Web Development Special Class

Ungependa kujifunza nini baada ya Kozi Hii ?


  • Total voters
    78
  • Poll closed .
[QUOTE="thisisnorman, post: 14975635, member: 345865"t]daryuyyyyyysa zuriii[/QUOTE]
Yyttyyry
 
Mkuu hapo kwenye folder maalum pameniacha kabsa naomben msaada plz
 
Mkuu hapo kwenye folder maalum pameniacha kabsa naomben msaada plz
MAMBO: Samahani kwa kukuarifu kwamba ailiekua anatoa course hii amefariki 2015. ila usiwe na wasi was ku mimi najua teknolojia hii kwaiyo kama una swali lolote kuhusu hii tek please ni pm mimi ntakusaidi napia kuahusu swali ulilo uliza hapo.Nimejaribu kupitia kumbu kumbu za msamiati sijaangalia tutor zake sijaona sehem alipo sema folder maalum kwaiyo ninge kuomba utoe maelezo zaidi ili niwezee kukusaidia ASANTE
 
Da nilikuwa sijui...imeniuma sana
Any way ntakufata inbox kk
 
Hongera sana ndugu yangu Msamiati, Mungu akubariki.Tunahitaji watu kama wewe wa kutoa elimu kwa bindamu wengine na sasa hi kwa gharama -bure! naamini utafanikiwa zaidi tu maishani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…