Wazoefu wa relationships naombeni ushauri

Wazoefu wa relationships naombeni ushauri

Kwa nini hujiamini? Kwani una chunusi hadi sehemu za siri?
 
Huitaji wataalam wa mahusiano, bali wataalam wa masuala ya afya. Tafuta mtaalamu wa kukusaidia kuondoa au kupunguza hizo pimples, au mtaalamu(mwanasaikolojia) akusaidie jinsi ya kuishi na "udhaifu" wako.

Kuhusu hao "virgin" mamas unaokutana nao mara kwa mara, hebu anzisha group whats app wakiwemo halafu uni-add ili ndege wa aina moja tujuane.
Bro you're Savage.
 
Ndugu yangu , kuwa na chunisi sio tatizo kabisa.
 
tatizo ushalijuwa ni kuwa HUJIAMINI,
"Bro its all in the STATE OF MIND", Humu hautapata solution bali njia ufanye nn, the rest inabaki na ww....kma nlivosema it all in the state of mind,, what u think is what u become..... speak wth ua mind be positive
 
Raha ya kuoa virgin ni pale atakapotaka kuonja ladha ya size mbalimbali wakati ushamuweka ndani.

Zingatia pia:
Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kumiliki shamba la miwa jirani na shule ya msingi.
 
Huitaji wataalam wa mahusiano, bali wataalam wa masuala ya afya. Tafuta mtaalamu wa kukusaidia kuondoa au kupunguza hizo pimples, au mtaalamu(mwanasaikolojia) akusaidie jinsi ya kuishi na "udhaifu" wako.

Kuhusu hao "virgin" mamas unaokutana nao mara kwa mara, hebu anzisha group whats app wakiwemo halafu uni-add ili ndege wa aina moja tujuane.
kumbe na wewe uko adicted na virgin? bas utakutans na China product, yangu macho
 
Dogo langu naomba nikutibu Chunusi, kila asubuhi tafta chunvi weeks mikononi weka maji kidoogo anza Kusugua USO taratiiibu sana asubuhi na kioni na usipake chochote uson ,2weeks rudi hapa unipe mrejesho kuhushe mshusiano embu jitahidi kwanza use na MTU yatakukuta hutojua ya kichina au ya kienjeji
 
o level nimesoma boys japo girls walikuwepo a level kwenye shule hiyo hiyo,A level nimesoma boys pia na kwenye shule hiyo hiyo kulikuwa na wasichana o level.Mimi nina udhaifu fulani hivi labda ndio maana nakuwa selective maana kwa ninavyojijua nikipata wrong woman itakuwa disaster,hongera for ur wife kaka.
nifuate pm kama upo dar nikuunganishe na watu wakusaidie kuondoa hizo chunusi LAKINI KINGINE KIKUBWA NAKUOMBA JARIBU KUKITAFUTA HIKI KITABU magic of thinking big cha David Schwazts
kitakufunza KUJIAMINI

Nikupe shuhuda kidogo mwaka 2011nikiwa nimemaliza six kuna shule nilikuwa nafundisha sekondari pale wengi walimu walikuwa diploma kasoro mdada mmoja yeye ni graduate basi rafiki yangu yeye afisa kilimo ana diploma akampenda yule mdada lakini akawa akiogopa yeye diploma yule mwalimu ni graduate nilichukua muda MAPENZI SIO ELIMU wala cheo alijitoa na mpaka sasa ni mume na mke KO USIJIONE CHINI SIKU ZOTE MKUU unavyojiona ndivyo utakavyo chukuliwa
 
Nashauri uanze na kuondoa fikra kwamba lazima uoe bikra, kwani mwanamke hata kama hakuwahi fanya mapenzi bado hatuwezi sema lazima awe bikra.... Sambamba na hilo fikiri nje ya box kuhusu mapenzi na namna ya kuishi na girlfriend... Sasa rafiki kama hata huthubutu kukumbatia or kukiss utategemea kweli binti abaki nawe, siamini hivyo maana binti anataka mwanamme mwenye kuonyesha ni rijali out of that utamaliza soli za viatu na hutawaona wanapotokea... Duuuh!!!!! Think big man hiyo kutokuwa tayari haikunyimi fursa za kuact like a man kwa your girl la sivyo bora upendane na dada zako mambo ya relationships na girl tupa mbali na life yako.... Nina mengi ila jiongeze age 25 siyo umri mkubwa ila pia siyo umri wa kuwa mshamba kiasi hicho.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom