We jamaa, nakupenda ujue


mama ushaona pm yangu embu ni jibu fasta nishafika pole sana kwa kuumia moyo..
 

Wengine tunafall in love na akili ya mtu na sio sura wala shape. Inawezekana kumpenda mtu kwa comments bila kumjua.
 

kama sura yako inafanana na avator yako halafu ndo unampenda huyo jamaa, dah nasikiaje wivu!
inabidi niwe Sokomoko ili kupotezea!
 
Kaza buti bibiye mpaka umtie kimiani
 
it happens all the time.
and this is not love,its called infatuation.
i envy the guy
 
Mmh Asigwa nini? Huu utaratibu wa siku izi noma kweli,
 
Mkuu nadhani haya ni mapinduzi halisi ya kizazi hiki, tia maji manake kesho mwingine anaweza kukufungukia.
 

Mkuu, nadhani kumpenda mtu kuna maana pana sana, pia silazima weupende ninachopenda mimi.
Mtu anaweza akapenda au kupendwa kwajinsi anavyo ongea, vaa, tembea, sura, umbile, coments, hair styles and ect:-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…