Weekend story! BEN 10

Weekend story! BEN 10

Kyle kayatindiganya mambo alivyoharibu kwa Sam. Kama kuachaba na Sam ndo ulikua mkosi yani. I'm sure mjeda ghost ndo ben10 wake wa kwanza kumpenda. Sasa atammaliza Kyle kirahisi kabisa maana sababu anayo tayari.
Mwenza sio you are sure mwandishi si keshasema ghost ndio Deo
 
Baba mtoto majina ya wahusika yamenivuta zaidi. Hahahahaaa. Kama unione ninavyocheka hapa
Hmm....mbona ghafla ume develop interest na hii hadithi we mama wa mwanangu?

Niliitwa ‘baba’ ujue....
 
Leo nimewala kiboga sio cha nchi hii! Ila jamani nawataarifu mapema hio AMARULA mfanye mapemaaa! Leo weekend! Afu msimu wa sikuu dukani wateja mpaka saa 5 usiku mda wa 4040 kwenda sinaa! Nawategemea nyie! Namba 0675297368! Mkiniangusha story tutaendelea jumatatu! Mkisababosha mapemaa nashusha episode saa 10, saa 3 usiku na saa 6 na nusu usiku! Nawategemea!
 
Mjedaaaa hahahah hakyanani mapenzi mchezo mbaya sana hayana mbabe
 
Nyie wanaume humu msitukoseshe utamu wkend hii, Lara alishasema hataki pesa ya mwanamke mwenzie, so kazi kwenu toeni Amarula moja, watu tifurahie wkend
Yaani alivyosema amarula ikitumwa mapema ataweka episode tatu nilitamani kukukopa hata huko Tala amarula ipatikane!!!! Wanaume humu watakua wanachungulia wana mute,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom