Weekend story! BEN 10

Weekend story! BEN 10

Shalom wapendwa.

Naomba kujua hii amarula anayoitaka huyu mdada ni kitu gani, maana mie siijui maana nataka kuituma nisaidieni.
Matunda pori yanayoitwa Marula yanasindikwa kutengeneza kinywaji chenye alcohol kinakuwa mixed up na cream
 
Shalom wapendwa.

Naomba kujua hii amarula anayoitaka huyu mdada ni kitu gani, maana mie siijui maana nataka kuituma nisaidieni.
Shalom MTUMISHI
Hii Amarula ni kinywaji anachotumia
Mwandishi, we tuma tu elfu 32 kwenye no.hiyo hapo juu ili aburudike shz, saa 6 usiku tupate burudani hapa,
Natanguliza shukran zangu kwa niaba ya mwandishi
 
Shalom wapendwa.

Naomba kujua hii amarula anayoitaka huyu mdada ni kitu gani, maana mie siijui maana nataka kuituma nisaidieni.
Amarula ni pombe nyepesi tu hivii tamuuu fanya hata elf25 tu atafurahi sn au 15k chupa ndogo
Tumeni basi jmn tusilale wakavu
 
Siwezi kumtumia mdada hela ya pombe najua madhara yake,

Samahani mpendwa kwa hilo
Shalom MTUMISHI
Hii Amarula ni kinywaji anachotumia
Mwandishi, we tuma tu elfu 32 kwenye no.hiyo hapo juu ili aburudike shz, saa 6 usiku tupate burudani hapa,
Natanguliza shukran zangu kwa niaba ya mwandishi
 
Siwezi kumtumia mdada hela ya pombe najua madhara yake,

Samahani mpendwa kwa hilo
Sasa wew hii story unasoma ya nn!!
Mbona ina mambo ambayo yanakinzana na iman yakooo maana humu kupigana maneshi kama kote, pombe mwanzo mwisho
Usiendelee kusoma unaharibu hekalu la bwana mtumish...
Usije ukashawishika bureew we endelea kuhudumia na kutuombea sisi tuliopoteaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom