Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Hii ni dalili tosha kabisa kwamba ukilala,ukila,ukinya unawaza wcb tuUkweli ni kua Wasanii walioko chini ya Label ya Wcb wananyimwa Fursa kupata Promo ya Media kubwa Kama Clouds, E-fm na Eatv&radio Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania
Ukiangalia kwa Jicho la tatu unaona kabisa Uongozi wa Wcb una Matatizo wale Mameneja ni Wachumia tumbo Macho yao yapo Kwa Diamond tu, hao Mameneja ndo Wavurugaji wakubwa wa label kila anaetoka pale Wasafi anawalalamikia jamaa, wengi wanasema Diamond hana shida ila Sallam na Tale ni Wakuda,hawataki mtu mwingine yoyote awe karibu na Mond
Diamond kabla ya kua na hawa waganga njaa alikua na mahusiano mazuri na radio za hapa bongo na hata pale alipokua wakitofatiana suluhu ilikua inatafutwa na yanaisha,.
Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,
Ni Nadra sana Kumuona au kusikia msanii wa Wcb kafanya Media tour sana utawaona Times Fm ambao nao wanasikika mikoa miwili kama si mitatu hapa tanzania,.
Wanakosea sana pale wanapodhani Promo la Youtube na Insta linatosha,. Ni Watanzania wachache wanaomiliki Smartphone wenye uwezo wa kuingia uko Insta na Youtube App zinazo kula bando kama Mchwa, Na asilimia kubwa wanamiliki vitoch vyenye radio
Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo
Kiba na wasanii Kama aslay wanapata promo kubwa huko clouds mbona hawawi wakubwa Kama diamond?
Usiseme hawafanyi vizuri,au kufanya kwako vizuri ni mpaka walingane au kumzidi Diamond?Unaweza sema akina Marioo,King Kiba,Jux,Barnaba,Ney wa mitego,Vanessa,Harmonize Nk hawafanyi vizuri?
Shida ni kuwa unaka kufanya kwao vizuri ni mpaka wamshinde Diamond!
Diamond tayari alikuwa ameshatengeneza fan base,lakini diamond bila maelewano na clouds na diamond akiwa na maelewano na clouds naona atasogea mbele zaidi kama atakuwa na maelewano na media nyingine!
Diamond ana ngoma nyingi hit song African beauty, kanyaga,yope remix, baba lao hizo kadogo na mshumaa sio hit song pamoja na mbio au ujui maana ya hit song?hit ni Kama iokote ya Maua sama au Muziki ya darassa.Hit song ya kiba ya mwisho ni seduce me baada ya Hapo hana ngoma yoyote hit song.Kadogo na Mshumaa!Sasa unataka harmonize awe na ngoma kubwa kuliko kwangaru wakati ni juzi tu katoka WCB?Hata diamond hana ngoma kubwa kuliko kwangaru!
Hata siku moja Media haijawahi kumuhitaji mtu kuliko yeye anavyoihitaji!Sema mnachoshindwa kuelewa ni kuwa Diamond naye pia ana Media,hivyo ni Media vs Media &Diamond!
Ilo nalo nenoKiba na wasanii Kama aslay wanapata promo kubwa huko clouds mbona hawawi wakubwa Kama diamond?
Ukijibiwa nishtueKiba na wasanii Kama aslay wanapata promo kubwa huko clouds mbona hawawi wakubwa Kama diamond?
We ndo Maana wanakuita Lokole izo ulizotaja za Diamond ni ngoma za kawaida ni matakataka labda yopo ambayo ni idea ya mtu,.Diamond ana ngoma nyingi hit song African beauty, kanyaga,yope remix, baba lao hizo kadogo na mshumaa sio hit song pamoja na mbio au ujui maana ya hit song?hit ni Kama iokote ya Maua sama au Muziki ya darassa.Hit song ya kiba ya mwisho ni seduce me baada ya Hapo hana ngoma yoyote hit song.
Hakuna media inayopoteza kupambana msanii, ebu lete ushaidi kua walipambana nae.Mtoa mada kila mara mnaitabiria anguko la hiyo lebo lakini halifiki...kwa sasa hizo redio unazo zisema hazina nguvu yoyote na ndo maana wamepambana sana na Diamond ila wamesanda...moja ya vitu ambavyo vinasambaza sana mziki owa sasa ni boda boda na uzuri zipo nchi nzima na ndo maana kuna nyimbo nyingi watu wamezijua baada ya kuzisikia kwenye boda boda,bado kuna insta,youtube nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapoteza mashabiki wa kuwasikilizaHakuna media inayopoteza kupambana msanii, ebu lete ushaidi kua walipambana nae.
Hakuna haja ya kuweka wewe ni mzigo na chuki binafsiUelewa wako wa kuelewa na kuchanganua mambo ni Mdogo sana.. Mi simuongelei boss wenu nawaomgelea hawa madogo walioko chini ya label yake.
Ebu weka hapa Ratiba ya show za Rayvann, mboso na Lavalava
Mbona sikuwizi amuweki movie nyingi kwenye app yenu ya sizon
Kaka mpaka leo bado unafikir kizamani hivyo , Radio zenyewe hizi zilitaka kumpa chid benzi show ya elfu 50 ili wampe promo , WCB wakamatie hapo hapo mpaka tuhushimiane, kama bando linakushinda ufai kuwa mshabiki wa WCB maana ata pesa ya show huwezi kuwa nayoUkweli ni kua Wasanii walioko chini ya Label ya Wcb wananyimwa Fursa kupata Promo ya Media kubwa Kama Clouds, E-fm na Eatv&radio Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania
Ukiangalia kwa Jicho la tatu unaona kabisa Uongozi wa Wcb una Matatizo wale Mameneja ni Wachumia tumbo Macho yao yapo Kwa Diamond tu, hao Mameneja ndo Wavurugaji wakubwa wa label kila anaetoka pale Wasafi anawalalamikia jamaa, wengi wanasema Diamond hana shida ila Sallam na Tale ni Wakuda,hawataki mtu mwingine yoyote awe karibu na Mond
Diamond kabla ya kua na hawa waganga njaa alikua na mahusiano mazuri na radio za hapa bongo na hata pale alipokua wakitofatiana suluhu ilikua inatafutwa na yanaisha,.
Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,
Ni Nadra sana Kumuona au kusikia msanii wa Wcb kafanya Media tour sana utawaona Times Fm ambao nao wanasikika mikoa miwili kama si mitatu hapa tanzania,.
Wanakosea sana pale wanapodhani Promo la Youtube na Insta linatosha,. Ni Watanzania wachache wanaomiliki Smartphone wenye uwezo wa kuingia uko Insta na Youtube App zinazo kula bando kama Mchwa, Na asilimia kubwa wanamiliki vitoch vyenye radio
Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo