Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
- Thread starter
- #81
Acha kutukana we zitaje kwa good arrangements tuone Kama WCB itakosa top 3Du! Umepotea njiaa. Ebu sema 10 record labels apa africa kama unazifahamu.
Mimi naona huu mziki unao usikiliza apa Tz unahisi ndo unapigwa kona zote africa ndomana unasema ety ipo top 5 WCB. Mzeee acha kuchemka.
Sasa ukitaka ladha ya mziki lazima usikilize miziki ya wanao juwa na siyo wapiga kelele. Mziki wa wazungu ni ya watu wanao fahamu nini wanakifanya.
Ukianzia uwandaji wa miziki na uwimbaji wenzetu wametuzidi. Adele huwezi mweka meza moja na huyo zuchu au rubby au nandy mana ni wapiga kelele alafu mashairi huwelewi nini anakimba zaidi ya utopolo mtupu ndomana nyimbo azikai za kibongo.
Bongo uwandaji wa miziki bado sana uwekezaji upo chini. Ndomana wengi hawana hiyo mizuka ya kusikiliza nyimbo za kibongo zaidi wanataka ya kizungu. Biti za kuiba iba kwa style ya kunga unga mara WCB ichukuwe nyimbo za zamani wafanye cover uwo ni upuzi.