WCB Wanapo Recycle Vizee Vya Bongofleva Trying To Bring Back 1990's in 2016

Uchawi sio lazma kuruka angani uchi halafu ww unaonekana unayako na chuki zako binafsi halafu unataka kulazimisha watu waamini unachokiona ww unasahau hio ni mitazamo yako ww na kila mtu ana mambo yake anayomsaidia na maisha yake kama unaona uko perfect and ur gud on fomulaz basi anzisha crew yako saini hivo vipaji vipya itakuwa better hivi watanzania tunatatizo gani vitu vizuri badala ya kujifunza na kuwa karibu tunaviponda na kutafutia makosa upuuuzi huo we lidada
 
Lara nimekuelewa but I dnt think Mavoko and juma nature sailed with the same ship.
When juma was on top huyu Mavoko nadhani alikuwa anakimbia na kibukta mtaani.
So may be u should give him a second chance coz akianza kuwika miaka kama 6 nyuma and he still young.
But as for nature hapo wamebugi Mia Mia.
Nilikuwa nakubali sana.mavoko but kilichomfanya apotee sikijui but alivyorudi tena ndo.kanivunja moyo kabisa yaani....this kid was good but ni kama unavyosema....mziki au time ndio vinakupush out kutoka kwenye game... That's y akina Bobby brown,gwine, Sisco, walijitahidi kurudi but wakaangukia pua mbaya coz time ilikuwa imepita sana na hawa watoto wa siku hizi ni pop, kudagi sijui ni shida tu.
OOH I MISS THE OLD R&B SEMA NDO HVY TENA TIME ISHAWAPUSH AKINA BRANDY,MONICA,KEITH SWEET N THE LIKES
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama mwananchi nimesikitishwa sanaaa, sanaa kukosekana hii tuzo ila huu mwezi mtukufu, unafiki dhambi, mimi kama Lara kubwa la baadui, baddest, bandiduuuu, jitu lenye roho mbayaaa evel za furaha yangu acheni tu. Wiki hii aliekuwa ananisogezea instagram ya @ shilole_official baaaaas, na zile dua zake Dada Diana akose tuzo, KABAAAAAAAAAAANG ua la kuku LIMEMTUNGUA TAI DUME. Hahahaaa.

POMPOOOOOOOOOO KIDEDEAAAAAAAAA! WOYOOOOOOOO WOYOOOOOOOOOOO WOYOOOOOOOOOO. KIKO WAPIIIIIIIIIIIIIII, MASHUZI VEPEEEEEEEE, FINALLY A PEACEFUL WEEK. (Kweli mimi sio mtu mzuri.)

BACT TO TOPIC

WCB, nanza na Msaani anaengoza kwa Tango Rich Mavoko, sasa Mavoko mkubwa mwenzangu mbona mi sijaona lolote kwenye huo wimbo wako ulio uzia utu huko WCB. Kwenye chati kuanzia wewe Wewe, that talentless boy wala Boss BET WANNA BE wenu na Mafikizolo mmefifia fiiiiiiiiii! Rich mi nilikwambia hapa tatizo sio management NYIMBO ZAO ZA SASA MBAYAAA. Ungetulia tu, mbona Jay Moe nisha mchana hapa kajipanga na karudi fresh sanaa Pesa Madafuuuu. Neddy wa Ommy Dimpoz, Ommy is a good artist but the whackest manager tangia hi record lebel trend ije but NEDDY CAN REALLY SING. Kwa sie tuiekwepo the times when you just needed good music to shine, Neddy atafika mbali i just pray he gets signed na serious managers kama Max Rioba

Tuje WCB na RAISING STARS FROM THE DEAD ARTIST STRATEGY, Hahahaaaaaaaa! This is the dumbest thing ever. Ni ngmu mnoooo. TRYING TO RAISE A DEAD ARTIST IS LIKE WASTING TIME. Kuna sababu kwanini Muziki uli mphase out huyo mtu. Hakuna msaani anaji phase out mwenyewe either kipaji kinamuishia au mziki unabadilika unamtema na huwezi kwa artsist wa miziki ya season zote there is no way watoto wa 2000 wakamuelewa Juma Nature, no f way. Sababu he just dont speak their story, wao ni hoover generation, nature kama sie ni baiskeli generation. Mda ukipita umepita ndo maana hata Michael Jackson alikuwa phased out, sahivi Usher na RKelly are phased out.

