Kama lilivyo jina lao, ni usalama wa taifa.Kwani primary goal ya TISS ni nini ?? Ukishanijibu hilo ndio uangalie kama wameshindwa au wamefanikiwa
Kinachotakiwa ni UZALENDO kwa sisi kana Watanzania hii tabia ya kuwakumbatia Wazungu ndio inayosababisha ukosefu wa amani Duniani nchi nyingi ziliambiwa akitoka fulani maisha yao yatakuwa mazuri lakini mpaka leo ni maskini wa ajabu. Toka lini Mzungu akawa na huruma na mtu Mweusi? Kwa nini walilie CCM itoke? Hii nchi itaendelea kuwa chini ya mikono salama ya CCM mpaka pale kitakapopatikana chama mbadala cha Wazalendo na wafia nchi wengine kama CCM ndio tutairuhusu CCM ikajiunge na Malaika wengine Mbinguni.
Ivyo vyama vyenu vya kupiga dili na ukibaraka kwa wazungu vitaongoza baada ya sisi wazalendo wa nchi hii kufa kikabaki kizazi chenu cha mtoto wa kiume unapiga picha huku umebana ulimi.
mnakuwa waoga nini sasa subirini mbele kwa mbele yenu serikali iliyopita siillikuwa inajinasibu kuwa mnakubalika kwa mabwana wakubwa??jipambanueni na demokrasia yenu yauongo,kama ccm mngekuwa wazalendo basi mngekataa kata kata mwaka 1992 kuingizwa kwa vyama vingi katika katiba.!sababu ya unafiki wenu mkajua mtaendelea kutawala kinafiki hivyo hivyo waume zenu sasa wanawananga hata mkivuka jueni kunamengi yatalicost taifa sababu yadhalimu wa chama cha mapinduziNa kwa akili za Nyumbu tulio nao hilo wao watalichukulia mkumbo
Hapa wanapaswa kuangalia madhala yapo zaidi kwa kinanani haswa,
Wengine kwa akili zao wanafurahia kuwa ndio nafasi yao kuingia madalakani
Tutavuka tu
Sidhani kama TISS wana deal na mambo mazito kiasi hicho... naamini wakiwezacho TISS ni kutoa maagizo yanayoitwayo 'maelekezo kutoka juu' naamini Lubuva na Jecha anawafaham vizuri sana TISS na kazi za.... Mungu atunusuru tu Zanzibar isije kumbwa na magaidi tu at the expence of CCM kuendelea kuwa mshindi wa uchaguzi Zanzibar....................................................................kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, ..............TISS fanyeni kazi yenu............................................
Kwa maana hiyo utendaji wa TISS unapimwa kwa utashi wa Rais ?? Kwamba Rais aamue ni Taarifa gani ifanyiwe kazi na ipi isifanyiwe kazi ?? Siku tukipata Rais Mwendawazimu asiyefanyia kazi taarifa za msingi mathalani tishio la ugaidi likitokea la kutokea TISS watakua upande gani wa waliofanikiwa au walioshindwa ???Kama lilivyo jina lao, ni usalama wa taifa.
Kumbuka Rais anakua briefed kuhusu mambo ya kiusalama na yeye ndie anatoa order kwa wahusika kuchukua hatua.
Kama taasisi kunaweza kuwa na mapungufu ya hapa na pale lakini kiujumla taarifa nyingi wanazo lakini hawana mamlaka ya kuchukua hatua.
TISS itawezaje kuzuia propaganda,huku vyombo vyote vya uhakika kwa habari vina milikiwa na western?? ingekuwa TBC ndo wanasambaza propaganda ingekuwa rahisimkuu don't underestimate the power of intelligence, tatizo amani tuliyonayo imetufanya tumekuwa complacent sana.
