Wazo: Tuwe na watalaam kwenye Forums

Wazo: Tuwe na watalaam kwenye Forums

kwa nini unaogopa kujianika mkuu??

kuelekea serikali ya viwanda,mtatafuta wenyewe kujulikana,

watu professional hawafich taaluma zao,

kuna mitandao kama LinkedIn,watu wameweka profile zao wazi,

huko tunakokwenda hata nyie mtaona umuhimu wa kuweka wazi,

lastly,sina profession yoyote ndugu,

ndio maana nahimiza,JF isiwe just for fun,we can learn while we are having fun
Hii policy ya Tanzania ya viwanda ni ya kihuni na haitekelezeki...mimi ni mtu nisiyejulikana!
 
Wazo la mleta uzi si baya kwa kiwango cha ubaya. The problem is, majukwaa ya JF yanamuweka huru mwanachama kuandika pasina woga. Sasa basi, tukiweka viranja humu, patakosa maana halisi ya "where we dare (to) talk openly"!
Na sababu itakuwa ni ileile. Watataka kumwambia kwa lugha aitakayo. Naamini katika uwasilishaji hoja wa hapa JF. Ndiyo maana hata mimi natumia utambulisho batili ili kuwa huru kutoa nongwa zangu. Je, unajuaje kama mimi si mmoja wa wapiga zumari wa Sizonje nikiwa sijavaa "kininja"? Ni vema basi, with all due respect, wapelekwe kwenye gazeti la Uhuru au Mzalendo!
 
kwa nini unaogopa kujianika mkuu??

kuelekea serikali ya viwanda,mtatafuta wenyewe kujulikana,

watu professional hawafich taaluma zao,

kuna mitandao kama LinkedIn,watu wameweka profile zao wazi,

huko tunakokwenda hata nyie mtaona umuhimu wa kuweka wazi,

lastly,sina profession yoyote ndugu,

ndio maana nahimiza,JF isiwe just for fun,we can learn while we are having fun

Na jina nalo huna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sina,

nisaidie.lol
Yaani jina huna halafu unataka wenzio waandike!
Tafadhali jf yetu bado kuna kesi uchwara mahakaman tafadhali sana alokutuma mwambie sio rahisi kupata ushahidi.
Taaluma! watu wa jf wanazo tena sanaa au hujui? Hata ww unayo hiyo yako ni taaluma pia

Rais ana washaur,ana baraza la mawaziri,bado hashauriki unashani jf ndo atawaelewa kama hao alowachagua tu hataki/hasikii ushauri wao
Linked ni mtandao wa kibiashara ati jf ni sehem ya watu openly we dare tuachie uhuru wetu bibiee

Wazo sio baya ila usitake hazina ya vifaa vya jeshi letu vikatumika kwa jamii kama unavoona vinatumika kiuchwaraaaa

DEREVA MZURI NI YULE ANAEENDESHA NAFSI YAKE.
 
Dhana ya huu mtandao ni kushare mawazo ya kila mtu pamoja na kila mtu ana uhuru wa kufanya hivyo, Kama umejisikia umekuwa mtaalamu sana pamoja na hao uliowataja nakushauri kaanzisheni magazeti muwe mnasomwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea vizuri sana ila sidhani kama itawezekana humu,watu wanajifanya wajuaji sana.
 
Yaani jina huna halafu unataka wenzio waandike!
Tafadhali jf yetu bado kuna kesi uchwara mahakaman tafadhali sana alokutuma mwambie sio rahisi kupata ushahidi.
Taaluma! watu wa jf wanazo tena sanaa au hujui? Hata ww unayo hiyo yako ni taaluma pia

Rais ana washaur,ana baraza la mawaziri,bado hashauriki unashani jf ndo atawaelewa kama hao alowachagua tu hataki/hasikii ushauri wao
Linked ni mtandao wa kibiashara ati jf ni sehem ya watu openly we dare tuachie uhuru wetu bibiee

Wazo sio baya ila usitake hazina ya vifaa vya jeshi letu vikatumika kwa jamii kama unavoona vinatumika kiuchwaraaaa

DEREVA MZURI NI YULE ANAEENDESHA NAFSI YAKE.
huyu bibi katumwa sio bure yani mods wanipange na huyo verified user aje kunipa ban!
 
Wazo lina nia "njema " lakini silioni litafanyaje kazi bila kuwa na ubaguzi. Serikali kama imejipanga ina uwezo wa kupitia majukwaa na kupata madini mazuri tu. Kumbuka ushauri ni pamoja na kukosoa (critique -criticism ) kitu ambacho kwa wengi wetu pamoja na utalaamu wetu hatuwezi kutoa kwa kutumia verified names. Sheria za mtandao na watu wasiojulikana ni sababu za nyongeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo lina nia "njema " lakini silioni litafanyaje kazi bila kuwa na ubaguzi. Serikali kama imejipanga ina uwezo wa kupitia majukwaa na kupata madini mazuri tu. Kumbuka ushauri ni pamoja na kukosoa (critique -criticism ) kitu ambacho kwa wengi wetu pamoja na utalaamu wetu hatuwezi kutoa kwa kutumia verified names. Sheria za mtandao na watu wasiojulikana ni sababu za nyongeza.

Sent using Jamii Forums mobile app

uko sahihi mkuu,

ila kama huna makosa,unajiamini,kwa nini hili swala la kuwa verified users linawasumbua hivi?

I said its for intergrity and promotion,

kuwa hao proffessionals hawataleta mambo ambayo ni harmful ama uchochezi, na kutumia lugha yenye stara

na pia itakuwa platform nzuri,ya kujulikana kazi zao,ambapo wataweza kufanya consultation nje ya JF(promotion)

tulenge kwenye ku provide a critique,balanced view of bad and good,sio ku criticize tu kila jambo.
 
Ombi lako tumelipokea na tutalifanyia kazi na asante kwa kutumia mtandao wetu wa JF

 
Back
Top Bottom