The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Weee si nasikia ni mshabiki wa Lipuli, CDA ya Dodoma na Majimaji ya SongeaMh..! mie huwa namwonea Kocha huruma timu ikifungwa, ila kama kutakuwa na sesseion ya jimbuzi away from big screen the count me in.
Ratiba wa Wikiendi ni kama ifuatavyo
Leo Ijumaa naenda kwenye mkesha wa maombi hadi saa moja asubuhi
Kesho Jumamosi naenda kwenye maombi na Jumuiya kwenye Sala na kusoma Biblia
Jumapili kanisani halafu baadae jioni kwenye Fellowship
Follow me ili upate kusikia na kujifunza neno la Bwana
doh pole sana mshahara tar 4 kwani unaishi kwa mshahara vivi? wewe njoo nitakutumia hela ya teksi jioni mbuzi huyu yuko vizuri ana nyama za kutosha nyerer road kule ndo unaipata iyo limao mtiAl shabab wake kwa kina Smatta Bebii.
Si unajua Nchi yetu ni kisima Cha amani.
Lemon tree iko wapi babii, nina hamu na Savanna sana halafu mshahara ni mpaka Tar. 4 November.
leo nitakujoin kwenye mkeshaRatiba wa Wikiendi ni kama ifuatavyo
Leo Ijumaa naenda kwenye mkesha wa maombi hadi saa moja asubuhi
Kesho Jumamosi naenda kwenye maombi na Jumuiya kwenye Sala na kusoma Biblia
Jumapili kanisani halafu baadae jioni kwenye Fellowship
Follow me ili upate kusikia na kujifunza neno la Bwana
That's why i love you my soulmateleo nitakujoin kwenye mkesha
doh pole sana mshahara tar 4 kwani unaishi kwa mshahara vivi? wewe njoo nitakutumia hela ya teksi jioni mbuzi huyu yuko vizuri ana nyama za kutosha nyerer road kule ndo unaipata iyo limao mti
Uliishawahi kula paja la bata??Tii kiu yako.
mmmmmmmmmmmmmmmh ngoja niandae nyimbo za kusifu eeeh yahwe eeh yahwe .......................... eeeh yahwe eeh yahwe..................................That's why i love you my soulmate
utasubiri sana likwanda? uje na malori ya kubebea magoliYaani Weekend hii itakuwa nzuri kwangu kama Simba yatamkuta yale ya Man6 hata kama sio kwa idadi ile.
Hahaha...aisee hiyo nyimbo umeishaichakachua tayari..lolmmmmmmmmmmmmmmmh ngoja niandae nyimbo za kusifu eeeh yahwe eeh yahwe .......................... eeeh yahwe eeh yahwe..................................
hebu imba hapo kwenye space nimesahau bwanaHahaha...aisee hiyo nyimbo umeishaichakachua tayari..lol
Acha kabisa kuna sehemu kule Tegeta inaitwa Oceanic wanatengeneza bata wazuri sanaNimewahi kula kidari Tu. kwani paja ni tamu?
uje bwana mbuzi mkubwa ninaeAsante Vivi.
Nawatakieni weekend njema marafiki wote.
mmmmmmmmmh je fyatanga ulishajaribu?Acha kabisa kuna sehemu kule Tegeta inaitwa Oceanic wanatengeneza bata wazuri sana