Wazungu wameichoka CCM, Wasituletee ya Libya

Wazungu wameichoka CCM, Wasituletee ya Libya

Kiukweli kwa hali tunayokwenda nayo watu wa usalama wakae sana chonjo.Hali ya Zanzibar kwa mwendo tunaoenda nao tukienda kwa kulazimishana tuko hatarini.Dunia ya sasa ya wasomi haiingii akilini uchaguzi ufutwe na utangazwe mwingine ,na huku mwenye kufuta hana mamlaka ya kufanya hivyo na bado mkahubiri demokrasia.Kama walivyoshauri wanadiplomasia wazoefu ubabe hauwezi kusadia hata kidogo,katika suala la Zanzibar.Tufikie hatua tuone ni muhimu tutumie busara zetu,amani hii tuliyonayo kwa swala la Zanzibar iko mashakani.Hatutakuwa wajinga kama tukijishusha kwa mustakhabari wetu.Mazingira na Jiografia ya Zanzibar,tamaduni na itikadi ya eneo lote la bahari ya hindi si ishara nzuri kwa baadaye kama hakuna muafaka.

Kumbuka ikiwa huu uchaguzi wenye mizengwe ukifanyika,CUF watakuwa ni kama mbogo aliyejeruhiwa.CUF wana wafuasi wenye itikadi,uelewa na maono tofauti na bahati mbaya hata jicho kimataifa linaonekana kuwaunga mkono kwa kiasi kikubwa.Upo uwezekano mkubwa utawala wa Shein kwa miaka mitano ukawa mgumu,upo pia uwezekano Zanzibar ikiwa kituo cha uasi.Suluhisho hapa ni dogo kama chembe ya haladali-MUAFAKA,wenye tija na pengine wenye kushirikisha vyama vyote.Tuache ubabe,majuto ni mjukuu.
 
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k
hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka

Nchi hizo za kiarabu ulizotaja walitumia diaspora kama vibaraka wao wa kuleta hayo mapinduzi Libya,misri,tunisia nk Waliotumika kwenye zile vita ni wale raia waliokuwa nje ya nchi.Waliwaanda huko kwao wakawapa uraia baadaye wakashinikiza nchi hizo ziwe na uraia wa nchi mbili wakarudi nchi hizo na kombati na maguruneti wakaanza vurugu na mapinduzi.Tanzania pia kulikuwa na mchakato huo wa kutaka kuwepo uraia wa nchi mbili lengo ni kuwa na madiaspora ambayo yangetumiwa kwa maslahi yao kuja kuleta za kuleta kama walivyoyatumia hayo ma-diaspora nchi hizo za kiarabu.

Uzuri pamoja na propaganda zote za vibaraka wa ndani ya serikali,bunge na nje, Serikali ilikataa na wabunge wakalipiga chini kuwa uraia wa nchi mbili OUT hatutaki.

Ulinzi wa Tanzania ni wa kila Mtanzania Sio TISS peke yake.Kila mtanzania ajione kama TISS kuilinda na kuitetea nchi yake dhidi ya kila njama ya siri na wazi iwe ya wazungu au vibaraka wa wazungu walioko vyama vya upinzani,CCM,serikalini au POPOTE.
 
nimetafakari sana hotuba ya MUGABE, yule dictator wa Africa hasa pale aliposema eti KIKWETE alimtonya kuwa dunia ya kwanza wamemwambia CCM imekaa madarakani muda mrefu sana na wakashauri wawapishe na wengine. tafakari yangu imenikumbusha kuwa kauli hizi si mara ya kwanza kusikika katika nchi tofauti na baada ya kauli hizi mambo huwa si mazuri,
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k

hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka, yaani they take advantage of a very small internal mistake or cleavage and escalate it to unimaginable conflict combo.
Sasa haka ka mgogoro ka zanzbar tusipokuwa makini ndo katatumika, nimewaskia wakianza kutoa warning kalikali, na za kuogofya, huku wakisema eti wasijelaumiwa kuwa hawakutuonya. Hapa kuna kitu kinanukia hapa. kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, TISS fanyeni kazi yenu, nna wasiwasi Zanzbar inaweza kutumika kama njia ya hawa wenzetu kupenyeza propaganda za kuwaharibia waliochokwa

CCM imechokwa na ndugu zao wazungu, alafu wanalea mgogoro ambao ni potential threat kwa amani ya Tanzania nzima, Tusishangae rocket launchers zikianza kupatikana mitaani, alafu tukaanza kujiuliza eti zimetoka wapi, wakati wameshasema wamewachoka CCM

Msijesema sikusema[/QUOTE
Kinachotakiwa ni UZALENDO kwa sisi kana Watanzania hii tabia ya kuwakumbatia Wazungu ndio inayosababisha ukosefu wa amani Duniani nchi nyingi ziliambiwa akitoka fulani maisha yao yatakuwa mazuri lakini mpaka leo ni maskini wa ajabu. Toka lini Mzungu akawa na huruma na mtu Mweusi? Kwa nini walilie CCM itoke? Hii nchi itaendelea kuwa chini ya mikono salama ya CCM mpaka pale kitakapopatikana chama mbadala cha Wazalendo na wafia nchi wengine kama CCM ndio tutairuhusu CCM ikajiunge na Malaika wengine Mbinguni.
Ivyo vyama vyenu vya kupiga dili na ukibaraka kwa wazungu vitaongoza baada ya sisi wazalendo wa nchi hii kufa kikabaki kizazi chenu cha mtoto wa kiume unapiga picha huku umebana ulimi.

Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
We utakuwa aidha umerogwa au UKAWA.
 
Nchi hizo za kiarabu ulizotaja walitumia diaspora kama vibaraka wao wa kuleta hayo mapinduzi Libya,misri,tunisia nk Waliotumika kwenye zile vita ni wale raia waliokuwa nje ya nchi.Waliwaanda huko kwao wakawapa uraia baadaye wakashinikiza nchi hizo ziwe na uraia wa nchi mbili wakarudi nchi hizo na kombati na maguruneti wakaanza vurugu na mapinduzi.Tanzania pia kulikuwa na mchakato huo wa kutaka kuwepo uraia wa nchi mbili lengo ni kuwa na madiaspora ambayo yangetumiwa kwa maslahi yao kuja kuleta za kuleta kama walivyoyatumia hayo ma-diaspora nchi hizo za kiarabu.

Uzuri pamoja na propaganda zote za vibaraka wa ndani ya serikali,bunge na nje, Serikali ilikataa na wabunge wakalipiga chini kuwa uraia wa nchi mbili OUT hatutaki.

Ulinzi wa Tanzania ni wa kila Mtanzania Sio TISS peke yake.Kila mtanzania ajione kama TISS kuilinda na kuitetea nchi yake dhidi ya kila njama ya siri na wazi iwe ya wazungu au vibaraka wa wazungu walioko vyama vya upinzani,CCM,serikalini au POPOTE.
mkuu hao raia walipata wapi silaha nzitonzito zile
 
mkuu don't underestimate the power of intelligence, tatizo amani tuliyonayo imetufanya tumekuwa complacent sana.
So ni muhimu taasisi yetu ya usalama kukusanya some covert intelligence and use them to predetermine the situation, then take preventive measures, kimsingi hatuwezi kuvamiwa kivita, so kuzuia propaganda encroachment ni muhimu sana na hii huwezi kuifanya bila kujiandaa kiintelligensia

kwa iyo Mkuu ina maana kuwa viongozi wanaotawala wafanye wanachotaka hata kujiingiza katika mambo yanayovuruga amani kwa kutegemea vyombo vya Usalama??? KAMA NI IVYO NAONA NI KUJIINGIZA KATIKA MATATIZO YASIYO YA LAZIMA
 
