Cookie akaninyima! Unga ukiutafuta huupati! Ikabidi niende kuchoma valium ndo nilale!
Nimbembeleza hans chukua basi hata papa unipe huo unga! Hatakii! Ananiambia nenda kwe ye maombi! Namwambia sitaki! Ananikumbusha unakumbuka mnavonilazimishia rehab? Namwambia kaliwe kiboga achana na mimi! Nilimuone huruma mwanangu sanaa maana wazazi wote nati zimekatika!
Akaja Mozah kuniomba niende kanisani! Nikaenda sura imenishupaaa! Mda wa maombi watu wanajimimina mi nimekaa tu naangalia angalia wanavojimaliza! Naanzia wapi kuomba? Naishia wapi! Moyo wangu ulikuwa umejeruhiwa vipande vipande! Ningesema niende mbele za bwana nisingejizuia kuporosha mitusi nikajikuta nalaabiwa bure! Wacha tu nijeruhiwe moyo!
Nikakuta Hans kaniletea bangi! Nikamwambia badala unipe mambo ya konki mambo ya m colombia unanipa m jamaica! Maumivu nayosikia moyoni mwangu naweza kumla huyo mjamaica na ugali kama mboga! Niacheeee bwana!
Kila nikijitahidi kumsahau yule bwege nashindwa mwenzenu! Nashindwa kabisaaa! Sijui alikiwa kaniloga na kama kaniloga kweli mganga wake basi ni mamba kabisaa sio kiboko! Na hivi navomkumbuka nashikwa na uchungu usio na uzazi!
Kanisani nikaacha kabisa kwenda wala kusali wala kuomba wala kuamini! Nikawa nipo nipo kama mpagani tu! Naanzaje kupanda madhabahuni na kiwaambia watu Mungu anaishi, ana nguvu na uweza wakati mimi kunitendea maajabu kagoma? Nawaombea watu wanafanikiwa sanaa! Nikijiombea mwenyewe holaaa! Seriously? Basi sijiombei wala simuombei yoyote! Tukose wote!
Kila nikijitahidi kumsahau nazhindwaa kabisaa! Naanzaje kwa mfanooo? Mwanaume anajua kupenda yuleeee! Sijawahi kupendwa maishani mwangi kama nilivo pendwa na huyu mpuuzi! I didnt have to try hard! Situmii nguvu, sifosiiiii! It was true love! Raha sanaa ukimpenda mtu akakupenda!
Kukawa na kitchen party ya mdada mmoja kanisani! Mozah kanikeraaa nikaamua kwenda nae! Kukawa na mchungaji akasema wale wote ambao hawajaolewa wasimame niwape upako mwaka huu haushi wataolewa! Na maneno yangu hayatonirudia kinywani kwangu!
Sikusimama! Mozah ananifinya finya! Nikachana pakti ya konyagi na kuinywa dry! Mozah akasimama! Nikaona kichekesho anataka kuolewa tena khaaaaa! Akaomba pale mahubiri mazuri! Mistari ile ile who finda a wige finds favor from God! Akatumia na ya Abraham kumtuma kijakazi akamtafutie Isaka mke! Ile ile ya kila siku! Sikusikiliza! Baadae Mozah ananiambia nilisimama kwa niaba yako! Khaaaaaa! Nikamwambia sababu miguu ni yako next time chuchumaa kabisaa kwa niaba yangu!
Kila navojitahidi kujipa moyo nime msurvive Ghost kweli huyu anishinde kabisaa? Hana jeuri hioo! Nikowaza hana jeuri nakumbuka mara ya kwanza namuona nikasema kaka mzuri huyuuu! Ila mimi sina bahati hizi! Akaanza kunichatisha chatisha! Nikasema jamani mimi huyu huyu au? Nikajua labda anataka kunidanga!
Akanikaribisha ofisini kwake Standard Chattered Bank! Nilashangaa kwamba he actualy have a life! Ndo nikadata kabisaa! Nikataka kumshirikisha Mozah ila nikaona hataaa! Asije kuniharibia mimi! Let me handle him alone! Hana papara na papuchi kabisaa!
Nikawa nalala na Ghost kimazoea tu, ila moyo kama moyo ushahama! Ishahamia huku! Kenny anakua!sha na good morning text! Mchana atakitafuta kokote mle wote lunch! Akitoka kazini lazima akutoe out! Mpaka kesho yake tena hio! Ndo ratiba!
