Website ya taifa ina Virus!

Status
Not open for further replies.

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
attachment.php
 

Attachments

  • tzweb.JPG
    tzweb.JPG
    30.6 KB · Views: 100
Duh......hivi hi site ipo chini ya wizara gani? nataka mdogo wangu mtaalam wa IT aombe kibarua pale for this........wamelala sana aisee!
 
Hiyo ndo iliyokuwa kasi mpya, ari mpya na nguvu mpya. Even kitu kama hiki serikali inashindwa. Aibu aibu aibu!
 
naona mchango wetu wana JF umesaidia maana sasa inapatikana

www.tanzania.go.tz

kupatikana inapataikana, lakini je ina virusi bado?
google bado wanasema ndio!
http://www.google.com/safebrowsing/diagnostic?site=http://www.tanzania.go.tz/&hl=en
What is the current listing status for www.tanzania.go.tz?
Site is listed as suspicious - visiting this web site may harm your computer.
Part of this site was listed for suspicious activity 11 time(s) over the past 90 days.
What happened when Google visited this site?
Of the 1893 pages we tested on the site over the past 90 days, 110 page(s) resulted in malicious software being downloaded and installed without user consent. The last time Google visited this site was on 2009-08-08, and the last time suspicious content was found on this site was on 2009-08-07. Malicious software includes 30 exploit(s), 6 trojan(s). Successful infection resulted in an average of 1 new process(es) on the target machine.
Malicious software is hosted on 14 domain(s), including send29931.cn/, cverutuz.cn/, varrugilanto-2.com/.
3 domain(s) appear to be functioning as intermediaries for distributing malware to visitors of this site, including send29931.cn/, drocuwil.cn/, pornoscash.com/.
This site was hosted on 1 network(s) including AS7393 (CYBERCON).
Has this site acted as an intermediary resulting in further
 
Iwe na virus isiwe navyo ila kiukweli data na info zake hazijitoshelezi hasa kwenye ripoti na statistics mbalimbali za nchi hasa kwenye utalii na hata kwenye nishati na madini. Ingawa kuna website za wizara still bado zipo na data za kizushi nendeni mkajione mfano wa website ya Wizara ya Utalii.

Kwahiyo nafikiri website ya Taifa ndio ingekuwa ni summary ya websites zote za Wizara na ofisi za serikali kwa ujumla badala yake inakuwa na virus na data za kizushizushi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom