Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Wazungu wanaupendo kuliko waafrika ...

Mimi nasikia wanaume wa kinyakyusa si cheaters!
 
hivi, hivi vibabu vya kizungu vinapatikana wapi hapa bongo?nataka nivisaidie kula pension lol!:target::majani7:
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?
Tatizo lako unapenda sana kusikia, na kwanini upende kuambiwa?.
 
hivi, hivi vibabu vya kizungu vinapatikana wapi hapa bongo?nataka nivisaidie kula pension lol!:target::majani7:
Pension za wenzetu hawapewi kama sisi kwa malamoja then kiduchuu... wanalipwa kama mshahara tu kila mwezi hupewi fungu kubwa kama kwetu.
 
story nyingine bwana, sasa mtoa mada hebu jiangalie wewe alafu ndio utakbaliana na hizo story za kwenye vijiwe vya bango na salooni za tandale kwa mtogole, kuona watu weupe nibora kwa jambo fulani kulliko weusi, binafsi naona ni ulimbukeni nakujiwekan kwenye kundi bovu la watu wasiojiamini.

hii ndio imesababisha wadada wengi wakiafrica kufanyiwa mambo yakinyama na hao mnaodhani wanaupendo wa kweli , hakuna watu wenye mambo yakinyama kama kama hao wazungu mnaodhani ndio wanamapenzi ya kwelli.


waafrica tujibali jamani tusidanganyike na waha watu weupe wahana lolote . utakuta eti story za vijiweni vijana wanaambizana 'bora kuwa umbwa au paka ullaya kuliko kuwa mtu africa' hii hua inanisikitisha sana mtu anatamani bora awe umbwa ulaya ,
 
Nimesikia kutoka kwa waliooa au kuolewa na wazungu kuwa ni watu makini kwa familia zao, na huwapenda kwa dhati wake au waume zao. Pia hawa cheat kama wabongo..na kama hakupendi hata kama ni mkewe anakuambia hili ni kweli? na kama nikweli sisi wabongo kwanini tusijifunze?

Kama hujui kwamba dunia anakoanzia kuharibika ni kwa hawa watu. Uovu mwingi unaouona hapa duniani umeanzia huko. Kwa sasa wamechanganyikiwa hawaoni tofauti ya mama na mwanawe au baba na mwanawe. Wanafanya mapenzi na watoto wao wa kuzaa na mida mingine na wake/wachumba wa watoto wao. Mbaya zaidi, wanpenda kujaribu kila kitu, wanawala ile express yourself kama wamechanganyikiwa. Ukimuona mdada/mkaka ameolewa/ameoa mzungu asilimia kubwa atakuwa analiwa/anakula express yourself aka tigo. Kwa kifupi wanapenda kuwatumia tu wanawake/wanaume hasa waafrika. Be careful sana na hawa watu kama hutaki shida.
 
Wrong sample space.No control group.

Ungetafuta na waliotalikiana na wazungu nao wakupe upande wao.

By the way, "mzungu" ni nani? Na "kupenda" ni nini?
 
Umeongea ukweli mtupu...yaani ukioa demu wa kizungu hata ukimcheat wala hamaindi!
 
Hizi tamthiliya zinatudanganya sana tunasahau kama wale wanaigiza...
 
Sweden katika takwim zinaonyesha 68% wanacheat na ni moja Kati ya nchi zinazoongoza kwa divorce!! Swala la mtoa mada jibu ni hili!! Kucheat ni tabia ya mtu! Na wabongo wengi wanaolewa na wazee!! Sasa babu alishaoa zaidi ya Mara tatu na! Miaka50 na kitu akucheat uondoke na kakufikisha ulaya ye chizi!?
 
What are u trying to insinuate lolz!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
usithubutu hawa viumbe sio binadamu kamili.
niko nao naishi nao nawaona tabia zao.
upendo wao ni wa kuigiza zaidi na wa muda mfupi.kama unamjua mtu alieolewa na Mzungu muulize atakupa jibu
wanatamani kurudi bongo wanashindwa, hawako huru,na pia isitoshe unakuwa kama mtumwa.
mwisho jiandae kugawa 0713 yako ndio jadi yao,licha ya wengi kutokutahiriwa.
Kwa wanawake nao vile vile upendo wao ni wa msimu,nawaona hapa wanaume walioowa wazungu wanavohenyeka
wengi wanaishia kuachana tu,namfahamu kaka mmoja alipika maharage ,mke wake alipokuja na kusikia ile harufu
akamtimua ndoa ikaishia hapo.
hakuna mtu mwenye mapenzi ya kweli kama Mtanzania mwenzio mkipendana,hawa vingine vimeo tu.
 
Umeongea ukweli mtupu...yaani ukioa demu wa kizungu hata ukimcheat wala hamaindi!

Hii kali , ni nchi gani hiyo wapenzi hawana wivu. Hivi haiba ya wivu kwenye mapenzi ni nature ya ubinadamu? au inategemea taifa zaidi
?
 
Back
Top Bottom