ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
tihii hii hiiiii..................jamani yeye ni waziri haulizi anaulizwa tuu wajameni!!
Hapana mkuu, wako mawaziri wengi tu hawaongei lakini wanatoa michango ya maandishi, hiyo huwa inachukuliwa na kuwekwa kwenye kumbukumbu zao. Mpaka sasa hakuna aliyevunja rekodi ya rostam aziz, maana jamaa alikamua miaka mitano iliyopita kabla 2010, akipata zero kwenye maeneo yote matatu.
Jamaa kilaza huyo, hawa ndo mazuzu wanaoishi kwa kugonga meza muda wote na kuomba miongozo na taarifa kila anapoongea mbunge wa CDM.