Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mwenza sio you are sure mwandishi si keshasema ghost ndio DeoKyle kayatindiganya mambo alivyoharibu kwa Sam. Kama kuachaba na Sam ndo ulikua mkosi yani. I'm sure mjeda ghost ndo ben10 wake wa kwanza kumpenda. Sasa atammaliza Kyle kirahisi kabisa maana sababu anayo tayari.