Sahivi duniani kabla hujaingia deal na mtu you look at AGE ili kuangalia lifeexpectancy na going concerns za hio deal. Sasa Juma Nature ana miaka mingapi? Una ukimsign jioni hiii, tusahau asha expire, ana future ya kimziki ya how many years? Si taari veteran yule. Watu wengi at 40 sauti hazitoki za kuimbaaaa, na hiii mibangi, pombe, sigara, vocal cord zote nyanganyanga. Hahahaaaa. Tuje Kumiliki stage at 40 hii Juma ata dance kwelii na KU DAB sijui nini kuendna na soko la sasa la mziki au ndo atatumia stile ya kiveteran ya Hayati Remmy Ongala (R.I.P) atleast Remmy alibaikiwa voice life expectancy kubwa kama Hayati Bi Kidude at 100 years voice peach level zake vijana hawakaribiii.

Sasa Dai was strategic forming a label and all hata kama aliiga kwa kina Mavins, deathrow, Cashmoney etc but kibongo kaanzisha trend yet again i give him credit for that ila sasa MANAGEMENT NDO ISSUE. NDO MAANA NAIMBA WIMBO WA TAIFA THE MAN BEHIND DAI SUCESS NI YULE MUHAYAAA MWENYE REDIO NOT BABU TALI WALA SIDE DIWANI. NIMETOA MFANO MDOGO, SIDE DIWANI WETU AME MANAGE WASANII WANGAPI TO DATE? TMK, YAMOTO, SOLO ARTIST KIBAO KWANINI HAMNA KAMA DIMOND??????? BABU JE NA TIP TOP KINA Z ANTO VERY VERY EXTREMELY TALENTED, KASSIM MGANGA, WHY HAKUNA A SUCESS STORY CLOSE TO DAI? SALLAM NAE HANA SUCESS STORY YA KUMMANAGE YOYOTE.

NARUDI THE TRUE MAN BEHIND MANAGING DAI NI YULE MUHAYA SABABU HE HAS HISTORY OF INCREADIBLE ARTIST MANAGEMENT KAMA JIDE, Level alizokuwa wakati yupo chini ya Muhaya ni za kukubukwa sanaa. Tuzo alizizoa, shows za nje, the guy is simply SUPERB anajua kile anafanya. Rayc nae alivokuwa managed na jamaa hakuwa wa kitoto.

ALL IN ALL WCB MPAKA DAKIKA HII NI RE CYCLE LABEL TRYING SO HARD TO BRING BACK THE 90'S AND EARLY 2000'S BACK TO THE CURRENT MARKET MENU. SASA KWELI THIS IS NOT MUSIC REVOLUTION. Hao wote kina Mavoko, Juma Kassim, na wengine ni wetu, uwezo wao tunawajua vizuri na tumewachokaaa 90's na 2000's yooote walitawala wao ujana wetu wote na uzee piaaa, thubutuuuuuuuuu. Tuliwaamini mara ya kwanza ishatosha mda huo hatuna tenaaa. Tulitegemea SURPRISES, NEW IDEAS, NEW FACES, NEW MUSIC, NEW ERA, NEW EVERYTHING.

SADLY VICE VERSA IS ALSO TRUE.



Umeona mbali sana
 
U have said it all lady. Thank you.

Watu wengine wanajua sana ku manage maisha na mipango ya wenzao from a distance, ukiwaangalia wao wenyewe hawawezi manage hata kuku mtaani kwao!
Ooh wanamuziki wa 90s na 2016, if u know music and whats best for the label that much, alisubiri nini kufungua label yake hadi mtu mwingine aanzishe ajue kukosoa?
 
shida ya Mondi ni kuwa on his way up ametengeneza maadui wengi wa kujitakia,aliowa drop njiani maybe akiona wangekua liability kwa yeye kufikia ndoto zake, 'aliowakaza' au 'waliotaka kukazwa nae' au watu 'aliowakazia' magoma yao.now wakawa wanamuombea tu mabaya na kumpuuza wakijua mwisho wakea umefika.
Kwamba anaendelea kua 'mkubwa' hivi inawauma mno.na mafanikio yake haya madogo yanakwaza sana wenye roho mbaya hizi ila sababu hawana cha kumfanya they just wish aanguke kimuziki na mambo mabaya yampate!
wanakosoa anaowa sign ila hakuna alie bother kupongeza aliporudi na label na kutoa ajira.kujaribu kumuangusha kwa maneno na mikakati michafu hakutawapandisha wao wala the artists they are backing..

btw:bandiko la CTU ni la kiwango 'cha olympic' na halijajibiwa bado.hongera bruv
 
Back
Top Bottom