Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Culture defines us .

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?
nakushauri angalia kipindi kinaitwa the jerry springer show..hata you tube unaweza download baadhi ya vipindi..ndo utajua..cheating ni personal..unaweza ukawa na mtu lakini hacheat sababu hajapata nafasi au chance ya kucheat..ila design kimtindo wazungu civilization yao inawabeba..na kimsingi ni watu wanaopenda kufanya vitu vizuri bila kuegemea katika msingi wowote ule uwe wa kidini au laa...over...
 
It always greener on the other side. Wadhungu ni macheater na kwao to have a fling is normal. Nakumbuka mmoja aliniambia am married and i can have affair if i want and ofcourse have had affairs before.
 
nakushauri angalia kipindi kinaitwa the jerry springer show..hata you tube unaweza download baadhi ya vipindi..ndo utajua..cheating ni personal..unaweza ukawa na mtu lakini hacheat sababu hajapata nafasi au chance ya kucheat..ila design kimtindo wazungu civilization yao inawabeba..na kimsingi ni watu wanaopenda kufanya vitu vizuri bila kuegemea katika msingi wowote ule uwe wa kidini au laa...over...

Haaahaaa.

Jerry Springer ni noma.

Mara nyingine nafikiria hawa watu ni actors tu.

Kuna jimama lilirudia kwenye show mara tatu kufanya DNA test likatoka kapa mara zote.

Yaani pale kuna trailer trashes trash.

Ukiwa na type zile ni wa kuhurumiwa tu.
 
Wazungu wapo tufauti bidada.

Wazungu unao mzungumzia wewe ni wale, wenye busara.
Wenye madili mema.
Hawa ni rahisi kuwaelewa,ni wakweli.
Akikuambia kakupenda basi kakupenda kweli.
Akikuambia hakupendi ni kweli hakupendi kweli.
Ukubali makosa na uomba msamaha.
Ahaidi vitu vya uhongo.
Na ukimtapeli kipesa ama kimapenzi anaweza akakua na akajiua.
Kiujumla wazungu wengi wapo dizain hiyo uliosema



Lakini wapo pia wazungu mcharuko ingawa si wengi.
Wao wanamatatizo ya kupenda mtu.
Atakupenda kwa muda, ukipita mwaka anakuambia hakupendi.
Na anakuambia anatafuta mwengine. Au kapata mwingine.
Na anaweza kuwa na wapenzi wengine na akakuambia.


Uzuri wa wazungu hawafichagi, kwaiyo kama si size yako unaweza kugundua haraka, na kukimbia na kumuambia, sorry i dont looking for person like you. Lakini muafrika uficha na ngumu kugundua. Na muafrika anaweza kukupotezea muda, anaweza kukuoa kifake fake.
 
nakushauri angalia kipindi kinaitwa the jerry springer show..hata you tube unaweza download baadhi ya vipindi..ndo utajua..cheating ni personal..unaweza ukawa na mtu lakini hacheat sababu hajapata nafasi au chance ya kucheat..ila design kimtindo wazungu civilization yao inawabeba..na kimsingi ni watu wanaopenda kufanya vitu vizuri bila kuegemea katika msingi wowote ule uwe wa kidini au laa...over...

Nakubaliana nawewe ..na huwa naangalia sana vipindi vya Jerry... ila sasa hii ingekuwa hapa bongo mbona karibu kila family wangekuwa wanatoana macho? maana ni too much!
 
Wazungu wapo tufauti bidada.

Wazungu unao mzungumzia wewe ni wale, wenye busara.
Wenye madili mema.
Hawa ni rahisi kuwaelewa,ni wakweli.
Akikuambia kakupenda basi kakupenda kweli.
Akikuambia hakupendi ni kweli hakupendi kweli.
Ukubali makosa na uomba msamaha.
Ahaidi vitu vya uhongo.
Na ukimtapeli kipesa ama kimapenzi anaweza akakua na akajiua.
Kiujumla wazungu wengi wapo dizain hiyo uliosema



Lakini wapo pia wazungu mcharuko ingawa si wengi.
Wao wanamatatizo ya kupenda mtu.
Atakupenda kwa muda, ukipita mwaka anakuambia hakupendi.
Na anakuambia anatafuta mwengine. Au kapata mwingine.
Na anaweza kuwa na wapenzi wengine na akakuambia.


Uzuri wa wazungu hawafichagi, kwaiyo kama si size yako unaweza kugundua haraka, na kukimbia na kumuambia, sorry i dont looking for person like you. Lakini muafrika uficha na ngumu kugundua. Na muafrika anaweza kukupotezea muda, anaweza kukuoa kifake fake.

Duh! somoe ilitakiwa nieleze hivi! nikweli kabisa haya uliyosema ndivyo nilivyoambiwa.. sisi wengi huoana ki fake fake tu.
 
Wazungu wapo tufauti bidada.

Wazungu unao mzungumzia wewe ni wale, wenye busara.
Wenye madili mema.
Hawa ni rahisi kuwaelewa,ni wakweli.
Akikuambia kakupenda basi kakupenda kweli.
Akikuambia hakupendi ni kweli hakupendi kweli.
Ukubali makosa na uomba msamaha.
Ahaidi vitu vya uhongo.
Na ukimtapeli kipesa ama kimapenzi anaweza akakua na akajiua.
Kiujumla wazungu wengi wapo dizain hiyo uliosema



Lakini wapo pia wazungu mcharuko ingawa si wengi.
Wao wanamatatizo ya kupenda mtu.
Atakupenda kwa muda, ukipita mwaka anakuambia hakupendi.
Na anakuambia anatafuta mwengine. Au kapata mwingine.
Na anaweza kuwa na wapenzi wengine na akakuambia.


Uzuri wa wazungu hawafichagi, kwaiyo kama si size yako unaweza kugundua haraka, na kukimbia na kumuambia, sorry i dont looking for person like you. Lakini muafrika uficha na ngumu kugundua. Na muafrika anaweza kukupotezea muda, anaweza kukuoa kifake fake.
Hii iliyoandika hii maneno hapo juu ni mke ya Muzungu?.
 
May be....nazani sababu ni kwamba mapenzi ya Africa hivi sasa yameingiliwa na suala zima la maslahi kutokana na umaskini! Unakuta msichana anampenda Juma kwa dhati kabisa, lakini Juma mwenyewe hoe hae.....kupiga ndefu kwake ni jambo la kawaida! Nani siku hizi anataka kuolewa penye njaa? Ukiona hivyo, fahamu kwamba hakupapata penye neema! so, automatically mwenye mapenzi ya kweli na Juma ataenda kuolewa kwa Adam mwenye maisha mazuri! To cut story short, mapenzi ya dhati ya Waafrika yapo nje ya wenza wao official lakini si kwamba hakuna mapenzi!
 
Back
Top Bottom