We namba ngapi hapo?

kwani kinachoangaliwa ni kidole kipi?kama ni gumba mbona namba 2 & 3 wana gumba fupi
 
sasa mkuu kwani vyako vikoje
 
lol tuko pamoja hapo 1
 
:A S-heart-2::violin::A S-rose::lock1::flypig::hippie:
 
No 2

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Haya unatuuliza namba unataka kutununulia viatu au? lol

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Angekuwepo marehemu Sheikh Yahya angekupa sifa na tabia za watu wenye aina hizo za miguu.
 
Mkuu hizo nyayo na namba ungefafanua ili tuelewe unamaanisha nini....!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…