nimetafakari sana hotuba ya MUGABE, yule dictator wa Africa hasa pale aliposema eti KIKWETE alimtonya kuwa dunia ya kwanza wamemwambia CCM imekaa madarakani muda mrefu sana na wakashauri wawapishe na wengine. tafakari yangu imenikumbusha kuwa kauli hizi si mara ya kwanza kusikika katika nchi tofauti na baada ya kauli hizi mambo huwa si mazuri,
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k

hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka, yaani they take advantage of a very small internal mistake or cleavage and escalate it to unimaginable conflict combo.
Sasa haka ka mgogoro ka zanzbar tusipokuwa makini ndo katatumika, nimewaskia wakianza kutoa warning kalikali, na za kuogofya, huku wakisema eti wasijelaumiwa kuwa hawakutuonya. Hapa kuna kitu kinanukia hapa. kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, TISS fanyeni kazi yenu, nna wasiwasi Zanzbar inaweza kutumika kama njia ya hawa wenzetu kupenyeza propaganda za kuwaharibia waliochokwa

CCM imechokwa na ndugu zao wazungu, alafu wanalea mgogoro ambao ni potential threat kwa amani ya Tanzania nzima, Tusishangae rocket launchers zikianza kupatikana mitaani, alafu tukaanza kujiuliza eti zimetoka wapi, wakati wameshasema wamewachoka CCM

Msijesema sikusema
Hivi tiss watawafanya nn wazungu kwa mfano? Unachekesha kweli
 
Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
HUKUSIKIA JINA LA KIKWETE??????????????
 
Kuna watu tena wengi na hasa wale 'inner circles' wa ccm wanaamini kabisa na kwa kwa dhati kuwa Tanzania ni nchi ya amani na haitakaa ivurugike. Hata pale unapowaeleza kuwa amani ya Tanzania ni misingi kidogo ya haki aliyoianzisha Mwalimu na ili iendelee kusimama inahitaji kuendelezwa hawaamini hata hilo!
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba miaka ya sabini na themanini nchi kama Zaire, Ivory Coast zilikuwa 'ulaya ndogo' na kilichozivuruga ni viongozi wake kuelemewa na shibe. Hata hapa ukiangalia video clips nyingi za wanasiasa hasa kutoka chama tawala juu ya suala la amani na Zanzibar unagundua ni shibe iliyopitiliza na ndio maana wengi wanamwaza JPM bila huku wakisahau kidogo kuwa naye ni 'mwenzao'.
 
Bora aliyelogwa na anaona ccm hawafai kuliko wewe ambae hujalogwa na unaona ccm inafaa kwani ni tatizo la akili na ufahamu mdogo!
Barikiwa mkuu kwa jina la Yesu Mungu alie hai kana CCM haifai njoo hapa uhamiaji ulizia haa mym ninatoa passport buree kwenda Kongo,Syria,Libya,Sudan Kusini na Afrika ya kati buree kabisa na nauli nakupa ukapumzike na kero za CCM ili Lowasa akiwa rais urudi.
 
Sina tatizo na hilo amani tuliyonayo sio kwamba TISS ndio walio sababisha ikawepo ni Mungu tu na ashukururiwe kwa hilo ,hizo covert intelligence unazosema ningewaheshimu sana kama Twiga wanapanda ndege ya kijeshi ya Qatar ,makontena hayalipiwi kodi,meli ya pembe za ndovu zinakamatwa nje ya nchi ,kashfa za Richmond, escorow ,kama haya tu yamewashinda ni covert operations zipi za Mosad,CIA,MI6 na wenzake watazuia ???
Mbona north Korea wamweza kufight kiasi na propaganda za western na sasa wanawashikiria RAIA wamarekani wa3 na wamekiri makosa yao kwa nini ishindikane TZ.
 
