Website ya Udaku inauzwa

Website ya Udaku inauzwa

issam

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
250
Reaction score
23
Hellow wadau, natumai hamjambo na muwazima, Aisee nauza website ya habari za udaku, skendo, siasa, mapenzi, mastaa,urembo na nk. Hii website habari hua zinajiandika wenyewe yaani 100% automated. kisha web inatumia plugins za kurewrite post na kufanya ziwe unique na kua indexed na google. Hii site ni mpya kabisa ila inaanza kujulikana kwa kasi. imeanza ikiwa na 0fb fans na sasa ina fans 216 kwa kipindi kifupi tu tangia imeanza. Hii inamaanisa baada ya miezi kadhaa hii site inatua maarufu na itaweza kuingia hela nyingi kupitia matangazo, a special adsense. tangia imeanza mpk leo ishatengeneza $50 kwa muda mfupi tu. so kwa mtu ambaye anandoto ya kumake money online this is big opportunity. Web yenyewe ni hii Udaku Leo Naomba itembelee na kama uko interested toa dau lako utainunua kwa bei gani. bei ni maelewano. SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD
 
Dont you want to make that money yourself? Prove to me that you are not promoting your website...
And what is your asking price?
 
Mnh mbona nimeclick I me nip eleka Facebook mkuu tuhiurimie computer zetu
 
Mkuu umelipia hili tangazo?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
hizo ni janja zako za kuongeza trafics kwenye website yako.... nimeichek bt site haijapangiliwa kabisa... umiza kichwa kijana mwanzo mzuri
 
hizo ni janja zako za kuongeza trafics kwenye website yako.... nimeichek bt site haijapangiliwa kabisa... umiza kichwa kijana mwanzo mzuri

Hii site inauzwa na si kutafuta traffic, hii site ina traffic ya kutosha na kila siku inazidi kupata traffic kutoka google, yahoo na bing haina haja ya kupata trafiic kutoka jf, site inajitegemea na ina habari nyingi so watu wanaosearch habari wanaipata kupitia search engine and facebook. so fika bei uone kama hujauziwa.
 
hivi mtu makini anunuwe website ya udaku kweli?

Hujui kama udaku ndio habari everyday watu wanaosearch kwa wingi kuliko habari yoyote ile??? hii inamaanisha watu mamilioni wanasearch habari za udaku kwenye google kwa maana hii site za udaku zinapata very good free traffic from search engine. so makes a lot of money.
 
Web inauzwa kwa dola mimi siko bongo so sipokei hela za madafu, pia hio hela ndogo sana hata simu ya mchina hupati. ongeza dau nikuulizie nifate chemba kama uko serious
Nna laki moja na nusu lete hiyo website
 
Dont you want to make that money yourself? Prove to me that you are not promoting your website...
And what is your asking price?
Why the unnecessary hassle??
You go for it or shut the eff up.
 
Natoa offer Mtu aliyekua sharp anataka kununua hii site, ambayo haina kazi za kuandika post wale kuifanya chochote ni 100% automated news zinajiandika wenyewe na pia zina ji index kwenye google na kuji ping kile masaa 2. na kila siku zikizidi inatapa more traffic more fb fans bila ya kufanya chochote kile. kazi yako kuweka matangazo na kula hela. naamini baada ya miezi 5 itakua site ya juu sana na yenye traffic noma. natoa siku 5 kwa mtu aliyefast ainunue kwa offer ya $300 tu. bei cheee hata blog ya blogspot hupati bei hii lakini mimi nakuulizia hii site ilokua Professional Designed na pia mobile compatible kwa hii bei chee. alokua fasta kulipia anifate chemba nimtumie invoice ya paypal.
 
Back
Top Bottom