- Thread starter
- #41
Ninachokushauri we endelea na imani yako hiyo mpaka ufunge ndoa
Lakini hapo hapo najiuliza utafunga ndoa na nani kama hujishuhulishi na wasichana kimapenzi
Wasichana wa siku hizi wanapenda sana hii kitu ukimzubaisha anakuona hamna kitu
my plans kwa sasa ni kutulia,nipate permanent job,then nijaribu tena kutafuta soul mate.thanks