Duh, elimu elimu elimu, hivi unategemea itapigwa ccm pekee? Nilidhan walio jf wako vizuri upstairs kumbeee sivyo
Mkuu tupo tunaojiekewa wasikutishe hao vijana wa miaka ya 95+kichwani horobo shule hawakutaka wanafanya kazi ngumu mshahara mdogo afu wana wanawake wazee hasira zao zote wanamaluzia mitandaoni na vitecno vyao vya bure.
 
Pamoja na kuwa kila mtu ameichoka CCM kwa kkiwango kikubwa lakini hayo unayoyataka yatokee ni ya hatari zaidi....amani ikipotea yatakuwa ni majuto makuu siyo tu kwako bali mpaka kwa vizazi vyako......bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo katika nchi katika njia ya amani kuliko kuanzisha fujo ambazo madhara yake ni makubwa kuliko unavyodhani......

Kwa kiasi kikubwa sana raia wa Libya wapo kwenye majuto makuu hata yale madogo waliyokuwa wakiyadharau sasa hayapatikani....ni muendelezo wa mauaji na kila aina ya unyama...
 
Pamoja na kuwa kila mtu ameichoka CCM kwa kkiwango kikubwa lakini hayo unayoyataka yatokee ni ya hatari zaidi....amani ikipotea yatakuwa ni majuto makuu siyo tu kwako bali mpaka kwa vizazi vyako......bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo katika nchi katika njia ya amani kuliko kuanzisha fujo ambazo madhara yake ni makubwa kuliko unavyodhani......

Kwa kiasi kikubwa sana raia wa Libya wapo kwenye majuto makuu hata yale madogo waliyokuwa wakiyadharau sasa hayapatikani....ni muendelezo wa mauaji na kila aina ya unyama...
Asante sana
 
Pamoja na kuwa kila mtu ameichoka CCM kwa kkiwango kikubwa lakini hayo unayoyataka yatokee ni ya hatari zaidi....amani ikipotea yatakuwa ni majuto makuu siyo tu kwako bali mpaka kwa vizazi vyako......bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo katika nchi katika njia ya amani kuliko kuanzisha fujo ambazo madhara yake ni makubwa kuliko unavyodhani......

Kwa kiasi kikubwa sana raia wa Libya wapo kwenye majuto makuu hata yale madogo waliyokuwa wakiyadharau sasa hayapatikani....ni muendelezo wa mauaji na kila aina ya unyama...
Ni ujumbe mzito sana mkuu, majuto ni mjukuu na ninge huja baadaye sana. Mungu ibariki Tanzania
 
Mkuu tupo tunaojiekewa wasikutishe hao vijana wa miaka ya 95+kichwani horobo shule hawakutaka wanafanya kazi ngumu mshahara mdogo afu wana wanawake wazee hasira zao zote wanamaluzia mitandaoni na vitecno vyao vya bure.
haya mkuu, hawa vijana wamezidi kuchukulia poa kila kitu
 
Mbona north Korea wamweza kufight kiasi na propaganda za western na sasa wanawashikiria RAIA wamarekani wa3 na wamekiri makosa yao kwa nini ishindikane TZ.
Back ground ya Noth Korea huwezi kuifananisha na Tanzania hata kidogo wakati wa economic criss ya 1990 waliopitia North Korea baada ya USSR kusambaratika ilibidi watafute alternative ways ya kupata pesa kwa ajili ya kuendesha nchi yao na pesa wanazopata ni nyingi zinatokana na illegal means kama producing and smuggling drugs, smuggling Elephant ivory, selling weapons and nuclear tech middle east ,operating casinos in China unofficial nakadhalika ,sasa sisi ambao uchumi wetu unategemea pombe na sigara ,madini tu kuchimba hatuwezi mpaka na udongo unasafirishwa Ulaya na Marekani unategemea nini ????
Tunawakwepa vipi WB na IMF ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom