Kuna baazi ya tag sija zitumia katika somo letu lilio pita lakni usiwe na wasiwasi tutaziaangalia kwa masomo yajayo.
Nyaraka za HTML (HTML Documents)
Nyaraka zote za html lazima zianze na uitwaji wa
<!DOCTYPE html>.
Nyaraka za HTML zenyewe zina fungua na
<html> na kufungwa na
</html>.
Sehemu inayo onekana ni kati ya
<body> na
</body>.
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<h1>kiongozi wa kwanza</h1>
<p>Aya ya kwanza </p>
</body>
</html>
Viongozi vya HTML / vichwa (HTML Headings).
Viongozi vya HTML vina elezewa kuanzia
<h1> hadi
<h6>
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<h1>kichwa 1</h1>
<h2>kichwa 2</h2>
<h3>kichwa 3</h3>
<h4>kichwa 4</h4>
<h5>kichwa 5</h5>
<h6>kichwa 6</h6>
</body>
</html>
Viongozi vya HTML vina tofautiana kwa ukubwa wa maandishi.
Mfano.kichwa namba 1 ndio kichwa kikubwa kuliko vyote kimaandishi kikifatia namba 2 na namba 3. Vilivo baki havina utofauti sana na Aya.
Aya za HTML (HTML Paragraphs).
Aya za HTML zina elezewa na
<p> tag.
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<p>Hii ni Aya yakwanza </p>
<p>Hii ya pili.</p>
<p>Na hii ya tatu.</p>
</body>
</html>
VIUNGO VYA HTML (HTML links).
Viungo vya html vinaelezewa na <a> Tag.
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<a href="
ww.jina la site yako.com">Hii ni link</a>
</body>
</html>
Hitimisho la kiungo(LINK) au sehem inako elekea ina elezewa kwenye
href Attribute (Wanampa in swahili).
Attribute(Wanampa) zinatumika kutoa taarifa za ziada kuhusu
Mambo (Elements) ya HTML.
Picha za HTML(HTML images
).
Picha za HTML zinaelezwa na
<img> tag.
Chanzo cha faili/source file
(src).Nakara za ziada
(alt).Na ukubwa (
width na height) zina tolewa kama
Attributes.
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<img src="jina la picha.jpg" alt="kuhusu picha au jina la site yako" width="104" height="140">
</body>
</html>
Mambo ya HTML (HTMLElements
).
Nyaraka za HTML zina tengenezwa na (Elements) mambo.
Mambo ya HTML (HTML elements).
Yana andikwa na
tag ya kufungua (kitambulisho cha kufungua),na
tag ya kufungia(kitambulisho cha kufungia) End tag. Na
Yaliyomo(Contents) katikati.
<jina la tag> Yaliyomo </jina la tag>.
Mambo(Elements) ya HTML ni kilakitu kwanzia tag ya kufungia hadi ya kufunga.
Mfano.
<p> Hii ni Aya. </p>
<P> ni tag ya kufungua na element ndani yake.yani
p ndio element .Na
Hii ni Aya. Ni yaliyomo(content).Na
</p> ni
tag ya kufungia na element ndani yake (p).
Kuna Elements zingine za HTML hazina Tag ya kumalizia </> kama <hr>,<br>
<hr> ni horizontal line na <br> ni line break.
Vipengele ndani ya vipengele (Elements contain elements)/Nested elements.
HTML elements zina weza kua nested(furushi).Maana kua Element in weza kua na element ndani yake.
Nyaraka zote za HTML zina nested HTML elements (Mambo ya HTML).
Mfano huu una elements 4 (mambo 4).
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<h1>kiongozi wa kwanza</h1>
<p>Aya yangu ya kwanza.</p>
</body>
</html>
Maelezo kuhusu mfano hapo juu.
<body> element inaeleza nyaraka nzima (document body).
Inafungua na <body> inafunga na </body>.
Mambo yaliyomo ni mawili zaid.ambayo (<h1> na <p>).
<body>
<h1>
kiongozi wa kwanza.</h1>
<p>Aya yangu ya kwanza.</p>
</body>
<h1> element inaeleza
kiongozi au kichwa.
Inafungua na <h1> funga na </h1>.
Yaliyomo nadi ni “
kiongozi wa kwanza.”
<h1>kiongozi wa kwanza</h1>
<p> elementinaeleza Aya.
Inafungua na <p> na kufunga </p>.
Yaliyomo.
“Aya yangu ya kwanza.”
<p>Aya yangu ya fungua.</p>
Usisahau tag ya kumalizia </>.
Kuna baazi ya element zita onekana vizuri hatakama umesahau </>tag.
Mfano.
<!DOCTYPE html>
<html>
<body>
<p> Aya yangu ya kwanza.
<p> Aya yangu ya pili.
</body>
</html>
Mfano juu hapo unafanyakazi katika browsers zote kwasababu tag yakufungia </>tag ina chukuliwa kama ya ziada. Yani uweke usiweke itafanyakazi tu.
Lakini usiitegemee kwasababu ina wezeza kuleta matatzo kama una taka kuipendezesha na css.kwaiyo kama uta weka langi element nyingine zilizo kuwepo chini yake zitakua na langi moja.
Element(kipengele) zisizo kua na kitu (Empty Elements).
Mambo(element) ya HTML ambayo ayana kitu yana itwa.Element zisizokuwa na kitu(Empty element).
<br> ni element tupu isio kuwa na tag ya kufunga </>(<br> inaeleza line break).
HMTL 5 elements(Mambo ya HTML 5) yana weza kufungwa ndani ya tag ya kufungulia kama ivi
<br />.
HTML5 haitaji element tupu (empty element) kufungwa.Lakini kama unaitaji uthibitisho mkari (stricter validation ),au kama unataka nyaraka zako zisomwe na XML parsers tabidi uzifunge element zote za HTML.
HTML Tip: Tumia lowercase Elements.
Itaendelea ……