Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
hivo ndivo wanataka uamini ila sio kweli. until 1700 africa na ulaya hapakua na tofauti hata sisi tulikua na great empires ila utumwa na colonisation vikaturudisha nyuma na namna dunia leo imekua ikipelekwa inakua vigumu sana kwa nchi au continent kujiinua tena. ila kama akili tuna akili sawa tu. mwfrica akienda ulaya apewe exposure atafanya sawa na mzungu
mkuu tupe ukweli wa mambo siyo kutumi historia yenye uongo mfano siajabu mpaka wewe leo unaamini hivyo(mlima kjro uligunduriwa na Rebman and Krapt teh)
Ebu niambie part gani Afrika by 18th c watu walikuwa wakitumia plough kwenye kilimo,cottage ind,marine technology,steam ingine,locomotive ind and transport,surplus production,laboratory etc?
Waafrika ni homidie then evolution yao bado haijafika ata kwenye h.habils and h.sapien leo unategemea nini?