Wazungu kumbe nao wana michepuko

Wazungu kumbe nao wana michepuko

Once you have been bullied for long time, any changes is a relief.
Kwa nyari sijui ni sawa but Kwa Mzungu mmmh. Those two used to be a family; so there are things he isn't supposed to do out of respect, and for the sake of their kids. Mzungu is kinda bitter
 
  • Thanks
Reactions: kui
Wana usemi wao dada unaseme "Once you go black, you never get white again".
lafu nyie Mbwa mnaoning'angania nna stress za kuachwa mnikomeeeee. Kwa teddy bear lile nililonalo Sasa Hivi Mawazo yatoke wapi? Likishanikumbatia nasahau Kila kitu...... Wazungu wenyewe baridiiiii, mswahiliiii yuko motooooo na mafuta Yale Sasa!!
 
lafu nyie Mbwa mnaoning'angania nna stress za kuachwa mnikomeeeee. Kwa teddy bear lile nililonalo Sasa Hivi Mawazo yatoke wapi? Likishanikumbatia nasahau Kila kitu...... Wazungu wenyewe baridiiiii, mswahiliiii yuko motooooo na mafuta Yale Sasa!!
Sizitaki mbichi hizi, leo ndio anajua wazungu wabaridi?😀😀
 
Hivi ndugu zangu watanzania, kwa mfano Mange na Mzungu wake wanatafuta kiki mtasemaje? Kesho wakawa pamoja mtajisikiaje? Mange ni Mtanzania mwenzenu jaribu kama kuna tatizo msaadie maana hapo tu ameshapata darasa.. Kitendo mnachofanya ni kama kidonda mnakisugua kwa still waya.. Ungekuwa wewe ungejisikiaje? Au ingekuwa dada yako ungeonaje? Tushirikiaene kwa mambo mazuri na mambo magumu tutafanikiwa, lakini kwa mpango huu ni kutafuta lahana ya bila sababu. Maana dini zote zinatufunza kusamehee
 
Hivi ndugu zangu watanzania, kwa mfano Mange na Mzungu wake wanatafuta kiki mtasemaje? Kesho wakawa pamoja mtajisikiaje? Mange ni Mtanzania mwenzenu jaribu kama kuna tatizo msaadie maana hapo tu ameshapata darasa.. Kitendo mnachofanya ni kama kidonda mnakisugua kwa still waya.. Ungekuwa wewe ungejisikiaje? Au ingekuwa dada yako ungeonaje? Tushirikiaene kwa mambo mazuri na mambo magumu tutafanikiwa, lakini kwa mpango huu ni kutafuta lahana ya bila sababu. Maana dini zote zinatufunza kusamehee
watafute tu ila tumejifunza
alisababisha watu tukaona kuolewa na weusi ni laana
unajua kapotosha wangapi?
 
Hivi ndugu zangu watanzania, kwa mfano Mange na Mzungu wake wanatafuta kiki mtasemaje? Kesho wakawa pamoja mtajisikiaje? Mange ni Mtanzania mwenzenu jaribu kama kuna tatizo msaadie maana hapo tu ameshapata darasa.. Kitendo mnachofanya ni kama kidonda mnakisugua kwa still waya.. Ungekuwa wewe ungejisikiaje? Au ingekuwa dada yako ungeonaje? Tushirikiaene kwa mambo mazuri na mambo magumu tutafanikiwa, lakini kwa mpango huu ni kutafuta lahana ya bila sababu. Maana dini zote zinatufunza kusamehee
Tutabaki kama tulivyokua wakati Mange anatangaza Mume wa Shamim amezaa watoto kila kona, Shamim hapendwi, Nyaki ameachwa. Pia kama wana act tutapika ugali na pelege na sisi tufurahi.
 
It's a shame that in this day and age there are still people out there who buy into these nonsensical-already debunked stereotypes.

Infidelity is a problem in every stratum of society and you don't even need a high school diploma to know that.

You're right. Infidelity has become a problem in every society. Iwe ulaya, asia na hata afrika.
 
You're right. Infidelity has become a problem in every society. Iwe ulaya, asia na hata afrika.

Tena huko kwa Wazungu ndo balaa.

Viwango vya talaka viko juu sana na moja ya sababu ya hizo talaka ni uzinifu.

Halafu sasa, kama hiyo haitoshi, watu wameshaona fursa kwenye uchepukaji na siku hizi kuna ma apps na tovuti nyingi mahsusi zinazorahisisha watu kuchepuka bila kugundulika.

Ningeweza kuzitaja hapa lakini unaweza ku Google tu na ukaziona mwenyewe.

Halafu ndo hadi leo hii kuna watu bado wanaamini kwamba Wazungu ni waaminifu kwenye mambo ya mahusiano?

Kuna watu wanasikitisha sana aisee.
 
Tutabaki kama tulivyokua wakati Mange anatangaza Mume wa Shamim amezaa watoto kila kona, Shamim hapendwi, Nyaki ameachwa. Pia kama wana act tutapika ugali na pelege na sisi tufurahi.

Usipo jifunza kusamehe katika mfumo wa maisha ya sasa utapata shida sana. Hakuna alie na haki ya kupitisha hukumu zaidi ya Mungu pekee.. Usipo samehe sasa, ipo siku wewe au kizazi chako hakitasamehewa.. Mange ni malezi na makuzi mabaya aliyonayo ndio yanampa majibu sasa, hivyo na wewe usije kupata majibu kesho maana wote bado tunaishi.. Ukiifanya Dunia iwe salama kwa maneno basi hata vita kutakuwa hamna.. Mungu anatupa upendo japo tunamkosea, nakuone huruma kwa sababu leo yeye kesho wewe.
 
Kuna rafiki yangu aliolewa na mzungu, alimuopoa mzungu toka kwa mdada mmoja wa kiafrica nchi jirani huko, kweli tuliona kapata bwana wa maisha maana alisema wazungu hawana mambo ya michepuko.Hata miaka haijaisha mitano kamuacha best yetu yupo na mchepuko mwingine wa Africa.

Tena huo mchepuko ulishafanya hadi movie za X ukienda Utube zipo kibao, wakwe wametumiwa picha na hyo mdada alieachwa za X na za huyo hawara wa mume wamesema haina shida, wamempenda mkwe mpya amuache tu mtoto wao.

Sasa najiuliza hawa wazungu vipi? Wanatuchukuliaje sisi waafrica? Kuna mapenzi kweli? Nasikia wazungu wanatumia waafrica vibaya sana.
Ndo mnavyoamishishwa ? Au mnajiaminisha wenyewe ? Tuacheni utumwa wa kiakili, eti wazungu hawana michepuko , kwani wao sio watu ? Hawana matamanio ? Wana michepuko na nyengine kama za kinyama. Wana klabu zao ambalo wanabadilisha wake na waume, ukiingia humo mke wako au mume wako atakua anazini hapo mbele yako na Hamna kuhamaki .....
 
Ndo mnavyoamishishwa ? Au mnajiaminisha wenyewe ? Tuacheni utumwa wa kiakili, eti wazungu hawana michepuko , kwani wao sio watu ? Hawana matamanio ? Wana michepuko na nyengine kama za kinyama. Wana klabu zao ambalo wanabadilisha wake na waume, ukiingia humo mke wako au mume wako atakua anazini hapo mbele yako na Hamna kuhamaki .....
Bwana mwanzilishi wa Education is Sexy alituaminisha kabisa kuwa ukiolewa na mzungu yaani matatizo umeayazika kaburini, baada ya hapo unaishi hapily ever after.
 
Back
Top Bottom