WCB Wanapo Recycle Vizee Vya Bongofleva Trying To Bring Back 1990's in 2016

Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber
mziki unaujua bro leta madini zaidi
 
Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber
Ahsante sana nahis nimekutana na mtu ninaefanana kwenye music

Yaan nikifunguliaga home thieta yangu, radio za bongo haziutendei haki kabisa vifaa vyangu vya music, wanapiga mziki wenye kelele tu, I can't enjoy good music
Kuna dj Moja kabak pale east Africa radio km sikosei ni big man, dj Kim yy ndio angalau huwa ananikosha japo siku izi simskii na radio one dj Jayde simskii yupo vizur

Kipind cha jion cha ghetton unachokisemea kimekosa dj anaejua vizur mziki wa nje

Mimi siku izi sisubir muziki wa radio, japo muziki wa radio unaladha yake kwasababu unashea na wengi kwa wakati mmoja
 
Watu waongee yote mpk walie diamond ndio kashatoka kimziki kukosa tuzo sio kutokujua mbn huyo wizkid mliekua mnapigia debe kakosa..ina maana nae hajui? Chuki ni ugonjwa mmbaya sana! Akubali ushauri kwan lazima?? Si meshaona hataki si basi mnamsaidiaga kuandaa na kurealese nyimbo zake au unafki tu?? Mijitu mingine bhn ina wivu mpk inashindwa kujizuia..mwenzenu kibongobongo ndio keshatoka hvyo so kaz kwenu midomo mipana mnabwabwaja wee hlf maskin mwisho wa siku nyimbo zake zkipigwa mnatoa macho na kucheza juu! Wakat umefika kila mtu afanye life yake ushauri wa mama yake unamtosha ndie alimuhangaikia..washaur uchwara anzishen taasisi za kushaur wasanii shwain stupid jelousy ppl!

Umekunywa BLACK COFFEE lakini kushusha munkari?
 
Haters bhana

Wana hate tuu, kunakuwaga hakuna sababu ya msingi
Kunywa BLACK COFEE kwa afya yako. Ukikosa waweza tumia hata kinywaji cha KOFFI OLOMIDE MOPAO kushusha pressure za kishindwa.
 
Sasa jipu C.T.U umechakachua udahili wa wanafunzi wasio na sifa kumbe sababu kubwa unajienjoy tu Music, tena unachukua liberty ya ku u study mziki kabisaaa kwa raha zako wakati Taifa linaangamia kwa udahili wako wa elimu ya juu mbovu mbovu na wa kifisadi. Hahahaaaaaa!

SASA NAANZA KUKUJIBU RASMI HOJA ZAKO UKININYIMA UDAHILI WA PHD IN BONGO FLEVA POTELEA POTE.
 
Ahsante sana nahis nimekutana na mtu ninaefanana kwenye music

Yaan nikifunguliaga home thieta yangu, radio za bongo haziutendei haki kabisa vifaa vyangu vya music, wanapiga mziki wenye kelele tu, I can't enjoy good music
Kuna dj Moja kabak pale east Africa radio km sikosei ni big man, dj Kim yy ndio angalau huwa ananikosha japo siku izi simskii na radio one dj Jayde simskii yupo vizur

Kipind cha jion cha ghetton unachokisemea kimekosa dj anaejua vizur mziki wa nje

Mimi siku izi sisubir muziki wa radio, japo muziki wa radio unaladha yake kwasababu unashea na wengi kwa wakati mmoja
hiki ndo fans wa bongo flava wanashindwa kuelewa.....baada ya BET haters wa diamond kutoka TZ wanajikuta wanamuweka diamond ktk trend....most trending names after BET2016Africa Black coffee and Diamond platnumz...even with negative critics every trend in music industry is benefit, same strategy used by Kanye West even currently used by desiigner....ni simple tu "for them to hate you, they have to know you, by doin that they will listen your music looking for critics and you will get money and online/offline trend by that"......
 

Attachments

  • 8.PNG
    8.PNG
    7.1 KB · Views: 49
Sema ukweli wasanii wa WCB hawana jipya,style zao zote zinafanana hadi kubana pua,kiukweli ni rahisi mno kwa sasa watazoeleka kwa nyimbo zao na zitakuwa zilipendwa kila mtu asipobuni style yake ya ujio,halafu watazoeleka na kick zao za scandal,itafika mda hawatakuwa na jipya
Uko right hata kiki za wanawake zinazoeleka wote waimba style moja waje na ubunifu mwingine
 
hiki ndo fans wa bongo flava wanashindwa kuelewa.....baada ya BET haters wa diamond kutoka TZ wanajikuta wanamuweka diamond ktk trend....most trending names after BET2016Africa Black coffee and Diamond platnumz...even with negative critics every trend in music industry is benefit, same strategy used by Kanye West even currently used by desiigner....ni simple tu "for them to hate you, they have to know you, by doin that they will listen your music looking for critics and you will get money and online/offline trend by that"......
Kwa Dada Diana hatusikilizi chochote, na redioni wakipiga tunabadilisha na zilivo nyingi sasa. Hahahaaa! Ommy crazzy kuna siku almanusura avunjiwe Dj kit hahahaa hii ndo bongo banaa majungu hayakusaidii chochote mjunguliwa kama Wema. Tunassuza tu roho zetu si mnajua JPM kabana
 
Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber

C.T.U kaka angu nakujibu kama ifatavyo

1. STSTEM IKO COMPLICATED. IT IS NOT AN EXCUSE. Music system zote duniani ziko complicated wala sio kisingizio. Unataka kuniaminisha system ya mziki ya Nigeria au Kenya ni rahisi kuliko ya Bongo? Aaaah wapi kwanza system ya Bongo rahisi mtu anaweza toka kijijini na basi kama Nuh, Baraka etc na aka make a hit single.

2. COME ON! Hahahaaa! Eti Juma Nature, Sugu, Jay waliondolea na watu. HAHAAAAAAAAA! kwa hio hao watu waliingia vichwani mwao na KUFILISI MASHAIRI YOTE AU? WALICHIMBA BITI STUDIO WASI RECODIWE AU? COME ON THE OLD CARGOS, GOT OLD, LOST THEIR GAME IN MUSIC, GOT FAT, LAZY AND DRUNK THAT IF FACT. WALIACHA MZIKI KIUPEO WALISHINDWA KUBADILIKA KUENDANA NA SOKO WAKASAFIRIA MAJINA YAO WAKAFA NATURAL MUSIC DEATH AMBAYO ANY ARTIST AKILOSE HIS ARTISTIC INSTINCTS AND BEHAVIOR ANAACHIA NGAZI. BONGO KULIKUWA NA REDIO NGAPI ZINAPIGA NYIMBO ZAO FANYA NA RATIO ZILIZOKUWA HAZIPIGI WABONGO KWA VISINGIZIO.

We nyimbo alizoimba Jay mwishoni yuko CHICHA, Jay wa Mitulinga Mti Mkavu tena tuulize sisi wa Meta Sec ndo tunamjua Jay, utazifananisha na enzi za Nigger J wa Hard Blasters Crew HBC sambamba na Will na Terry? Hata alivoenda solo zile hit songs zake NDIO MZEE, The guy alikaa chini akatuliza akili, kila mtu alikubali, albamu ya MACHOZI JASHO NA DAMU UTAI COMPARE NA JOSEPH AU SINGLE ZA ALUTA CONTINUA? HAHAAAAAAAAAAAAA! Jay got lighter by day, baada ya ile album as a solo artist ya kwanza ubunifu wake ukawa unashuka tu mpaka soko lilivomtema. Atleast angetemwa akiwa katoa HIT SINGLE AU ALBUM, ALIACHA MUZIKI MWENYEWE.

Sugu nae KIMZIKI ALISHACHOKA. Minyimbo ya mwisho tuliigomea wenywe ilipigwa sana Magic na redio kibao. aLICHODHULUMIWA KIUKWELI NA KILINIUMA ILA ALISHALIPWA NI MRADI WA MALARIA baaaaaaaaassssss.

Nature nae hivohivo alifilisika kimziki hata nyimbo yake ya juzi juzi hovyo kabisaa, wala hamna haja ya kumhujumu alishajiujumu mwenywe. hahaaaaaaaaa.

2. VITUO NI MALI BINAFSI ZA WATU TUELEWANE SIO MALI ZA SERIKALI ZILE KWA HIO KITUO KIMOJA KUTOPIGA NYIMBO ZA DAI SIO ISSUE. UKIFANYA RATIO YA VINAVOPIGA NA VSIVOPIGA NI 99 VINAPIGA ILA WABONGO HAMTONA HIVO 99 ILA HIKO KIMOJA NDO HASWAA SHIDA YENU. Hahahaaaaaaaaaa! Itafika mahali utasikia Lara 1 hapigi nyimbo za Diana kwenye Laptop yake. KWANINI NJIULIZE WHY WAKATI KITUO CHAKENA SIKUMCHANGI SH 100 KUKISAJILI? MI NAJIULIZA NA HIVO 99% VINAVOPIGA MBONA ANASHUKA KWA KASI KAMA SHILLINGI KWENYE SOKO LA DUNIA. HAHAHAAAAAAAAA.

