Cainan
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 422
- 488
Habarini za muda huu wanajukwaa
Kumekuwa na sintofahamu kubwa katika hizi siku chache ambapo madogo wa diploma wakikaribia kufungua vyuo vyao na tarehe tajwa ni 17/10/2022
Kimbembe kinakuja wakati huu watu wakihangaika kupata matokeo yao, ambapo wanakutana na hio changamoto leo ni siku ya pili website haifunguki kabisa
Sasa wanachojiuliza sana ni kwamba kuna matatizo gani au website wameimehack maana sio kitu cha kushangaa katika ulimwengu huu wa kidigitari
Lingine ni mfumo gani nacte wanatumia kuwapa matokeo yao wanafunzi ?
Yeyote aliyepatwa na tatizo hili au kaligundua mana madogo pressure juu?
Kumekuwa na sintofahamu kubwa katika hizi siku chache ambapo madogo wa diploma wakikaribia kufungua vyuo vyao na tarehe tajwa ni 17/10/2022
Kimbembe kinakuja wakati huu watu wakihangaika kupata matokeo yao, ambapo wanakutana na hio changamoto leo ni siku ya pili website haifunguki kabisa
Sasa wanachojiuliza sana ni kwamba kuna matatizo gani au website wameimehack maana sio kitu cha kushangaa katika ulimwengu huu wa kidigitari
Lingine ni mfumo gani nacte wanatumia kuwapa matokeo yao wanafunzi ?
Yeyote aliyepatwa na tatizo hili au kaligundua mana madogo pressure juu?