calvingyan
Member
- Mar 28, 2012
- 47
- 6
Karuka stage....labda ndio anakaribia kuvunja ungo..!!!
khaa!mara hii nimekuwa mijitu minigine?wat do you mean?ny,video umeiangalia sawa sawa?umri ule ur mamy o ndgu yako yoyote anaweza fanya ivyo?kama anaweza,gud.2me cyo kabisa.ol n ol mi cyo jitu bali ni mtu.inawezekana nna matatizo ya kimtazamo.ktk ilo naweza ku ku jaji malezi hayakuiva sawa sawa.ni wale waleee...sor cjatukana mku
zamani mtu kama wewe ukiongea pumba kama hii tulikuwa tunasema elimu yako ndogo ila sasa hivi mtu ukiongea pumba kama hii tunasema huna exposure
hivi unaujua umri wa susan boyle?, unaujua umri wa abba singers?, whitney houston (r.i.p) unaujua umri wa mbilia beli? Wanaimba au hawaimbi jibu ni kuwa wanaimba wana watoto hawana? Jibu ni kuwa wanao tena wenye akili kuliko zako
Binafsi namshauli yule bibi akaimbe kwaya amuimbie muumba wake umri umekwenda ule ni wakati wa kumrudia mungu, ajue kua yuko kwenye finali saizi, Eti nasikia yuko kwenye kikundi cha wanaume ataweza mapanga ya wanaume???????
hapo ndio nilikuwa nasema exposure hamna eti maadili unajua maadili wewe ??HODI!
Yaani wewe ikitokea Bush kabaka Marekani, basi hata viongozi wetu wakibaka halali tu, et mbona nje inafanyika. Bibi hakuzuiwa kuimba, ila kwa umri wake sikutegemea kama angetoka nje ya mila na desturi zetu, yaani kujenga maadili kwanza. Tuambie,kipi kizuri ulichokiona mle.