3. MARKET SEGMENTATION GIVEN BONGO FLEVA IMEANZA 1990S IKIRUDI NYUMA SANAA 1980S HAIJAFIKIA MATURITY HIO. First generation ya Bongo Fleva ndo sie watu tuliozaliwa late 70s na 80s. Before 70s hawakusikiliza Bongo Fleva mwanzo sababu ilikuwa ni UHUNI MKBWA waliskiliza mziki wa nje ya nchi. SOKO BADO CHANGA KULI SEGMENT MEANING FULLY.

4. NOT A VERY MOVE BY A BIG LABEL IS A SMART MOVE! KATIKA IGA IGA ZENU MSIANGALIE WALI MSIGN NANI NA KWA NINI, ANGALIE POROFITABILITY ILIOPATIKANA NA HIO MOVE. SOMETIMES MNAWEZA KUWA COPYING MISTAKES BILA KUJIJUA. SASA WENZENU WANA FINANCIAL STRENGTH YA KU SURVIVE HIZO MISTAKES JE NYIE MNAZO HIZO HELA ZA KUTOA LOST SINGLES ZENYE VIDO KALI KAMA NGAPI?
 
ze big

Sioni kama kimbea, bali mtoa mada anaonekana yuko biased sana kwenye haya mambo ya muziki, kwa maana kwamba hampendi Diamond na hiyo timu yake ya wasafi

Lakini kuna ukweli ulio wazi kabisa kuwa kwa Tanzania hakuna watu wanaoujua mziki wa Tanzania na labda East Africa kama hao wakina Babu tTale, Mkubwa fela nk, Madam Lita kafanya hiyo bongo star search kwa miaka mingi na hakuna hata mwanamuziki mmoja wa maana aliyemtengeneza labda huyo Kala Jeremiah ambaye nae wala hakuwa mshindi wa kwanza

Kabla ya kuzungumzia Wasafi, mtu anapaswa kwanza kuwazungumzia Babu Tale, Mkubwa fela , pia awaangalie, Wanaume TMK, Yamoto nk ndio kisha aje wajudge Wasafi na hiyo zoazoa ya wanamuziki wakongwe
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama mwananchi nimesikitishwa sanaaa, sanaa kukosekana hii tuzo ila huu mwezi mtukufu, unafiki dhambi, mimi kama Lara kubwa la baadui, baddest, bandiduuuu, jitu lenye roho mbayaaa evel za furaha yangu acheni tu. Wiki hii aliekuwa ananisogezea instagram ya @ shilole_official baaaaas, na zile dua zake Dada Diana akose tuzo, KABAAAAAAAAAAANG ua la kuku LIMEMTUNGUA TAI DUME. Hahahaaa.

POMPOOOOOOOOOO KIDEDEAAAAAAAAA! WOYOOOOOOOO WOYOOOOOOOOOOO WOYOOOOOOOOOO. KIKO WAPIIIIIIIIIIIIIII, MASHUZI VEPEEEEEEEE, FINALLY A PEACEFUL WEEK. (Kweli mimi sio mtu mzuri.)

BACT TO TOPIC

WCB, nanza na Msaani anaengoza kwa Tango Rich Mavoko, sasa Mavoko mkubwa mwenzangu mbona mi sijaona lolote kwenye huo wimbo wako ulio uzia utu huko WCB. Kwenye chati kuanzia wewe Wewe, that talentless boy wala Boss BET WANNA BE wenu na Mafikizolo mmefifia fiiiiiiiiii! Rich mi nilikwambia hapa tatizo sio management NYIMBO ZAO ZA SASA MBAYAAA. Ungetulia tu, mbona Jay Moe nisha mchana hapa kajipanga na karudi fresh sanaa Pesa Madafuuuu. Neddy wa Ommy Dimpoz, Ommy is a good artist but the whackest manager tangia hi record lebel trend ije but NEDDY CAN REALLY SING. Kwa sie tuiekwepo the times when you just needed good music to shine, Neddy atafika mbali i just pray he gets signed na serious managers kama Max Rioba

Tuje WCB na RAISING STARS FROM THE DEAD ARTIST STRATEGY, Hahahaaaaaaaa! This is the dumbest thing ever. Ni ngmu mnoooo. TRYING TO RAISE A DEAD ARTIST IS LIKE WASTING TIME. Kuna sababu kwanini Muziki uli mphase out huyo mtu. Hakuna msaani anaji phase out mwenyewe either kipaji kinamuishia au mziki unabadilika unamtema na huwezi kwa artsist wa miziki ya season zote there is no way watoto wa 2000 wakamuelewa Juma Nature, no f way. Sababu he just dont speak their story, wao ni hoover generation, nature kama sie ni baiskeli generation. Mda ukipita umepita ndo maana hata Michael Jackson alikuwa phased out, sahivi Usher na RKelly are phased out.

Sahivi duniani kabla hujaingia deal na mtu you look at AGE ili kuangalia lifeexpectancy na going concerns za hio deal. Sasa Juma Nature ana miaka mingapi? Una ukimsign jioni hiii, tusahau asha expire, ana future ya kimziki ya how many years? Si taari veteran yule. Watu wengi at 40 sauti hazitoki za kuimbaaaa, na hiii mibangi, pombe, sigara, vocal cord zote nyanganyanga. Hahahaaaa. Tuje Kumiliki stage at 40 hii Juma ata dance kwelii na KU DAB sijui nini kuendna na soko la sasa la mziki au ndo atatumia stile ya kiveteran ya Hayati Remmy Ongala (R.I.P) atleast Remmy alibaikiwa voice life expectancy kubwa kama Hayati Bi Kidude at 100 years voice peach level zake vijana hawakaribiii.

Sasa Dai was strategic forming a label and all hata kama aliiga kwa kina Mavins, deathrow, Cashmoney etc but kibongo kaanzisha trend yet again i give him credit for that ila sasa MANAGEMENT NDO ISSUE. NDO MAANA NAIMBA WIMBO WA TAIFA THE MAN BEHIND DAI SUCESS NI YULE MUHAYAAA MWENYE REDIO NOT BABU TALI WALA SIDE DIWANI. NIMETOA MFANO MDOGO, SIDE DIWANI WETU AME MANAGE WASANII WANGAPI TO DATE? TMK, YAMOTO, SOLO ARTIST KIBAO KWANINI HAMNA KAMA DIMOND??????? BABU JE NA TIP TOP KINA Z ANTO VERY VERY EXTREMELY TALENTED, KASSIM MGANGA, WHY HAKUNA A SUCESS STORY CLOSE TO DAI? SALLAM NAE HANA SUCESS STORY YA KUMMANAGE YOYOTE.

NARUDI THE TRUE MAN BEHIND MANAGING DAI NI YULE MUHAYA SABABU HE HAS HISTORY OF INCREADIBLE ARTIST MANAGEMENT KAMA JIDE, Level alizokuwa wakati yupo chini ya Muhaya ni za kukubukwa sanaa. Tuzo alizizoa, shows za nje, the guy is simply SUPERB anajua kile anafanya. Rayc nae alivokuwa managed na jamaa hakuwa wa kitoto.

ALL IN ALL WCB MPAKA DAKIKA HII NI RE CYCLE LABEL TRYING SO HARD TO BRING BACK THE 90'S AND EARLY 2000'S BACK TO THE CURRENT MARKET MENU. SASA KWELI THIS IS NOT MUSIC REVOLUTION. Hao wote kina Mavoko, Juma Kassim, na wengine ni wetu, uwezo wao tunawajua vizuri na tumewachokaaa 90's na 2000's yooote walitawala wao ujana wetu wote na uzee piaaa, thubutuuuuuuuuu. Tuliwaamini mara ya kwanza ishatosha mda huo hatuna tenaaa. Tulitegemea SURPRISES, NEW IDEAS, NEW FACES, NEW MUSIC, NEW ERA, NEW EVERYTHING.

SADLY VICE VERSA IS ALSO TRUE.
Anti Kama Una Blog Heb Nielekeze Inaitwaje Maana Ushanipata Wa Kuitembelea Kila Siku,,,,,uko Deep Mno
 
Bro Samahan Naomba Nitajie Hit Ya Madonna In The Last 3yrs Na Ilipeak Namba Ngap Kwenye Billboard Charts
 
Bro Samahan Naomba Nitajie Hit Ya Madonna In The Last 3yrs Na Ilipeak Namba Ngap Kwenye Billboard Charts
U R the dumbest being... Hivi unajudge vp kitu ambacho hakijatoa results bado... Tuliza ball usihesabu vifaranga kabla mayai hayajatotoa, unadhani mziki ni umri...Big no!!mziki ni kipaji tu mbona kina j Lopez, Madonna age zimeenda ba bado wanahit .. Hata kina jide bado wanatusua bado without considering generation, jaribu use unafikiri kabla ya kutype
Samahan Bro Naomba Nitajie Hit Ya Mwisho Ya Madonna Na Ilipeak Number Ngap Kwenye Billboard Charts,,,,,sawa Pengne Mleta Uzi Alianza Kwa Kusema Vtu Tokana Na Ushabiki/sio Ushabiki Wake Ila Lazma Ukubali Alichosema Kina Substance Mi Ni Fan Mkubwa Wa Diamond Lakini Juma Nature,,,really, Na Nimenotice Hzo Mbwembwe Za Kumpondea Dai Ni Style Yake Ya Uandish Mleta Uzi Maana Thread Zake Nyingi Zinaanza Kwa Mtindo Huo Igweeeeeeeeeeeeeeee Just Angalia Content What Shes Saying Is MOSTLY True
 
Back
Top Bottom