nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,424
- 8,068
Amini msiamini, bila diamond hakuna wcb. Namaanisha, hakuna msanii anayetoka wcb hivi leo anaweza kusimama na kutusua bila mgongo wa diamond.
Tahadhari kwa hili. Endapo siku diamond akidondoka, basi atadondoka na wasanii wote wa wcb. Hakuna atakayesikika tena na watapoteana.
Ushauri.
Ni vyema wasanii wanaotoka label ya wcb wakaanza kujijengea mazingira ya kuhakikisha kuwa hata jamaa akidondoka japo hatuombei, wawe na nguvu ya kuliendeleza gurudumu la burudani na wakasikika
Tahadhari kwa hili. Endapo siku diamond akidondoka, basi atadondoka na wasanii wote wa wcb. Hakuna atakayesikika tena na watapoteana.
Ushauri.
Ni vyema wasanii wanaotoka label ya wcb wakaanza kujijengea mazingira ya kuhakikisha kuwa hata jamaa akidondoka japo hatuombei, wawe na nguvu ya kuliendeleza gurudumu la burudani na wakasikika