So ni muhimu taasisi yetu ya usalama kukusanya some covert intelligence and use them to predetermine the situation, then take preventive measures, kimsingi hatuwezi kuvamiwa kivita, so kuzuia propaganda encroachment ni muhimu sana na hii huwezi kuifanya bila kujiandaa kiintelligensia
watapigwa wananchi wote kiuchumi lakini kila moja atajua CCM ndo imesababishaDuh, elimu elimu elimu, hivi unategemea itapigwa ccm pekee? Nilidhan walio jf wako vizuri upstairs kumbeee sivyo
Nani atakayewaunga mkono? Mbona hawakuyasema hayo wazi wazi wamwambie kikwete tu? Wewe kama unadhani cia, m16, na mossad ni Mungu endelea kuwasubiri.Mkuu hilo swali unaweza ukaona ni la kitoto lakini ,fikiria tena ?? Unazijua Western propaganda vizuri hivi unategemea nini kama kweli wametuchoka watanzania ? TISS watafanya nini ,?? Hapo kuna CIA,MI6,MOSAD nk wote kwa pamoja hao wanaungana
Wadhungu was*ng*nimetafakari sana hotuba ya MUGABE, yule dictator wa Africa hasa pale aliposema eti KIKWETE alimtonya kuwa dunia ya kwanza wamemwambia CCM imekaa madarakani muda mrefu sana na wakashauri wawapishe na wengine. tafakari yangu imenikumbusha kuwa kauli hizi si mara ya kwanza kusikika katika nchi tofauti na baada ya kauli hizi mambo huwa si mazuri,
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k
hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka, yaani they take advantage of a very small internal mistake or cleavage and escalate it to unimaginable conflict combo.
Sasa haka ka mgogoro ka zanzbar tusipokuwa makini ndo katatumika, nimewaskia wakianza kutoa warning kalikali, na za kuogofya, huku wakisema eti wasijelaumiwa kuwa hawakutuonya. Hapa kuna kitu kinanukia hapa. kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, TISS fanyeni kazi yenu, nna wasiwasi Zanzbar inaweza kutumika kama njia ya hawa wenzetu kupenyeza propaganda za kuwaharibia waliochokwa
CCM imechokwa na ndugu zao wazungu, alafu wanalea mgogoro ambao ni potential threat kwa amani ya Tanzania nzima, Tusishangae rocket launchers zikianza kupatikana mitaani, alafu tukaanza kujiuliza eti zimetoka wapi, wakati wameshasema wamewachoka CCM
Msijesema sikusema
Swala la Zanzibar hizo nchi wahisani wakiamua kulitumia kama kigezo cha ku impose strict economic sanctions haturudi Zimbabwe ilipo sasa
Wao hutumia busara kubwa kuliko viongozi wa Africa au umesikia ulaya uchaguzi kufutwa or uchaguzi usio kuwa huru? Lazima muongozwe waafricaKwani mkuu kwenye uchaguzi ni sawa na kupokea threat kutoka kwenye mataifa makubwa ambayo ndio ma bwana zetu ???
Mkuu wengine wanakuaga kama nyau kumbe no chuiOsama nayo ni nchi! Nchi zote ulizotaja zina shahabiana mambo fulani na ndio yaliyopelekea machafuko unlike Tz ambako kuna Amani, democracy, tolerance na upendo. Mtu mzima usitishiwe nyau
Tatizo sisi hatuna tatizo na nchi yoyote ya mzungu kisiasa.Waafrika hawajawahi ingilia siasa za nchi za wazungu.Wala hawajawahi hoji kwa nini malkia wa uingereza au mfalme wa norway kwa nini awe yeye tu asiwe anachaguliwa kidemokrasia kwa sanduku la kura? Lakini wao kiguu na njia kutwa kuingilia siasa za Afrika.Mwenye adabu ni china tu.
Kuhusu Zimbabwe uchumi wake umevurugwa na wazungu.Wazungu walikuwa wameshilia ardhi kubwa yenye rutuba Zimbabwe kwa miaka mingi Kila wazungu wakiambiwa wagawieni mashamba waafrika wakawa wanagoma.Waafrika wanaendelea kuteseka.Mugabe akachukua mashamba yao akawagawia waswahili.Alipowapa waswahili wakawa wanalima mazao yale yale waliyokuwa wakilima wazungu kwa ubora ule ule bila kupunguza kitu.Walipotaka kuuza kwenye masoko ya wazungu,wazungu wakagoma kununua wakasema hatutaki kununua kutoka kwa ngozi nyeusi mumefukuza wazungu wenzetu kuleni mazao yenu wenyewe.Ndio mwanzo wa kuporomoka uchumi wa Zimbabwe.