WCB Label Wanawahitaji CLOUDS MEDIA kuliko hata Wcb wanavyowahitaji Babu tale na Sallam sk

Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania

Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,

Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo

Mkuu nakuunga mkono kwa kiasi flani ila si kweli WCB wanategemea hizi media za Dar kusikika MIKOANI.

Ukweli ni kwamba karibu kila mkoa sk hizi wana FM radio zao maarufu kwenye mkoa husika ambazo hazina bifu na WCB na zinapiga ngoma za WCB.
Nitoe mifano ya Arusha, Mwanza na Moshi. Kule hit ikitoka haichukui masaa tayari inapigwa kwa fujo na local FM radios.

Na zile local FM radio za mikoani kule zinasikika vizuri zaidi (clear) kuliko hizi station zinazorusha kutokea Dar. Kwa hiyo zile zama za wamiliki wa media za Dar kujiona mungu mtu zimepita!!!
 
Huku CHATO, nyimbo za WCB hadi mbugani kulee juzi tunawashusha simba wetu wapya kusapoti jitihada za awamu ya 5 tunasikiliza tu MAGUFULI BABALAO.

WCB wana nguvu kuliko hizo media mtembelee mikoani huku mtapata majibu nyimbo za WCB inatoka leo na leo bodaboda na pub zote wanazo hiyo CLOUDS kwanza wanasikiliza watu wakiwa kwenye magari yao tuu huku ground mambo ni tofauti sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hapa unagundua media za dar hazina nguvu MIKOANI kama wanavyodhani. Nguvu zao zilikua zamani si sasa!!!
 
Ukweli ni kua Wasanii walioko chini ya Label ya Wcb wananyimwa Fursa kupata Promo ya Media kubwa Kama Clouds, E-fm na Eatv&radio Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania

Ukiangalia kwa Jicho la tatu unaona kabisa Uongozi wa Wcb una Matatizo wale Mameneja ni Wachumia tumbo Macho yao yapo Kwa Diamond tu, hao Mameneja ndo Wavurugaji wakubwa wa label kila anaetoka pale Wasafi anawalalamikia jamaa, wengi wanasema Diamond hana shida ila Sallam na Tale ni Wakuda,hawataki mtu mwingine yoyote awe karibu na Mond

Diamond kabla ya kua na hawa waganga njaa alikua na mahusiano mazuri na radio za hapa bongo na hata pale alipokua wakitofatiana suluhu ilikua inatafutwa na yanaisha,.

Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,

Ni Nadra sana Kumuona au kusikia msanii wa Wcb kafanya Media tour sana utawaona Times Fm ambao nao wanasikika mikoa miwili kama si mitatu hapa tanzania,.

Wanakosea sana pale wanapodhani Promo la Youtube na Insta linatosha,. Ni Watanzania wachache wanaomiliki Smartphone wenye uwezo wa kuingia uko Insta na Youtube App zinazo kula bando kama Mchwa, Na asilimia kubwa wanamiliki vitoch vyenye radio

Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo
Kiba100 anasapoti na karibu na TV zote lakini amevunda...WCB ni namba nyingine hata bila hizo media uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAPA NAJUA WATU WENGI WATACHANGIA KWA MIHEMKO YA TIMU, ILA KIUKWELI WASANII WANAHITAJI SANA MEDIA KUJIJENGA KULIKO MEDIA INAVYOWAHITAJI WASANII, PIA KWA WANAOKUMBUKA REDIO CLOUDS IMECHANGIA SANA WASANII KUPATA TUZO ZA NJE KWA KUTUHAMASISHA KUPIGA KURA ILA KWASASA TUMERUDI SANA NYUMA KWENYE TUZO SABABU YA BIFU ZA KIJINGA ZA MEDIA NA WASANII.
KINA P, DIDY WENYEWE NI WASANII WAKUBWA LAKINI WANAIHESHIMU SANA REDIO 106.6 POWER FM HOUSE OF HIP HOP YA MAREKANI.

Sent using Jamii Forums mobile app
99 problems - jay z



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko zangu hapa kidabaga, Kilolo , Iringa kwenye kijiwe cha bodaboda wanapiga ngoma ya Mbosso - Ate.. hao wasanii wanaosupportiwa na EATV , clouds n.k mbona siwasikii huku?? Au mbona hizo tuzo international hawapati??
 
Ukweli ni kua Wasanii walioko chini ya Label ya Wcb wananyimwa Fursa kupata Promo ya Media kubwa Kama Clouds, E-fm na Eatv&radio Zinazosikika Mikoa mingi Hapa Tanzania

Ukiangalia kwa Jicho la tatu unaona kabisa Uongozi wa Wcb una Matatizo wale Mameneja ni Wachumia tumbo Macho yao yapo Kwa Diamond tu, hao Mameneja ndo Wavurugaji wakubwa wa label kila anaetoka pale Wasafi anawalalamikia jamaa, wengi wanasema Diamond hana shida ila Sallam na Tale ni Wakuda,hawataki mtu mwingine yoyote awe karibu na Mond

Diamond kabla ya kua na hawa waganga njaa alikua na mahusiano mazuri na radio za hapa bongo na hata pale alipokua wakitofatiana suluhu ilikua inatafutwa na yanaisha,.

Leo hii hana maelewano mazuri na Clouds, E-Fm na Eatv&radio, hizi ni radio zinazosikika Eneo kubwa la tanzania, hiyo Wasafi radio inasika Dar tu,

Ni Nadra sana Kumuona au kusikia msanii wa Wcb kafanya Media tour sana utawaona Times Fm ambao nao wanasikika mikoa miwili kama si mitatu hapa tanzania,.

Wanakosea sana pale wanapodhani Promo la Youtube na Insta linatosha,. Ni Watanzania wachache wanaomiliki Smartphone wenye uwezo wa kuingia uko Insta na Youtube App zinazo kula bando kama Mchwa, Na asilimia kubwa wanamiliki vitoch vyenye radio

Wasipobadilia hiyo Label itakupigwa kifo cha Mende ipate Mimba ishindwe kuendelea na Masomo
Hapa ni wapi!!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom