Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,645
- 3,889
Nimekosa wa kumvurugaa.... YaanNa wewe vuruga mtu
Nimekosa wa kumvurugaa.... YaanNa wewe vuruga mtu
Hamia shoga kwanza sisi ndugu wewe si team Kyle?!! Dada yenu Kyle Ghost ndio kiboko yakeDaah sijui nihamie team Ghost, mbona mambo yake yapo konki sana
We unaona kumtoroka mjeda ni kazi rahisiHahaa mamaee " sasa Sam keshapiga mihela kibao then bado tu anaishi ishi kiboya kwa mtesi Wake Jane ..si uboya huo
Ingeendelea kubaki kuwa kazi ngumu " Kama angekuwa apeche alolo asiye na kitu kabisaWe unaona kumtoroka mjeda ni kazi rahisi
Lara yuko realistic na maisha ndo mana story tamu mnoo..life is good and bad for everyoneUtunzi wako uko special sana Iara. You are so good.

Napokea comments zote inbox tafadhaliTusompenda Ghost tunacoment wapi![]()
Hizi mbata Sam kazila za kutosha, pumb* zitakua zimebadilika hadi shape yake.We unaona kumtoroka mjeda ni kazi rahisi
Hahahahhahah kweli binadamu huona thamani ya kitu asipokua nacho tuuHizi mbata Sam kazila za kutosha, pumb* zitakua zimebadilika hadi shape yake.View attachment 969595
Atakapomkosa tena ndipo ataanza kutamani kuwa naeHahahahhahah kweli binadamu huona thamani ya kitu asipokua nacho tuu