ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Hata Mimi naona. ...bora upige kitabu tu elimu haimtupi mtu! Wewe bado mdogo sana. ..hayo mambo mengine yata unfold yenyewe. .tafuta pesa kwanzaUnashida ya saikolojia
Hata Mimi naona. ...bora upige kitabu tu elimu haimtupi mtu! Wewe bado mdogo sana. ..hayo mambo mengine yata unfold yenyewe. .tafuta pesa kwanzaUnashida ya saikolojia
daah,yaan wewe...yamekukuta nni?Angalia usije mwagia watu Ulojo kwenye mwendo kasi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
haaa,unacheka nini sasa?Hahahahhaha.....pimples
Chunusi kweli zinaondoa kujiamini kwako me nimepitia hiyo hali namshukuru mungu zimepungua sana na my girlfriend ananikubali mbaya mbovu kwa hali zote humwambii kitu kuhusu mimi hawa watu wakishapenda hawaangalii kitu japo wapo wa aina hiyo GOD bless u one day will be yes and you will enjoy your life so much.[/QUOTE
hongera kaka and thanks so much,umenijenga sana
kweli kaka,money solve all problems.Hata Mimi naona. ...bora upige kitabu tu elimu haimtupi mtu! Wewe bado mdogo sana. ..hayo mambo mengine yata unfold yenyewe. .tafuta pesa kwanza
huyu hapumuliwi kweli shogangu?Jiamini kingine anza kugegeda inaonekana we hb sana sema ndo haujiamin wagegede tu utakuja kumpata wife material badae
kweli mkuu ,hayupo ok yupo cpmlex kuliko zile hesabu za integrationYou are confused, seek psychiatric help. You being in the health practice, I know you understand what I mean. Your problems need careful examination before any attempt on resolving them.
anataka tumshauri nini maana ana misimamo yake ni kama katuletea tu taarifaUnashida ya saikolojia
huyu hapumuliwi kweli shogangu?


uyu hapumuliwi shoga angu sema hajiamin siunajua ukiwa wa kishua sanayou hate me...why?kweli mkuu ,hayupo ok yupo cpmlex kuliko zile hesabu za integration
i hate him
Pale mwanzo wa uzi wake amesema wazi kwamba yeye ni MVULANA.anataka tumshauri nini maana ana misimamo yake ni kama katuletea tu taarifa
mbona umeuliza swali mahala usipoweza kujibiwa?huyu hapumuliwi kweli shogangu?
ATAKUWA ANASALI KWA GWAJIMA LABDAuyu hapumuliwi shoga angu sema hajiamin siunajua ukiwa wa kishua sana
nimeleta taarifa ndio,kuna wenye uwezo wa kuona problems kwenye hizo info na kitoa msaada,wewe umesoma ukahisi mimi ni shoga,nimeelewa fikra zako haziko sahihi,but asante sana kwa kuchangiaanataka tumshauri nini maana ana misimamo yake ni kama katuletea tu taarifa
mimi ni mlutheri,for the past two months nimesali jumapili ya juzi tu.ATAKUWA ANASALI KWA GWAJIMA LABDA
serious? umetilia maanani alichosema…?uyu hapumuliwi shoga angu sema hajiamin siunajua ukiwa wa kishua sana
For sure. ..ubarikiwe sanakweli kaka,money solve all problems.