Hakuwa msemaji kabisaa! Yeye ni nani anatokea wapi wala nini! Ila anapenda kunijua zaidi na mie tena kwa kujimimina najimaliza kabisaa! Hata ukienda kununua nguo atakupeleka! Yuko radhi atoroke kazini akupeleke kununua nguo! Akanikubusha sanaa mapenzi yangu na Sam wakati bado wadogo!
Mwanaume mpole yuleee sijawahi kuona! Kila kitu anakuuliza wewe unaonaje? Kyle tunafanya vipi! ***** kweli kweli kama angenioa ningekuwa nimepata bonge moja ya mume! Bonge moja ya mume! Nawaambiaje ndugu wasomaji mngekomaaa! Mngepata tabu sanaaaa! He is everything i ever wished for a husband! Nasemajeee mna bahati!
Siku ya kwanza anavua shati oooh my God! Alinivuruga sio kidogo! Siku zote anavaaga long sleeves! Iwe shati hata v neck hata tshirt lazima iwe longsleeves! Siku hio anavua naona body ina tatoo kama zote! Afu zimepangiliwa zimekuwa kama nakshi hazi chushiii! Mpaka na mimi nikatamani nikaongeze tatooo! Nina tatoo ya kipepeo mguuni Sam huyooo!
Kavua shati hivi nikasema Mungu kweli ananipenda! Na ananipenda kweli kweli! Kichelewa kote kuolewa for this man namsameheee! The wait is worth every second! Of all tatoos my favorite was Dragon! Hio dragon ni tatoo maybe kubwa kuliko zote na ipo mkononi mwake! Hii tatoonilikiwa naweza kuiangalia siku nzima na nisichoke!
Mpaka nikamwambia i want to get a tatooo! Ananiambia this shit is painful siwezi kukuruhusu! Nikamuonesha mguuni! Akawa anagoma goma! Nikamwambia nipeleke nikachore! Akawa hataki! Nikangangania sanaa mpaka akakubali mpole sanaa! Nilikuwa namkalia kichwani! Akanipeleka! Nikachora dragon wa kike! Hakumpatia sanaa kama wa Kenny! Wa Kenny alikuwa piece of work sio kidogo! KaI moja imefanywa into perfection! The shit is painful kweli kweli!
Baada ya kutibuana vuzinikaenda amfute kwa kuchora juu yake aweke kopa aandike Linda! Bora nimkumbuke shoga angu na mwanangu! Akasema haiwezekani! Dragon ni mrefu, tatoo ni kubwa afu nyembamba kuirekebisha atachafua chafua mgongo wangu pakubwa sanaa! Bora nimuache! Kwanza yupo mgongoni simuoni kwa hio hatakiwi kunikera!
Mozah akasema i should try to see other people! I never know naweza kubahatisha mkali zaidi! Sikutaka! Ila kumpa moyo nikasema ngoja nijaribu huenda jeraha likapona jumla jumla! Nikaanza kutoka out! Kila mtu naona ananiboa tuu! Seriously!
Wengine vitambi ndindi mi nishazoea kupapasa body la mazoezi lile! Wengine njaa kali! Maana mtu unamkuta siku ya kwanza antangaza njaaa! Puuuuuuu! Unamsikiliza unaona ni ushenzi mtupu! Sikufanikiwa sababu nilikuwa sitaki kufanikiwa kabisaa!
Ada ikatushinda na Hans,nikamwambia sasa Hans tunafanyaje baba mtoto! Akasema mimi hapa sina msaada mama mtoto! Tumuamishe tu shule! Nikamwambia hapana! Cha kufanya yule demu wako, main chick wako baba ake si ana hela kama zote, muombe hio pesa tuone itakuwa vipi! Hans akasema mimi sitaki anione hivi! Nikamwambia nenda bwana mimi na mwanao tunakuona hivi yeye nani asikuone hivi? Akaenda akakosa!
Nikamfata Ghost, nikamwambia mwanangu hana ada, sasa beach plot yako nakurudishia nipe ada manake nimewaza kuiuza kwa mtu mwingine nimeona sio fair! Akaniambia Linda ni mwanabgu si nilikwambiaga! Kesho naenda kumlipia ada! You dont have to give back anything sweetie!
