Francis Mawere
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 965
- 838
Haya watu wasome bhana hakuna haja yakukomaa na vitu visivyo na maana, Na ningetamani baada ya HTML na CSS ije JAVA
Nikiwa na mda nikimaliza hii nitaweza kufundisha javascript kiundani zaidi kwasababu sio kubwa kivile.Na ntaweze kutumia baazi ya project ambazo ntaweza kuzifanya humu ziwe zinatumia javascript yani html css na jsHaya watu wasome bhana hakuna haja yakukomaa na vitu visivyo na maana, Na ningetamani baada ya HTML na CSS ije JAVA
Shukran sana mickey.T kwa kuonesha ushirikiano. Pia java misconception sikutaka kuielezea humu. Mbaka kwenye somo husika. Ila shukran sana kwa kuwaeleza hili.pia mimi ntaelekeza javascript na sio java.Java and javascript ain't the same, ... heads up
Shukran sana mickey.T kwa huu msaada ulio uto ntalitumia hii domain kwa kila live testing ntakayo itoa.Kwa kuchangia somo hili.. Natoa free hosting kwa ajili ya mazoezi.
TAFADHALI USIBADILISHE PASSWORD YA CPANEL
Domain name: www.jamiiforums.ml
cpanel:www.jamiiforums/cpanel
username: jamiiforums
password:mwanafunzi2016
Shukrani sana kwa support yako.kama ntakua na tatizo ntatumia hiyo namba.welcome!!
for support upande wa hosting call 0676953511
Nitafuatilia hili darasa hadi nione mwisho wake, pia jitahidi kuongeza kasi ili kuwapa nafasi watakaoukuwa hawajaelewa. Hivi CSS ni programu unayotakiwa kuidownload au vipi? Je kuisoma ni ndefu na inahitaji mtu wa kukusimamia au hata online tu kunatosha kujifunza?CSS ni kifupi cha CASCANDING STYLE SHEETS.
yani ni style ambazo zinatumika kuipendezesha website kama jamii forum unavoiyona ivi haikusimama na html pekeyake imetumia css ili kuipendezesha KATIKA hii kozi kama utaendela kufatilia nitaizungumzia kiundani. Hope utafatilia.
Hivi JAVA ni nini na ina kazi gani?Haya watu wasome bhana hakuna haja yakukomaa na vitu visivyo na maana, Na ningetamani baada ya HTML na CSS ije JAVA
Daah natamani kuchangia hapa ili nimpunguzie mleta mada maswari ila nasubiri ruhusa yake.Nitafuatilia hili darasa hadi nione mwisho wake, pia jitahidi kuongeza kasi ili kuwapa nafasi watakaoukuwa hawajaelewa. Hivi CSS ni programu unayotakiwa kuidownload au vipi? Je kuisoma ni ndefu na inahitaji mtu wa kukusimamia au hata online tu kunatosha kujifunza?
Daah natamani kuchangia hapa ili nimpunguzie mleta mada maswari ila nasubiri ruhusa yake.
CSS sio programu ni file ambalo unalolitengeneza na kulipa instructions za kuipendezesha website yako.Tutaangalia css inavo fanyakazi laterNitafuatilia hili darasa hadi nione mwisho wake, pia jitahidi kuongeza kasi ili kuwapa nafasi watakaoukuwa hawajaelewa. Hivi CSS ni programu unayotakiwa kuidownload au vipi? Je kuisoma ni ndefu na inahitaji mtu wa kukusimamia au hata online tu kunatosha kujifunza?
Nimekupata, je file hilo unalitengeneza kwa kutumia program gani?CSS sio programu ni file ambalo unalolitengeneza na kulipa instructions za kuipendezesha website yako.Tutaangalia css inavo fanyakazi later
Hilo file unalitengeneza kwakutumia notepad ya kompyuta yako au unaweza kudownload notepad ++ kupitia google na ukalitengeza. utalipa jina lolote ila mwisho wajina lazima uweke .css kumaanisha hili file au kitakacho andikwa kwenye hilo file ni styles za cssNimekupata, je file hilo unalitengeneza kwa kutumia program gani?
Nimeipitia nimeifurahia sana inaweza kuchukua mda gan hadi kumaliza hii course?Baada ya hii kozi utaweza ku design template kama hii na full functionality tutazitengeneza tukijifunza javascript
kuna baazi ya devices sija i test ila kwa wale wenye device hasa android 4.4 au zaid ntashukuru mkinipa feed back kama ina display vizuri
>> frankgalos <<
Nnacho jaribu kukwambia ni kuamvumilivu na ujue kwanza alafu utajitengenezea web ya aina yoyote hile.Kwaiyo jibu langu ili kua web expert inachukua mda.kwaiyo sina tathimini maalum ila haito chukua week nyingi.Nimeipitia nimeifurahia sana inaweza kuchukua mda gan hadi kumaliza hii course?