Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
kuna wa kunishkia around wory not igweeesawa sawa!.....jitahidi kuwa mwangalifu lakn usije angukia pua_sawa bebii!
kuna wa kunishkia around wory not igweeesawa sawa!.....jitahidi kuwa mwangalifu lakn usije angukia pua_sawa bebii!
kwani mtandao upo kwenye computer za ofsi tu hata kwenye simu wewe? unategemea ofisi kupost jf wewe?No wonder the production graph has dropped down!
There're kinds of Mwita25, Rejao, Fauzafox etc, they're on a computet all around the clock!
Bebii nisindikize basi tukaangalie movie woteyapo sana tu we hujui? ngoja niende kuogeshwa mwenge na wasambaa bana
wkend ni mwisho wa wiki[/QUOTE]
ndio kitu nakupendea bebii kiinglish kinapanda_ntamwambia mr rock akutafute ili uwe unamkalimania
Afadhali maana kikristo hapo kilikuwa hakipandi
nitakutumia inspirational novels kama 6 hivi sitakuondolea mawazo
Bebii nisindikize basi tukaangalie movie wote
wewe hapana nitalogwa humu Asha dii njoooooooBebii nisindikize basi tukaangalie movie wote
Na nani tena, wikiendi leo nyumbani kesho nahudhuria harusi, Jumapili Church baadae jioni kwenye movieUnatafuta ngumi wewe
BTW weekend yako umeianzia wapi mkuu
Bebii utalogwa na nani tena jamani lol!!!!wewe hapana nitalogwa humu Asha dii njooooooo
Na nani tena, wikiendi leo nyumbani kesho nahudhuria harusi, Jumapili Church baadae jioni kwenye movie
Mwenye mali mshika bunduki
Ratiba nzuri sana ila mbona hata mwaliko sijaona aise wa hii weekend au nzo za kula mwenyewe
Najua siku si nyingi maeneo yetu tutakamatana vizuri haswaNa nani tena, wikiendi leo nyumbani kesho nahudhuria harusi, Jumapili Church baadae jioni kwenye movie
Mwenye mali mshika bunduki
Ratiba nzuri sana ila mbona hata mwaliko sijaona aise wa hii weekend au nzo za kula mwenyewe
Baada ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa kwa week nzima sasa napenda kuwaaga kwa kusema.....'thank God its friday'...ngoja niwahi familia