Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
wengine mnajua kufikilia sana! NAONA KUKUPA LIKE HAITOSHI VERY NICE MKUU! HII NDO SABABU PEKEEEEE!Naweza kuelewa kwa nini mtu/watu waseme wana-miss Mkapa. Wakati wake you felt there was somebody making decision (for better for worse), sasa hivi ni vigumu sana kujuwa kama kuna kiongozi (hata wa kata). In all honesty, I cannot imagine wauza mafuta wanagoma kwa siku tatu huku wengine wakiipa serikali muda kubadilisha uamuzi wake?
Nina hakika hapo alipokaa (Mkapa) atakuwa anaimba -and I did it myyyyyyy waaaaaay!