Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,015
Sio Mshana jr tu, hata mimi sikuelewi.kaka mshana, hautoweza kunielewa.
am sad to say this.
Sio Mshana jr tu, hata mimi sikuelewi.kaka mshana, hautoweza kunielewa.
am sad to say this.
Si umewagusa.Duu mbona reaction imekuwa kubwa kiasi hiki?
Huyu anaweza kuwa wa tatu.Na wanawake wapigwe ban kufanya kazi ya kuuza K**..Iwe haki kwa wote wauza K** na 0717..
Hata wewe?Huna hoja.
Umechemka.
Rudi tu kwenye mambo yako ya kichawi chawi.
Au na huko huwa unawalaumu wazungu?
Junya kweli wewe.
Sio kawaida kutongozwa na mwanamme mwenzio ndiyo maana imeletwa huku, na ikinitokea mimi siwezi jibu eti mimi nina mke, kwa sababu yeye sio mwanamke. Inaletwa hapa ili sisi wengine tuchukue tahadhari juu ya watu hawa, siwezi tongozwa na mwanamke nikaja kutangaza hapa sababu wao wameumbwa kufanywa hivyo.Mimi nashangaa, mtu amekufuata kukutongoza PM. Umashindwa tu kumjibu aisee mm Nina mke/Mme au mchumba au am not gay na mkamaliza huko hadi uje ututangazie kuwa umetongozwa? Na dada zetu pia basi waweke threads kilA wanapotongozwa.
Wewe ni Mzungue?mimi nadhani waafrika wana kaupungufu fulani kwenye kale kakipisi ka ubongo kanakohusika na kufikiri.
nawatakia evolution njema.
Mtani kinachonishangaza huu ujasiri wa kutetea haya mambo watu wanautoa wapi?Inasikitisha Na kukera sana
UchafuuuuuuMwanaume hip hop ni yule anaye paka mafuta akiwa kamaliza kuvaa nguo zake
Hata hivyo Biblia haiitaji dhambi ya ushoga maana ndo kubwa zaidi Ushoga ni mojawapo ya mambo yaliyoorodheshwa katika wakorintho wa kwanza 6:9-10 ,walawi 18:22Sasa cha kusikitisha nini hapo
Hata hivyo Biblia haiitaji dhambi ya ushoga maana ndo kubwa zaidi Ushoga ni mojawapo ya mambo yaliyoorodheshwa katika wakorintho wa kwanza 6:9-10 ,walawi 18:22Sasa cha kusikitisha nini hapo
hakuna viumbe ninaowachukia kama mashoga walaaaniwe
astakfu5678407 mkuu nitake radhi ......au nawe umeshtua bangi,JF hii banaNimefurahi tu jinsi inavyolandana na kichwa cha habari