Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,070
- 1,437
Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania
Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,
Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo
Mkuu nakuunga mkono kwa kiasi flani ila si kweli WCB wanategemea hizi media za Dar kusikika MIKOANI.
Ukweli ni kwamba karibu kila mkoa sk hizi wana FM radio zao maarufu kwenye mkoa husika ambazo hazina bifu na WCB na zinapiga ngoma za WCB.
Nitoe mifano ya Arusha, Mwanza na Moshi. Kule hit ikitoka haichukui masaa tayari inapigwa kwa fujo na local FM radios.
Na zile local FM radio za mikoani kule zinasikika vizuri zaidi (clear) kuliko hizi station zinazorusha kutokea Dar. Kwa hiyo zile zama za wamiliki wa media za Dar kujiona mungu mtu zimepita!!!