Habari
wataalam wa Teknologia katika Hali isiyotarajiwa Website ya Bodi ya Mikopo kw Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilikuwa Hacked na wataalam wanaojiita " watu wasiojulikana Tanzania" ila naona mafundi Bodi ya Mikopo wamefanikiwa kuirudisha hewani.
katika kipindi Hiki ambacho wanafunzi wa elimu ya Juu wakiwa katika Usajili maalumu wa Ku Upload picha akatika Account zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.