Mambo ya Mtakuja Village na huyo hapo ni Mr Daudi na mkewe.
Kuna kale ka wimbo:
Are you sleeping
Are you sleeping
Brother Musa
Brother musa?
daaah umenikumbusha nyuma xana mwaka 96 nikiwa darasa la 3 pale bumangi primary school, chini ya mwalimu wangu masinde...sasa ajabu hiki kitabu mwanzo mwisho ni mr. & mrs daudi, mussa na neema baaasi.