MiGhost namjuaaaa kuliko nyie wasomaji! Hio kesho atataka uchi! Anyway nitampa show moja goli zake 3 kwani nina hasara gani? Na kweli kesho kanipigia yupo hotelini njoo chukua risiti! Nikaenda!
Kwanza mwili wake ulinikeraa! Makovu kovu kama katoka vitani! Hio mikovu anayo siku zote! Ila siku hio ilinikera zaidi! Ana mshawasha kama wote! Mimi rohoni kanitokaa sio kidogo! Ila natoa ushirikiano hivo nifanyaje ndugu msomaji? Nifanye vipi? Najiliza uongo uongo! Akojoe tu, anipishe zangu! Nikajishangaa kabisaa kilichonitoa roho kwake ni nini haswaa?
Badojeraha za moyo wangu zilikiwa kubwa sanaaa! Nikaenda kumuuliza mke wa Cookie Kenny kaenda wapi na anafanya nini? Akasema hajui! Nikamtuma mpeleleze Cookie! Akasema nauhakika hajui angeniambia! Ndp zake kupotea miaka kadhaa na kuja kuibuka tena kivingine!
Baada ya miezi mi tatu nikaanza kusikia kichefu chefu,homa, nikajua tu kitu na box! Mimba! Ya nani exactly sina uhakika! Mbona aibuuuu! Nawaambiaje watu! Naanzia wapi! Nikauza uza vitu vyangu vichache nilivo navo!
Nika apply masters Sweeden, nikamuaga Hans na kumwambia inabidi twende wote tupeane zamu mtoto! Nilijua nikimuacha takufa mapema! And somehow even if he waa a deas beat dady i juat wanted him arround my daughter! Nikamwambia naenda kusoma!
Ulaya no gharama mnoo mnoo! Nikampanga Ghost mi nataka niende Sweeden mwaka moja kwanza nikapumzike na kutuliza kichwa nisapoti! Akakubali! Tena anasema kama Ulfat atangangana kukakaka huku tuanzishe famiia kule! Mimi kukutunza sio issue! Moyoni nayajua mie!
Akatutengenezea karatasi muhimu, tukaondoka na mwanangu! Sweeden nalea tumbo langu kwa raha sanaa! Japo sijui toto hili baba yake nani ila nachojua ni toto langu na nitalipenda mpakana pumzi yanguya mwisho! Ghost anatuma pesa ya uhakika, tuna bebishana kwenye simu hatari! Ila sikumwambia na mimba wala nini! Akitaka picha za uso tu! Au nimekaaa na kuvaaa koti kubwa sanaaa!
Siku moja jioni nikiwa jogging ikapita gari kali sanaa! Kali ana ya ulaya mjue ni lamborgin! Ikapunguza mwendo kama kusimama kwa mda! Dereva akaniangaliaa kama akataka kunisemesha akaghairi na kuondoka zake! Dereva ni mzungu kabisaa and i was positive simfahamu kabisaa!
Jioni Ghost kapiga simu, ananiambia nimetoka kuchukua visa ubalozin huku nakuja na flight ya kesho! Utumbo ulinitetemeka! Na!wambia sawa baby! Nimekuhamuu kweli! Anaguma mmmhhhh! Kesho kutwa tutakuwa wote hapo kujiachia!
Jioni Ghost kapiga simu, ananiambia nimetoka kuchukua visa ubalozin huku nakuja na flight ya kesho! Utumbo ulinitetemeka! Na!wambia sawa baby! Nimekuhamuu kweli! Anaguma mmmhhhh! Kesho kutwa tutakuwa wote hapo kujiachia!
Siku moja jioni nikiwa jogging ikapita gari kali sanaa! Kali ana ya ulaya mjue ni lamborgin! Ikapunguza mwendo kama kusimama kwa mda! Dereva akaniangaliaa kama akataka kunisemesha akaghairi na kuondoka zake! Dereva ni mzungu kabisaa and i was positive simfahamu kabisaa!
Babe acha basii mimba ya Ghost hiyoOyooooo Kyle kwa Kenny hachomokiii,
Cookie mpokee wifi huyo na mtoto mshapata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuone fanani atasemaje babe.... lol.na huyo Ghost huyo nitawachunguza hahaha