We politely remind you, Samia usiendelee na Uchaguzi

We politely remind you, Samia usiendelee na Uchaguzi

Na Hiyo imechongwa wapi?
IMG_6061.jpeg
 
Samia itakuwa aibu kwetu na kwako, kama wananchi au askari wako wakikutoa kama mwizi.

Kwa heshima, watu wako watakufikishia hizi karibuni kutakuwa na majibizano ya Risasi kama CCM itaacha kuwasikiliza Wananchi na sisi wenye masikio marefu.

Tarehe 29, Polisi na Askari wa JWTZ hawatatii amri yako Samia, na wanachi watavunja ofisi za Serikali na kushusha vipigo kwa Viongozi waovu,

Samia kama Rais wetu jitoe haraka.
Muhimu wakamatwe wafikishwe mahakamani kama vibaka wengine na lile basi la magereza wakiwa wamefungwa pingu pamoja.

Wakikutwa na hatia na hatia wapewe hukumu stahiki jela maisha au kunyongwa hadi kufa ili iwe mfano kwa vizazi vijavyo pamoja na kutaifisha mali zote za wizi na kurudishwa kwa wananchi.
 
Samia itakuwa aibu kwetu na kwako, kama wananchi au askari wako wakikutoa kama mwizi.

Kwa heshima, watu wako watakufikishia hizi karibuni kutakuwa na majibizano ya Risasi kama CCM itaacha kuwasikiliza Wananchi na sisi wenye masikio marefu.

Tarehe 29, Polisi na Askari wa JWTZ hawatatii amri yako Samia, na wanachi watavunja ofisi za Serikali na kushusha vipigo kwa Viongozi waovu,

Samia kama Rais wetu jitoe haraka.
Ni bora ikawa hivyo tu kama hiyo ndio njia ya ukombozi kwa mara ya pili.Mungu wabariki wazalendo wote katika taifa hili.
 
Kama ana busara aachana na uchaguzi huu. Goma ndo lishawaka hili.
 
Samia itakuwa aibu kwetu na kwako, kama wananchi au askari wako wakikutoa kama mwizi.

Kwa heshima, watu wako watakufikishia hizi karibuni kutakuwa na majibizano ya Risasi kama CCM itaacha kuwasikiliza Wananchi na sisi wenye masikio marefu.

Tarehe 29, Polisi na Askari wa JWTZ hawatatii amri yako Samia, na wanachi watavunja ofisi za Serikali na kushusha vipigo kwa Viongozi waovu,

Samia kama Rais wetu jitoe haraka.
Nchi ya kwanza
Sio mimi, ni CAPTAIN TESHA.

Usinisingizie.

Pambaneni na hali zenyu.
Yes, wenye kampeni zao wanaendelea kama kawa sijui nyie wanaopambana na captain Tesha. Mkimaliza huko msisahau kumrudisha tena Slowslow na Gwajiboy mana tumewamis sasa
 
Vikao vinaendelea huko ,wamtoe au wamuweke chini ya uangalizi .

Mama wa watu haamini anachokutana nacho , alitegemea aliyowategemea lakini design anaona kama nao wanaelekea kuwa siyo msaada hivi .

Kunasaa huwa nahisi huu mpango uko under programed na KiK"wete , jamaa anausanii wake wachinichini sana yule .
 
Back
Top Bottom