WCB wapewe heshima kwa kuandaa albums za viwango: A boy from Tandale, sound from Africa na sasa definition of love

Mbosso mashairi ni mazuri.
Tatizo BEATS copy ni nyingi sanaaa.
Kama ile baikoko unaisikia nyimbo ya kayumba tilalila.yaani kiufupi beats zote ni marudio
 
Habarini Wana Jamvi

Inatakiwa ifike sehemu watanzania na Wana JamiiForums celebrity waipe heshima kubwa sana WCB kwa kuendelea kutoa ALBUMS Kali na zenye viwango vya juu sana.

WCB ikiwa kama label namba moja AFRICA na isiyokuwa na mpinzani kwa sasa maana wanigeria wameshainyoshea mikono inatakiwa ipewe heshima maana hawaandai maremix Kama wasanii wengine ila wanatoa kile kilicho Bora zaidi na ukweli unajionesha wazi.

1.Diamond Platinums( A boy from Tandale-Album).

2.Rayvany(Sound from Africa-Album).

3.Mbosso(Definition of Love-Album).

Ko sitafurahishwa na wadau wa Muziki kudai kuwa Kuna Albums-remix yoyote inayozishinda ALBUMS za WCB kwa ujumla.

WCB ndo kiwanda Cha mziki na wanajua jinsi ya KUANDAA ALBUMS na kwa mda gani.

Ko mpaka Sasa ALBUM BORA KWA TANZANIA KWA MIAKA 10(2011_2021) WCB wametisha sana.

Wasanii Kama alikiba,harmonize,abbah process,darassa na wengine wengi bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka WCB namba ya KUANDAA ALBUMS ZAO.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Du! Inaonekana mziki ndugu umeanza kufatilia bada ya Diamond platnumz kutoka kimziki 2009.

Hizo album unavyosema zinaubora na viwango vya juu kulinganisha na album zipi za mziki apa duniani au africa? Mana hukisema hivyo lazima usema na kipi unakilinganisha.

Alafu unavyosema WCB ndo record label number moja Africa inaonekana wazi kabisa una mapenzi na WCB na huzifamu record label zilizopo africa ndomana unafanya mafananisho ya ajabu.

Hizo nyimbo ni bora apa ndani ya Tz ila usiseme eti hizo album nyimbo zake zimetikisa africa ndugu. Uwandaji bado upo chini mashairi mengine ya kawaida ndugu. Tz kimziki bado.

Biti tuna copy za nigeria na south africa tunaona kama tutatobowa soko kumbe wapi. WCB tuendele kupambanisha na Kili music, konde na hyo mpya NLM.
 
Whatever the case WCB ipo kwenye top five ya label kubwa na Kali around African Continent ......mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni ...... Wengine wanajivunia kuwashabikia wasanii wa ulaya alaf wanajiita wajanja kumbe washamba tuuu
Du! Umepotea njiaa. Ebu sema 10 record labels apa africa kama unazifahamu.

Mimi naona huu mziki unao usikiliza apa Tz unahisi ndo unapigwa kona zote africa ndomana unasema ety ipo top 5 WCB. Mzeee acha kuchemka.

Sasa ukitaka ladha ya mziki lazima usikilize miziki ya wanao juwa na siyo wapiga kelele. Mziki wa wazungu ni ya watu wanao fahamu nini wanakifanya.

Ukianzia uwandaji wa miziki na uwimbaji wenzetu wametuzidi. Adele huwezi mweka meza moja na huyo zuchu au rubby au nandy mana ni wapiga kelele alafu mashairi huwelewi nini anakimba zaidi ya utopolo mtupu ndomana nyimbo azikai za kibongo.

Bongo uwandaji wa miziki bado sana uwekezaji upo chini. Ndomana wengi hawana hiyo mizuka ya kusikiliza nyimbo za kibongo zaidi wanataka ya kizungu. Biti za kuiba iba kwa style ya kunga unga mara WCB ichukuwe nyimbo za zamani wafanye cover uwo ni upuzi.
 
Du! Inaonekana mziki ndugu umeanza kufatilia bada ya Diamond platnumz kutoka kimziki 2009.

Hizo album unavyosema zinaubora na viwango vya juu kulinganisha na album zipi za mziki apa duniani au africa? Mana hukisema hivyo lazima usema na kipi unakilinganisha.

Alafu unavyosema WCB ndo record label number moja Africa inaonekana wazi kabisa una mapenzi na WCB na huzifamu record label zilizopo africa ndomana unafanya mafananisho ya ajabu.

Hizo nyimbo ni bora apa ndani ya Tz ila usiseme eti hizo album nyimbo zake zimetikisa africa ndugu. Uwandaji bado upo chini mashairi mengine ya kawaida ndugu. Tz kimziki bado.

Biti tuna copy za nigeria na south africa tunaona kama tutatobowa soko kumbe wapi. WCB tuendele kupambanisha na Kili music, konde na hyo mpya NLM.
Numbers don't lie kijana
 
Back
Top Bottom