Baada ya u-bize wa wiki nzima wikiendi tunapumzika kivipi? jf nipeni mpango mzima nijumuike sitaki vikao vya harusi, send-off au sherehe ya aina yeyote. najua hapa sikosi mpango
Baba_Enock, CPU, Fidel80, Kakakiiza, Chroroquine, husninyo, Dena Amsi, PakaJimmy, Maty, Katavi, DaMie, SMU, michelle, lizzy, MadamT, jamii01 , mzee wa rula, mbu, afrodenzi, shantel, sweetdada, Tuko, Mr cool, Ivuga na wote wana jf
Karibu tupate mnyama mitaa ya RAINBOW
Dah!! Kumbe ni Elia sijui screen yangu ikoje mimi nimeona jina kama la kwangu vileElia mi naumwa...njoo kwangu uniuguze wkend!
Baba Enock huenda nakuonaga wewe...lol
Week end njema na wewe pia Ellia...🙂
BE you owe me 2 roundsInawezekana sweetdada, uwa nakaa kaunta ya mbele karibu na car park! ndiyo naelekea huko na nitakuwepo mpaka saa sita usiku!
Continental Jumatano ndio mwake au tusogee maeneo ya Billionaires Clubcontinental vipi?
Weekend njema nawe pia :love:
ukipata mpango utujuze na sie tukujoin:love: