WCB Label Wanawahitaji CLOUDS MEDIA kuliko hata Wcb wanavyowahitaji Babu tale na Sallam sk

Hii ni dalili tosha kabisa kwamba ukilala,ukila,ukinya unawaza wcb tu
 
Nani mwenye maelewano mazur na media zote akafanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond ana ngoma nyingi hit song African beauty, kanyaga,yope remix, baba lao hizo kadogo na mshumaa sio hit song pamoja na mbio au ujui maana ya hit song?hit ni Kama iokote ya Maua sama au Muziki ya darassa.Hit song ya kiba ya mwisho ni seduce me baada ya Hapo hana ngoma yoyote hit song.
 
Mtoa mada kila mara mnaitabiria anguko la hiyo lebo lakini halifiki...kwa sasa hizo redio unazo zisema hazina nguvu yoyote na ndo maana wamepambana sana na Diamond ila wamesanda...moja ya vitu ambavyo vinasambaza sana mziki owa sasa ni boda boda na uzuri zipo nchi nzima na ndo maana kuna nyimbo nyingi watu wamezijua baada ya kuzisikia kwenye boda boda,bado kuna insta,youtube nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndo Maana wanakuita Lokole izo ulizotaja za Diamond ni ngoma za kawaida ni matakataka labda yopo ambayo ni idea ya mtu,.

Alafu kumbe hujui Maana ya hit Song
 
Hakuna media inayopoteza kupambana msanii, ebu lete ushaidi kua walipambana nae.
 
Kaka mpaka leo bado unafikir kizamani hivyo , Radio zenyewe hizi zilitaka kumpa chid benzi show ya elfu 50 ili wampe promo , WCB wakamatie hapo hapo mpaka tuhushimiane, kama bando linakushinda ufai kuwa mshabiki wa WCB maana ata pesa ya show huwezi kuwa nayo
 
kwa taarifa nilizopata toka clouds mleta uzi milembe panakuita...
pleas itikia wito kabla hujaharibikiwa zaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…