Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Oooooh ok swtsI just rub it in, she is the author of the power of ......
Oooooh ok swtsI just rub it in, she is the author of the power of ......
nenda jukwaa la wakubwa hapa jf ipo nimeshangaa yaaniSijaiona mwaya. Ila mzungu kanishangaza, angekuwa mwanaume wa Kiafrika ndo kafanya hivyo mbona angekoma; angeambiwa tabia za kitandale, mswahili blah blah blah. Sasa mzungu ni wa uswazi au mwafrika? Kweli tabia haina rangi
Alimletea mwenyewe mzungu nyumbani na dada amekomesha matusi aliyotukanwa ameamua kumfanyia kweli. Jamani mimi ninaonea huruma wale watoto.Sijaiona mwaya. Ila mzungu kanishangaza, angekuwa mwanaume wa Kiafrika ndo kafanya hivyo mbona angekoma; angeambiwa tabia za kitandale, mswahili blah blah blah. Sasa mzungu ni wa uswazi au mwafrika? Kweli tabia haina rangi
ahahaa halafu jamaa zake ni mablack tu tena huyu wa sasa hivi anafanana sana na yule wa kwanzaSiye watamu atiii.
Ulishawhi kuwa na mzungu au?mzungu ataacha
Aisee he has stooped so low. Hamna cha class wala standardnenda jukwaa la wakubwa hapa jf ipo nimeshangaa yaani
ni vile watu wana hasira na bi mkubwa ila na mzungu wake alikuwa anatuoneshea yupo class kumbe yupo so cheap yaani
hapana kujua kitu sio lazima uwe umefanyaUlishawhi kuwa na mzungu au?
Asanteeee....hapana kujua kitu sio lazima uwe umefanya
hana standard wala ethic wala value!Aisee he has stooped so low. Hamna cha class wala standard
Anasubiriwa bandarini, nasikia atakuja na meli ya mizigoVipi kashafika mjini? maana wale wauza unga wanamsubiri kwa hamu kweli
Once you have been bullied for long time, any changes is a relief.Aisee he has stooped so low. Hamna cha class wala standard
yap si umeelewa
Lady JD alisemaga kuwa Mange Kimambi wazungu wamemharibu, ukikaa nae anajamba sana. Jamani msigombane na kila mtu duniani.Ajaguswa 0713?
MhLady JD alisemaga kuwa Mange Kimambi wazungu wamemharibu, ukikaa nae anajamba sana. Jamani msigombane na kila mtu duniani.
Daah hapana mzungu kacheza kama wa tandale vile mwee. Yule ashadata ila angenyimwa custody ya wale watoto ndo angekufwaaaa. Chochote anachofanya kina impact kubwa sana kwa wanawe, sasa hivi na baadayeAlimletea mwenyewe mzungu nyumbani na dada amekomesha matusi aliyotukanwa ameamua kumfanyia kweli. Jamani mimi ninaonea huruma wale watoto.
hata uongee kichinaIt's a shame that in this day and age there are still people out there who buy into these nonsensical-already debunked stereotypes.
Infidelity is a problem in every stratum of society and you don't even need a high school diploma to know that.
hata uongee kichina
kuna dada aliolewa uk mzungu alikuwa anakuja na marafiki zake anasex nao wote mbele nyuma wazungu wabaya sanaetiLady JD alisemaga kuwa Mange Kimambi wazungu wamemharibu, ukikaa nae anajamba sana. Jamani msigombane na kila mtu duniani.