Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 122
Uchawi sio lazma kuruka angani uchi halafu ww unaonekana unayako na chuki zako binafsi halafu unataka kulazimisha watu waamini unachokiona ww unasahau hio ni mitazamo yako ww na kila mtu ana mambo yake anayomsaidia na maisha yake kama unaona uko perfect and ur gud on fomulaz basi anzisha crew yako saini hivo vipaji vipya itakuwa better hivi watanzania tunatatizo gani vitu vizuri badala ya kujifunza na kuwa karibu tunaviponda na kutafutia makosa upuuuzi huo we lidada